Bayport Tanzania yazindua huduma mpya ya Mikopo ya bidhaa
![](http://1.bp.blogspot.com/-TuO2WIgqfWg/VD6w4Xc2ZPI/AAAAAAAGquQ/r5LyQXhQOeM/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
Na Andrew ChaleTaasisi ya kifedha ya Bayport Tanzania mapema leo Oktoba 15, 2014 imezindua huduma mpya ijulikanayo kama Mikopo ya bidhaa ikiwa na lengo la kurahisisha utendaji kazi wa watumishi wa umma na wafanyakazi wote wa kampuni zilizoidhinishwa na Bayport. Uzinduzi huo ulifanyika katika ofisi za makao makuu ya Bayport, maeneo ya Moroco jijini Dar es Salaam mbele ya wandishi wa vyombo mbalimbali vya habari umeonyesha matumaini mapya ya watanzania wanaosumbukia usafiri katika vituo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog23 May
Bayport yazindua huduma mpya ya mikopo ya viwanja kwa Watanzania wote
Mkurugenzi wa Bayport Financial Services, John Mbaga, pichani, akizungumza jambo katika uzinduzi wa huduma mpya ya mikopo ya viwanja katika mradi wa Vikuruti, Kibaha, mkoani Pwani. Uzinduzi huo ulifanyika Ijumaa ya Mei 22, katika Hoteli ya Serena na kuhudhuriwa na watu mbalimbali, wakiwamo viongozi wa serikali. (Picha zote na Mpiga Picha Wetu).
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services, inayojihusisha na mikopo,...
10 years ago
MichuziBayport Financial Services yazindua huduma mpya ya mikopo ya viwanja kwa Watanzania wote
Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamKATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services, inayojihusisha na mikopo, imeanzisha huduma mpya ya kukopesha viwanja...
10 years ago
MichuziBayport yazindua huduma ya mikopo kwa njia ya mtandao
Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamTAASISI ya Kifedhaya Bayport Financial...
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Bayport yazindua huduma mpya
TAASISI ya kifedha ya Bayport Tanzania imezindua huduma mpya ya mikopo ya bidhaa ikiwa na lengo la kurahisisha utendaji kazi wa watumishi wa umma na wafanyakazi wa kampuni zilizoidhinishwa na...
9 years ago
MichuziBayport yazindua huduma mpya ya Jibayportphonishe
Na Mwandishi Wetu, Dar es...
10 years ago
Mtanzania16 Jun
Faidika yazindua bidhaa mpya ya mikopo
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
TAASISI ya kifedha, Faidika imezindua bidhaa mpya ya mkopo maarufu kama ‘Executive’ inayolenga kuwezesha upatikanaji rahisi wa mkopo usiokuwa na dhamana kwa wafanyakazi wa serikalini wa mpaka Sh milioni 30.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Faidika, Marion Moore, alisema mkopo huo mpya ni moja kati ya bidhaa ya kipekee nchini yenye lengo la kurahisisha upatikanaji wa mikopo kwa wafanyakazi kutoka...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GYSW6seI2gs/VImp4-O5WSI/AAAAAAACwVY/QM9KJqEEjqs/s72-c/b7.jpg)
PSPF YAZINDUA HUDUMA MPYA ZA MIKOPO KWA WANACHAMA WAKE.
![](http://1.bp.blogspot.com/-GYSW6seI2gs/VImp4-O5WSI/AAAAAAACwVY/QM9KJqEEjqs/s1600/b7.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-r2KZ9K6lTIw/VImp0oam9YI/AAAAAAACwUU/oPNublCiqU0/s1600/b1.jpg)
10 years ago
MichuziLAPF YAZINDUA HUDUMA MPYA YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU KWA WANACHAMA WAKE
10 years ago
GPLBAYPORT FINANCIAL SERVICES YAZINDUA TOVUTI YA MIKOPO YA HARAKA