Floyd Mayweather aonesha jeuri ya ‘parking’ ya magari aghali duniani!!
Bondia Floyd Mayweather, 38, ambaye anajiandaa na pambano lake la mwisho dhidi ya Andre Berto litakalofanyika MGM Granda mjini Las Vegas, Septemba 12, ameonesha magari yake matano ya kifahari yenye thamani ya dola milioni 10.6 kwa pamoja katika klabu yake ya masumbwi mjini Las Vegas, Nevada. Magari ya Mayweather yakiwa yamepaki nje ya klabu yake […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj3g5*vkPb14hne1XrdONnvembNPCoCgKnJzB7BrugA4fTgZLIsJlF0-G*VENiVd2upNimCDz0jJmmpuJh7VWdrG/KAJALA4.jpg?width=650)
KAJALA AONESHA JEURI YA MAGARI
Stori:Gladness Mallya na Shakoor Jongo MSANII wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja hivi karibuni alionesha jeuri ya magari baada ya kutinga nayo mawili kwa nyakati tofauti kwenye kumbukumbu ya miaka miwili ya marehemu Steven Kanumba. Muonekano wa ndani wa gari aina ya Toyota Bravis anayomiliki Kajala. Awali kwenye ibada ya kumuombea marehemu, Kajala alifika kwenye kanisa moja lililopo Kimara Temboni akiwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct9BE8xQpt5xAviDDYktbIqnOA60UCxD2ou9KaKsl5Mo5WFHTdmWJGDiEyIEQLjIAvpYp8LsPKRfLCN6hfDQaiL5spAnfFo1/ray.jpg?width=650)
RAY AONESHA JEURI YA FEDHA
Na Waandishi Wetu
NYOTA wa filamu za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ anadaiwa kumpangishia nyumba nzima mpenzi wake ambaye pia anasemekana ni mkewe mtarajiwa, Chuchu Hans, Amani lina picha kamili. Vincent Kigosi ‘Ray’ akiwa na mkewe mtarajiwa, Chuchu Hans. Kwa mujibu wa sosi aliye karibu na mastaa hao (jina tunalo), Ray amemwaga shilingi milioni 3,840,000 kwa ajili ya kodi ya nyumba hiyo iliyopo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC0hLg2pPh*5r1JAdVPGbAkYZgGWzY5647yLXh9-vHh8wcweiOs32e2H8MBF912hr8nAxceu9l6uIqFd6JxbmFhg/nay.jpg)
NAY WA MITEGO AONESHA JEURI YA PESA
Alipoanza kwa kutoa ngoma yake iliyomtambulisha kwenye gemu ya Nasema Nao, hakuna aliyetegemea kwamba Mbongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ aliye chini ya Brand ya Mkong’oto Jazz Band anaweza kufika mbali na kupata mafanikio makubwa kama aliyonayo leo. Mbongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ akiwa pembeni ya ndinga mpya  aina Nissan Murano aliyoivuta ambayo thamani...
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
George Floyd: Wachezaji mbalimbali duniani walivyozungumzia kifo cha Floyd
Wachezaji wa Liverpool walipiga goti katikati ya uwanja wa Anfield kufikisha ujumbe wa kupinga mauaji ya raia wa Marekani mwenye asili ya Afrika George Floyd mjini Minneapolis.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rWr07F5d70shEKr1*TgA9JleJRMEyGSLB-pM5b3HKzCsUS3kTSddZvNncWeopC*i860BSq-9CkzJbcP*2r*oZo1Cl*MX20Qe/SHAMSA.gif?width=650)
SHAMSA AONESHA JEURI KWA MZAZI MWENZAKE
STAA wa filamu Bongo, Shamsa Ford ameonesha jeuri kwa kueleza kwamba anamlea mwanaye Terry kwa mapenzi tele ili asimkumbuke baba yake, Dickson ambaye wamemwagana. Staa wa filamu Bongo, Shamsa Ford. Akistorisha na gazeti hili Shamsa alisema tangu wamwagane na mzazi mwenzake, mtoto wake hajawahi kumuuliza baba yuko wapi kitendo kinachomfanya azidishe mapenzi kwake kwani hata yeye alilelewa na mama yake bila baba. “Kama...
5 years ago
BBCSwahili04 Jun
Mchezaji aonesha tisheti ya "haki kwa George Floyd"
Mchezaji wa timu ya Borrusia Dortmund na wachezaji wengine hawatachukuliwa hatua baada ya kutoa matamshi ya kupinga ubaguzi wa rangi
10 years ago
BBCSwahili16 Apr
Mkwara wa Floyd Mayweather hadharani
Bondia Floyd Mayweather ameamua kufanya mazoezi ya wazi na kuruhusu vyombo vya habari kuchukua picha.
10 years ago
BBCSwahili03 May
Floyd Mayweather amshinda Pacquiao
Bondia wa Marekani Floyd Mayweather ameshinda pigano lililosubiri kwa wingi katika miongo kadhaa.
10 years ago
GPL15 Sep
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania