Mchezaji aonesha tisheti ya "haki kwa George Floyd"
Mchezaji wa timu ya Borrusia Dortmund na wachezaji wengine hawatachukuliwa hatua baada ya kutoa matamshi ya kupinga ubaguzi wa rangi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog30 May
KIFO CHA MWAFRIKA GEORGE FLOYD: MAANDAMANO YATANDA KOTE MAREKANI KUDAI HAKI
![](https://ichef.bbci.co.uk/images/ic/720x405/p08fl9sx.jpg)
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
George Floyd: Wachezaji mbalimbali duniani walivyozungumzia kifo cha Floyd
Wachezaji wa Liverpool walipiga goti katikati ya uwanja wa Anfield kufikisha ujumbe wa kupinga mauaji ya raia wa Marekani mwenye asili ya Afrika George Floyd mjini Minneapolis.
5 years ago
BBCSwahili05 Jun
Kifo cha George Floyd: "Babangu amebadilisha dunia", ujumbe wa hisia uliotumwa na Gianna Floyd
Gianna ni mwana wa kike wa George Floyd , mwanamume ambaye alifariki wakati alipokamatwa na maafisa wa polisi wa Minneapolis wakati afisa mmoja alipowekelea goti lake katika shiko yake kwa daikia nane.
5 years ago
BBCSwahili04 Jun
George Floyd: Trump ashutumiwa kugawanya Wamarekani huku maafisa wanaouhishwa na kifo cha Floyd wakishtakiwa tena
Aliyekuwa Waziri wa Ulinzi wa Marekani James Mattis amemshutumu Rais Donald Trump, kwa kuleta mgawanyiko na kutumia vibaya mamlaka yake.
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
George Floyd: Mwandishi aelezea kwa nini ilikuwa vigumu kwa yeye kutazama video ya mauaji.
Wamarekani weusi nchini Marekani wameeleza namna ilivyo vigumu kutazama picha ya video ya mauaji ya Floyd.
5 years ago
CCM Blog02 Jun
UCHUNGUZI BINAFSI WABAINI MMAREKANI MWEUSI GEORGE FLOYD ALIKUFA KWA KUKOSA HEWA
![Kaka wa Floyd: 'Hiyo haitamrejesha '](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/F8D5/production/_112610736_ceaf1200-4de5-4da0-9918-80247dc8c379.jpg)
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Kifo cha George Floyd: Uchunguzi binafsi wabaini kuwa alikufa kwa kukosa hewa
George Floyd, raia mweusi wa Marekani ambaye kifo chake kimesababisha maandamano makubwa Marekani, alifariki dunia kwasababu ya ukosefu wa hewa safi ya (oksijeni), kwa mujibu wa uchunguzi binafsi wa maiti yake.
5 years ago
BBCSwahili12 Jun
Kifo cha George Floyd : Jenerali Mark Milley aomba msamaha kwa 'kuenda' kanisani na Trump
Jenerali G Mark Milley alikuwa miongoni mwa viongozi walioenda na rais kanisani baada waandamanaji kutawanywa ili apate nafasi ya kupiga picha.
9 years ago
Bongo527 Aug
Floyd Mayweather aonesha jeuri ya ‘parking’ ya magari aghali duniani!!
Bondia Floyd Mayweather, 38, ambaye anajiandaa na pambano lake la mwisho dhidi ya Andre Berto litakalofanyika MGM Granda mjini Las Vegas, Septemba 12, ameonesha magari yake matano ya kifahari yenye thamani ya dola milioni 10.6 kwa pamoja katika klabu yake ya masumbwi mjini Las Vegas, Nevada. Magari ya Mayweather yakiwa yamepaki nje ya klabu yake […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania