Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchezaji aonesha tisheti ya "haki kwa George Floyd"

Mchezaji wa timu ya Borrusia Dortmund na wachezaji wengine hawatachukuliwa hatua baada ya kutoa matamshi ya kupinga ubaguzi wa rangi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

KIFO CHA MWAFRIKA GEORGE FLOYD: MAANDAMANO YATANDA KOTE MAREKANI KUDAI HAKI

Mwendesha mashtaka akizungumzia makosa ya mauaji na kuua bila kukusudia.Waandamanaji wakusanyika nje ya Ikulu pamoja na maeneo mengine juu ya kifo cha raia mweusi George Floyd.Waandamanaji wanakabiliana na polisi katika miji mbalimbali nchini Marekani juu ya mauaji ya raia mweusi wa Marekani ambaye hakuwa na silaha aliyekufa mikononi mwa polisi huko Minneapolis.Gavana wa Minnesota amesema kwamba kifo cha George Floyd aliyekuwa kizuizini kimeonesha mauaji ya kiholela.New York, Atlanta na...

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Wachezaji mbalimbali duniani walivyozungumzia kifo cha Floyd

Wachezaji wa Liverpool walipiga goti katikati ya uwanja wa Anfield kufikisha ujumbe wa kupinga mauaji ya raia wa Marekani mwenye asili ya Afrika George Floyd mjini Minneapolis.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kifo cha George Floyd: "Babangu amebadilisha dunia", ujumbe wa hisia uliotumwa na Gianna Floyd

Gianna ni mwana wa kike wa George Floyd , mwanamume ambaye alifariki wakati alipokamatwa na maafisa wa polisi wa Minneapolis wakati afisa mmoja alipowekelea goti lake katika shiko yake kwa daikia nane.

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Trump ashutumiwa kugawanya Wamarekani huku maafisa wanaouhishwa na kifo cha Floyd wakishtakiwa tena

Aliyekuwa Waziri wa Ulinzi wa Marekani James Mattis amemshutumu Rais Donald Trump, kwa kuleta mgawanyiko na kutumia vibaya mamlaka yake.

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Mwandishi aelezea kwa nini ilikuwa vigumu kwa yeye kutazama video ya mauaji.

Wamarekani weusi nchini Marekani wameeleza namna ilivyo vigumu kutazama picha ya video ya mauaji ya Floyd.

 

5 years ago

CCM Blog

UCHUNGUZI BINAFSI WABAINI MMAREKANI MWEUSI GEORGE FLOYD ALIKUFA KWA KUKOSA HEWA

Kaka wa Floyd: 'Hiyo haitamrejesha 'Image captionKaka wa Floyd: 'Hiyo haitamrejesha 'George Floyd, raia mweusi wa Marekani ambaye kifo chake kimesababisha maandamano makubwa Marekani, alikufa kutokana na ukosefu wa hewa safi ya (oksijeni), kwa mujibu wa uchunguzi binafsi wa maiti yake.Alifariki kwa kukandamizwa kwa goti shingoni na mgongoni na maafisa wa polisi wa Minneapolis, uchunguzi wa kimatibabu uliosimamiwa na familia ya Floyd umebaini hilo.Matokeo hayo yanatofautiana na matokeo ya uchunguzi wa mwili wake uliofanywa na...

 

5 years ago

BBCSwahili

Kifo cha George Floyd: Uchunguzi binafsi wabaini kuwa alikufa kwa kukosa hewa

George Floyd, raia mweusi wa Marekani ambaye kifo chake kimesababisha maandamano makubwa Marekani, alifariki dunia kwasababu ya ukosefu wa hewa safi ya (oksijeni), kwa mujibu wa uchunguzi binafsi wa maiti yake.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kifo cha George Floyd : Jenerali Mark Milley aomba msamaha kwa 'kuenda' kanisani na Trump

Jenerali G Mark Milley alikuwa miongoni mwa viongozi walioenda na rais kanisani baada waandamanaji kutawanywa ili apate nafasi ya kupiga picha.

 

9 years ago

Bongo5

Floyd Mayweather aonesha jeuri ya ‘parking’ ya magari aghali duniani!!

Bondia Floyd Mayweather, 38, ambaye anajiandaa na pambano lake la mwisho dhidi ya Andre Berto litakalofanyika MGM Granda mjini Las Vegas, Septemba 12, ameonesha magari yake matano ya kifahari yenye thamani ya dola milioni 10.6 kwa pamoja katika klabu yake ya masumbwi mjini Las Vegas, Nevada. Magari ya Mayweather yakiwa yamepaki nje ya klabu yake […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani