Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


H BABA: Mwanasoka anayetikisa katika muziki ‘Takeu’

WAHENGA walisema: ‘Mshika mbili moja humponyoka’. Ni usemi unaotumiwa na kuitahadharisha jamii kutoshiriki masuala mawili kwa wakati mmoja, kwani kuna uwezekano mkubwa wa kutofanikiwa yote. Ni sawa na kusema: ‘Mtaka...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

DULLY SYKES AELEZEA MCHANGO WA BABA YAKE KATIKA MUZIKI WAKE

Jana ndipo ilipokuwa safari ya mwisho ya Marehemu Mzee Sykes baba yake na Msanii Mkongwe Nchini Dully Sykes ambapo Mzee Sykes alipumzishwa katika makazi yake ya Milele huko katika Makaburi ya Kisutu Jijini Dar-es-Salaam.
Kutokana na Msiba huo Tokea Juzi simu ya Dully Imekuwa haipatikani Ila leo @DjHaazu wa @MamboJamboRadio amempata na Kupiga naye Story mbili tatu kuhusiana na Marehemu Mzee Sykes kwa kifupi.Katika Mazungumzo yake Dully ameeleza kuwa Mzee Wake alikuwa anaugua Muda mrefu na...

 

11 years ago

Mwananchi

Kcee: Mwanasoka aliyefanikiwa baada ya kugeukia muziki

Ndoto ni kitu ambacho binadamu wengi wanacho, ingawa kila mmoja anakuwa na mtazamo tofauti kulingana na namna gani anafikiria kuhusiana na ndoto zake.

 

10 years ago

GPL

DIAMOND PLATNUMZ KUFANYA MAKAMUZI KATIKA UTOAJI TUZO ZA MWANASOKA BORA WA AFRIKA NCHINI NIGERIA LEO

Diamond Platnumz akifurahia jambo na mmoja wa wasanii wa Kundi la P Square, Peter Okoye wakati akijiandaa kwa ajili ya shoo yake ya leo nchini Nigeria. Diamond akibadilishana mawazo na mwanamuziki Fally Ipupa jijini…

 

10 years ago

GPL

DIAMOND AKAMILISHA ‘TAKEU’ KWA MADEMU

Stori: Hamida Hassan
Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ amekamilisha ‘TAKEU’ kwa mademu baada ya kufanikiwa kutembea na mademu wanaosifika kwa uzuri kutoka Tanzania, Kenya na Uganda. Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’. Historia inaonesha dogo huyo kutoka Tandale aliwahi kufanya kazi na msanii mrembo kutoka nchini Kenya, Avril na ikadaiwa licha ya kukutana kikazi jamaa alimsaliti mpenzi...

 

10 years ago

Bongo5

Daz Baba apanga kufungua kituo cha mafunzo ya ujasiriamali utokanao na muziki

Member wa kundi la Daz Nundaz, Daz Baba anatarajia kuanza kufanya ziara za muziki mikoani ili kukusanya pesa zitazosaidia kuanzisha kituo cha mafunzo ya ujasiriamali utokanao na muziki. Daz ameiambia Bongo5 kuwa tayari ameshapanga kuanza na mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha na Mbeya. “Hii tuor ni kwaajili ya tasisi yangu Tanzania Songambele Daima Organization,” amesema. […]

 

9 years ago

Bongo5

Nimeshauriwa na Zitto nisiache kazi ya muziki kwasababu Udiwani hauna pesa – Baba Levo

Baba Levoooo_full

Msanii wa muziki na mchekeshaji, Baba Levo ambaye sasa ni Diwani wa Mwanga Kaskazini mkoani Kigoma, amebadili uamuzi aliopanga kuuchukua baada ya kushinda nafasi hiyo ya kuwatumikia wananchi, ambao ni kuacha kufanya muziki.

Baba Levoooo_full

Uamuzi wa kuendelea na kazi ya muziki huku akiwa Diwani umetokana na ushauri aliopata kutoka kwa Mbunge wa Kigoma Mjini mhe. Zitto Kabwe.

Baba Levo ameiambia Bongo5 kuwa Zitto amemshauri asiache kufanya kazi yake ya muziki kwasababu udiwani sio ajira ya kutegemea...

 

11 years ago

Tanzania Daima

LUPITA NYONG’O: Mwanadada Mkenya anayetikisa Hollywood

ILIKUWA ni nadra kwa waigizaji wa Afrika Mashariki kung’ara katika medani za filamu hata wanapopata nafasi ya kufanya kazi na nyota wa Hollywood. Pamoja na kupata bahati hiyo  mara kadhaa,...

 

10 years ago

Vijimambo

ABELA KIBIRA MWANAMUZIKI MWENYE ASILI YA TANZANIA ANAYETIKISA AMERIKA KIMUZIKI

Mkoa wa Kagera umebarikiwa kuwa na uwakilishi mzuri katika tasnia mbalimbali ndani na nje ya nchi, mfano mzuri ni Mwanamuziki wa kike Abela ambaye ni mzaliwa wa Bukoba Mkoani Kagera anayepeperusha vyema bendera ya Tanzania kimziki huko Amerika anakoishi na kufanya kazi zake za muziki.

Abela Kibira alizaliwa Septemba 22 mwaka 1989 akiwa mtoto wa kwanza katika familia ya Mtanzania Josiah Kibira mzaliwa wa Bukoba Kagera, Tanzania na Mmarekani, Mrs Josiah Kibira.
Mchanganyiko huo wa tamaduni...

 

10 years ago

Vijimambo

KUTANA NA DONNIE KIPUSA ANAYETIKISA NIGERIA KWA UMBO LAKE HUYU HAPA

Anajulikana kwa jina la Donnie akiwa ni moja kati ya wasichana wazuri na wenye maumbo makubwa na yakuvutia huko Nigeria  ni shiiida jitiririshe hapa  chini picha zake. 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani