Watakiwa kumaliza uvunaji haramu
Kamati za mazingira za kata na vijiji wilayani Korogwe mkoani Tanga, zimeshauriwa kujipanga kutokomeza uvunaji haramu wa miti katika misitu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziSerikali yafanikiwa kudhibiti uvunaji haramu wa mazao ya misitu - Mafupa
Hayo yamesemwa na Meneja wa Wakala wa huduma za Misitu Tanzania kanda ya Kaskazini (TFS) bw. Cuthbert Mafupa wakati wa ziara ya waandishi wa Habari waliotembelea hifadhi ya Chome na ile ya Amani iliyipo mkoani Tanga ili kujifunza na kuona hatua...
10 years ago
Habarileo01 Aug
Watakiwa kuwafichua wahamiaji haramu
WANANCHI wa mkoa wa Kigoma wametakiwa kutimiza kwa vitendo mkakati wa ulinzi wa nchi kwa kuwafichua wahamiaji haramu wanaoingia na silaha mkoani humo kwa nia ya kutenda vitendo vya uhalifu.
9 years ago
Mwananchi23 Nov
Wafugaji, hifadhi watakiwa kutumia vikao kumaliza migogoro
10 years ago
Michuzi
Wasanii wa Filamu Nchini watakiwa kutokuwa makontena ya biashara haramu


5 years ago
Michuzi
WAKANDARASI MRADI WA UMEME WA PERI-URBAN WATAKIWA KUMALIZA KAZI MWEZI JUNI


Hafsa Omar-DodomaWAKANDARASI wanaotekeleza mradi wa umeme pembezoni mwa...
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Kituo cha kuendeleza Samaki Kanda ya Kati chatoa siku saba kwa wavuvi haramu kusalimisha zana haramu wanazotumia
Baadhi ya nyavu haramu zisizoruhusiwa kutumika kuvulia samaki kwenye bwawa la Kijiji cha Mwanzugi,wilayani Igunga.
Na. Jumbe Ismailly
[IGUNGA] Kituo cha kuendeleza samaki Kanda ya kati,chenye makao yake makuu wilayani Igunga,Mkoani Tabora kimetoa muda wa siku saba kuanzia sasa kwa watu wote wanaojishughulisha na uvuvi...
10 years ago
Mtanzania05 Jun
Serikali yabanwa dhana ya uvunaji maji
MBUNGE wa Baraza la Wawakilishi, Asaa Othamn Hamad (CUF), ameitaka Serikali kueleza dhana ya uvunaji wa maji ya mvua imeishia wapi.
Akiuliza swali bungeni jana, Mbunge huyo alisema kutokana na mabadiliko ya tabianchi, licha ya kujaliwa rasilimali kama misitu, mito na maziwa, bado kuna maeneo yanayorejesha nyuma shughuli za kilimo.
“Je ile dhana ya Serikali ya kuvuna maji ya mvua, imeishi wapi?” alihoji.
Akijibu swali hilo, Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage, alisema kwa...
11 years ago
Michuzi.jpg)
KINANA, NAPE WASHIRIKI UVUNAJI CHAI,MUFINDI
.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Uvunaji maliasili za Taifa lazima unufaishe Watanzania — Sumaye