Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je wagonjwa mahututi wasaidiwe kufa?

Desmond tutu amesema kwamba anaunga mkono wagonjwa mahututi wanaotaka kusaidiwa kufariki wafanyiwe hivyo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Chumba cha wagonjwa mahututi ni nini na ni wagonjwa gani wanastahili kukitumia?

ICU ni wodi maalum inayotoa huduma kwa wagonjwa ambao wako katika hali mbaya na watafuatiliwa kwa karibu lakini chumba hiki kikoje?

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kwanini hospitali za Uhispania zimetangaza kuhudumia wagonjwa mahututi pekee?

Hospitali zimewataka wasio na dalili kali kurejea nyumbani ili ziweze kuwahudumia vikongwe

 

5 years ago

BBCSwahili

Waziri Mkuu Boris Johnson apelekwa katika chumba cha wagonjwa mahututi

Boris Johnson ahamishiwa chumba cha wagonjwa mahututi baada ya hali yake kiafya kuzorota zaidi .

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson yuko katika chumba cha wagonjwa mahututi.

Coronavirus: Waziri Mkuu wa Uingereza yuko katika chumba cha wagonjwa mahututi.

 

10 years ago

Vijimambo

MCHEZAJI NGULI WA BRAZIL PELE AMELAZWA HOSPITAL KWENYE CHUMBA CHA WAGONJWA MAHUTUTI (ICU)

Mchezaji wa siku nyingi nchini Brazil na aliyeiwezesha Brazil kunyakua kombe la Dunua mara tatu  amelazwa hospitali ya mjini Sao Paulo kwa maambukizi baada ya kufanyiwa upasuaji kuondoa mawe kwenye figo ya mchezaji huyo.

Pele mwenye miaka 74 alilazwa kwenye hospitali hiyo  jumanne wiki hii baada ya kupata maambukizi kutokana na kufanyiwa upasuaji kuondoa mawe kwenye figo mwezi uliopita.

Madaktari wa hospitali ya Albert Einstein ya mjini Sao Paulo wamesema hali ya mchezaji huyo inaendelea...

 

5 years ago

Michuzi

Virusi vya corona: Waziri Mkuu Boris Johnson apelekwa katika chumba cha wagonjwa mahututi

Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson amepelekwa katika chumba cha kuhudumia wagonjwa mahututi baada ya hali yake kiafya kuwa mbaya kwa siku kumi zaidi kwasababu ya ugonjwa wa virusi vya Corona, kwa mujibu wa msemaji katika makazi ya Waziri Mkuu.

Bwana Johnson amemuambia Waziri wa mambo ya nje Dominic Raab kuchukua usukani "pale ambapo kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo", msemaji ameongeza.

Waziri Boris ,mwenye umri wa miaka 55, alilazwa katika hospitali ya St Thomas mjini London wakati...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Kuganda kwa damu, tatizo linalowakumba wagonjwa wengi walio katika hali mahututi lazua hofu

Wongonjwa wengi ambao wamekuwa na tatizo la damu kuganda katika mishipa wamekuwa wakitumia dawa za kujaribu kuyeyusha damu hiyo na kufanya tatizo hilo lisilo la kawaida kuwa la kipekee.

 

10 years ago

Vijimambo

Mbunge ataka waliojenga mabondeni wasaidiwe

Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Naomi Kaihula (pichani), amesema tatizo la wakazi wa mabondeni linatatulika endapo serikali itaweka mikakati mizuri ya miundombinu katika maeneo hayo.
Kaihula alisema kuwaondoa wakazi hao kwa ajili ya tahadhari ya mafuriko ni jambo zuri, lakini kwa kuwa wakazi hao wanaishi kihalali katika maeneo hayo, wanatakiwa kuandaliwa eneo mbadala.
Akizungumza na wakazi wa Jangawani jijini Dar es Salaam juzi, Kaihula alisema wakati...

 

10 years ago

Tanzania Daima

IIED: Watetezi haki za binadamu wasaidiwe

JAMII imeshauriwa kutoa msaada kwa watetezi wa haki za binadamu katika maeneo yao ili kujenga misingi bora. Ushauri huo umetolewa jana jijini hapa na Mkurugenzi wa Shirika la Kimataifa la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani