Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ugiriki yakubali masharti ya wadeni

Wabunge wa Ugriki wamepiga kura kuunga mkono masharti mapya yaliyowekwa na wadeni wa taifa hilo lililo katika hatari ya kufilisika.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ulaya yakubali kuipa Ugiriki mkopo

Benki kuu ya ulaya ECB imeafikiana kuendelea kuzifadhili benki za Ugiriki kuambatana na mapatano yaliyopendekezwa ijumaa iliyopita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ulaya yakubali kuipa Ugiriki mkopo zaidi

Viongozi wa mataifa ya ukanda unaotumia sarafu ya Euro wamekubaliana kwa pamoja kuipa Ugiriki mkopo wa tatu kunusuru uchumi wake

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki yakubaliana na masharti magumu

Bunge la Ugiriki limepitisha masharti magumu yaliyowekwa na Jumuiya ya nchi za ukanda wa Euro.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki imeahidi kutimiza masharti mapya

Ugiriki iko mbioni kuandika mapendekezo mapya yatakayo kwamua mazungumzo ya kutafutia ufumbuzi wa matatizo yake ya kiuchumi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Video:Masharti ya mkopo uliopewa Ugiriki

Ugiriki imepewa masharti makali ambayo sharti iyatimize kabla haijapewa awamu ya tatu ya mkopo wa Euro bilioni 50

 

11 years ago

Habarileo

Wizara ya Habari kufuatilia wadeni wa TSN

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Sihaba Nkinga WIZARA ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo inatarajia kufuatilia kwa karibu kuhakikisha taasisi zote za serikali, zinazodaiwa na Kampuni ya Tanzania Standard Newspapers (TSN) Ltd, zinalipa madeni hayo haraka.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Serikali zimeanza kulegeza masharti ya kukabiliana maambukizi, Je kulegeza masharti ni hatari kiasi gani?

Nchini Uingereza watu wameanza kurejelelea shughuli zao za kawaida, watu kukutana, baadhi ya watoto wanarejea shuleni, maeneo ya maonyesho ya magari yanafunguliwa, na masoko kufunguliwa tena.

 

10 years ago

Mwananchi

NEC yakubali yaishe

>Hatimaye Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekubali yaishe na kutangaza uamuzi wa kuahirisha Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa iliyopangwa kufanyika Aprili 30, kutokana na kutokamilika kwa uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa kutumia teknolojia ya Biometric Voters Registration (BVR).

 

10 years ago

Mtanzania

CUF yakubali kufutwa

kambayaNA AGATHA CHARLES
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimekubaliana na uamuzi wa Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi wa kukifuta katika orodha ya vyama vya siasa kwa sababu hakiko tayari kuvunja vikundi vyake vya ulinzi vinavyojulikana kwa majina ya Blue Guard na White Guard.
Kimesema kwa sasa licha ya kuwepo zuio la kuvitumia vikundi hivyo kutoka kwa Jaji Mutungi na Mkuu wa Jeshi la wa Polisi (IGP), Ernest Mangu, kitaendelea kuvitumia vikundi hivyo katika ziara zake za kichama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani