Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ugiriki yakubaliana na wakopaji wake

Ugiriki inasema kuwa imekubaliana na wakopaji wake mpango wa kuikwamua kutoka kwa deni lake kulingana na waziri wa fedha nchini humo Euclid Tsakalotos.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki yakubaliana na masharti magumu

Bunge la Ugiriki limepitisha masharti magumu yaliyowekwa na Jumuiya ya nchi za ukanda wa Euro.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki iko tayari kunusuru uchumi wake

Serikali ya Ugiriki imeleezea imani yake kwamba mkataba kuhusu madeni yake, utafikiwa ndani ya saa arobaini na nane,

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nidhamu mbaya mkopo ni sumu kwa wakopaji

LICHA ya  mkopo kuwa msaada mkubwa kwa wananchi, wakiwemo wafanyabiashara lakini hugeuka shubiri kwa baadhi ya wakopaji ambao wamekuwa hawana nidhamu ya mkopo. Ukweli ni kwamba hata kwenye maeneo tunamoishi...

 

5 years ago

Michuzi

BOT YATOA KANUNI MPYA ZA KUWALINDA WAKOPAJI KATIKA MABENKI

BENKI kuu ya Tanzania (BOT) imeanzisha  kanuni mpya (Bank of Tanzania Financial consumer Regulations) za kumsaidia mteja pindi apatapo mkopo kutoka benki mbalimbali ili kuweza kulinda haki ya hati aliyotumia kuomba mkopo huo.

Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Arusha katika semina inayotolewa na Benki kuu ya Tanzania kwa Waandishi wa Habari za  Uchumi na Fedha,Meneja Msaidizi Dawati la Kutatua Migogoro Benki Kuu ya Tanzania, Bw. Ganga Mlipano amesema kuwa kanuni hizo zimetolewa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Afghanistan yakubaliana na Marekani

Rais mpya wa Afghanistan ameweka sahihi mkataba utakaoruhusu wanajeshi takriban 12,000 wa Marekani kusalia nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool yakubaliana kumsajili Benteke

Klabu ya Liverpool imeafikia makubaliano ya kumsajili mshambuliaji wa Aston Villa Christian Benteke kwa kitita cha pauni milioni 32.5.

 

10 years ago

BBCSwahili

Serikali yakubaliana na waasi Mali

Serikali na Waasi nchini Mali wakubaliana kumaliza mapigano Mali

 

10 years ago

BBCSwahili

Nyuklia:Iran yakubaliana na mataifa 6 makubwa

Hatimaye makubaliano ya kihistoria yametangazwa kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran na mataifa 6 makubwa duniani.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Mabenki Tanzania yaelekezwa kutoa ahueni kwa wakopaji wao

Benki Kuu ya Tanzania imetoa maelekezo kwa mabenki na makampuni ya simu juu ya namna ya kutoa unafuu wa masuala ya kifedha kwa wateja wao

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani