Ugiriki yakubaliana na wakopaji wake
Ugiriki inasema kuwa imekubaliana na wakopaji wake mpango wa kuikwamua kutoka kwa deni lake kulingana na waziri wa fedha nchini humo Euclid Tsakalotos.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Jul
Ugiriki yakubaliana na masharti magumu
Bunge la Ugiriki limepitisha masharti magumu yaliyowekwa na Jumuiya ya nchi za ukanda wa Euro.
10 years ago
BBCSwahili17 Feb
Ugiriki iko tayari kunusuru uchumi wake
Serikali ya Ugiriki imeleezea imani yake kwamba mkataba kuhusu madeni yake, utafikiwa ndani ya saa arobaini na nane,
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Nidhamu mbaya mkopo ni sumu kwa wakopaji
LICHA ya mkopo kuwa msaada mkubwa kwa wananchi, wakiwemo wafanyabiashara lakini hugeuka shubiri kwa baadhi ya wakopaji ambao wamekuwa hawana nidhamu ya mkopo. Ukweli ni kwamba hata kwenye maeneo tunamoishi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ts0idBQ-fSw/XmESrWAIphI/AAAAAAALhW4/5pthtd8zTz46XhRtQxUahCsZMPAISckMACLcBGAsYHQ/s72-c/G1.jpg)
BOT YATOA KANUNI MPYA ZA KUWALINDA WAKOPAJI KATIKA MABENKI
BENKI kuu ya Tanzania (BOT) imeanzisha kanuni mpya (Bank of Tanzania Financial consumer Regulations) za kumsaidia mteja pindi apatapo mkopo kutoka benki mbalimbali ili kuweza kulinda haki ya hati aliyotumia kuomba mkopo huo.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Arusha katika semina inayotolewa na Benki kuu ya Tanzania kwa Waandishi wa Habari za Uchumi na Fedha,Meneja Msaidizi Dawati la Kutatua Migogoro Benki Kuu ya Tanzania, Bw. Ganga Mlipano amesema kuwa kanuni hizo zimetolewa...
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Arusha katika semina inayotolewa na Benki kuu ya Tanzania kwa Waandishi wa Habari za Uchumi na Fedha,Meneja Msaidizi Dawati la Kutatua Migogoro Benki Kuu ya Tanzania, Bw. Ganga Mlipano amesema kuwa kanuni hizo zimetolewa...
10 years ago
BBCSwahili30 Sep
Afghanistan yakubaliana na Marekani
Rais mpya wa Afghanistan ameweka sahihi mkataba utakaoruhusu wanajeshi takriban 12,000 wa Marekani kusalia nchini humo.
10 years ago
BBCSwahili19 Jul
Liverpool yakubaliana kumsajili Benteke
Klabu ya Liverpool imeafikia makubaliano ya kumsajili mshambuliaji wa Aston Villa Christian Benteke kwa kitita cha pauni milioni 32.5.
10 years ago
BBCSwahili20 Feb
10 years ago
BBCSwahili14 Jul
Nyuklia:Iran yakubaliana na mataifa 6 makubwa
Hatimaye makubaliano ya kihistoria yametangazwa kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran na mataifa 6 makubwa duniani.
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya Corona: Mabenki Tanzania yaelekezwa kutoa ahueni kwa wakopaji wao
Benki Kuu ya Tanzania imetoa maelekezo kwa mabenki na makampuni ya simu juu ya namna ya kutoa unafuu wa masuala ya kifedha kwa wateja wao
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania