Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Liverpool yakubaliana kumsajili Benteke

Klabu ya Liverpool imeafikia makubaliano ya kumsajili mshambuliaji wa Aston Villa Christian Benteke kwa kitita cha pauni milioni 32.5.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool kumsajili Benteke

Liverpool imekubali kumsajili mshambuliaji wa Aston Villa Christian Benteke kulingana na mtandao wa Talksport.

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool yamwinda Benteke

Klabu ya Liverpool nchini Uingereza imetoa kitita cha pauni milioni 32.5 kwa Aston Villa kwa lengo la kumsajili mshambuliaji wa Ubelgiji Christian Benteke.

 

10 years ago

BBCSwahili

Benteke ahamia rasmi Liverpool

Timu ya livepool imekamilisha kumsajili rasmi mshambuliaji mwenye asili ya Jamuhuri ya Kidemokrasia wa kongo Christian Benteke kutoka Aston Villa kwa kitita paundi milion 32.5.

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool kumsajili James Milner

Liverpool imekubali kumsajili kiungo wa kati wa Uingereza James Milner kutoka kwa kilabu ya Manchester City kwa uhamisho wa bure.

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya Liverpool kujishauri kumsajili Alexandre Pato, haya ndio maamuzi yaliofanywa na klabu yake …

Mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil ambaye amewahi kuichezea klabu ya AC Milan ya Italia Alexandre Pato alikuwa katika mipango ya Liverpool ya Uingereza kwa muda mrefu, lakini uhamisho wake ulikuwa unatajwa kukamilishwa January. Pato yupo katika klabu ya Corinthians baada ya kuondoka AC Milan mwaka 2013. Baada ya Liverpool kujishauri kumsajili Alexandre Pato, licha ya kuwa waliwahi kutuma ofa […]

The post Baada ya Liverpool kujishauri kumsajili Alexandre Pato, haya ndio maamuzi yaliofanywa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tim Sherwood:'Benteke ndiye bora Ulaya'

Christian Benteke ndiyo mshambuliaji bora Ulaya kulingana na Kocha wa Aston Villa Tim Sherwood.

 

10 years ago

BBCSwahili

Afghanistan yakubaliana na Marekani

Rais mpya wa Afghanistan ameweka sahihi mkataba utakaoruhusu wanajeshi takriban 12,000 wa Marekani kusalia nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Serikali yakubaliana na waasi Mali

Serikali na Waasi nchini Mali wakubaliana kumaliza mapigano Mali

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki yakubaliana na wakopaji wake

Ugiriki inasema kuwa imekubaliana na wakopaji wake mpango wa kuikwamua kutoka kwa deni lake kulingana na waziri wa fedha nchini humo Euclid Tsakalotos.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani