Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Phiri ampa Kisiga majukumu mazito Simba

Kocha Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri. Na Sweetbert Lukonge
KOCHA Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri, amempa majukumu mazito kiungo wake, Shabani Kisiga kwa kumtaka kuhakikisha anasimamia suala la nidhamu katika kikosi hicho. Simba ipo kisiwani Unguja ambapo imeweka kambi ya kujiandaa na msimu ujao wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuanza kutimua vumbi Septemba 20, mwaka huu na wao wataanzia Kaitaba dhidi ya Kagera Sugar....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Kibadeni ampa mawaidha Kocha Phiri wa Simba

ZIKIWA zimesalia siku nne  kufikia mpambano  wa  nani mtani jembe kati ya watani wa jadi  Simba na Yanga,  Kocha wa zamani wa kikosi cha Wanamsimbazi Abdallah Kibadeni, amemshauri  kocha mkuu  wa timu ya Simba Patrick Phiri kuimarisha safu ya ushambuliaji na ulinzi.
Kibadeni alisema Simba wana nafasi kubwa ya kutetea ushindi wao, lakini  wanachotakiwa kuzingatia ni kwenye safu hizo mbili ili waweze kuzuia mashambulizi ya wapinzani wao, vinginevyo itawawia ngumu.
"Mechi hiyo itakuwa ngumu kwa...

 

10 years ago

GPL

Coutinho awapa majukumu mazito...

Kiungo mshambuliaji mpya wa Yanga, Mbrazili, Andrey Coutinho. Na Wilbert Molandi
KIUNGO mshambuliaji mpya wa Yanga, Mbrazili, Andrey Coutinho, amewapa majukumu mazito mabeki wake, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ na Kelvin Yondani katika mechi zijazo za Ligi Kuu Bara. Mbrazili huyo alitua kuichezea timu hiyo msimu huu wa ligi kuu akitokea nyumbani kwao na ameshindwa kucheza mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa kutokana...

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete ampa Humba majukumu mapya

Emmanuel Humba, Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF).RAIS Jakaya Kikwete amemteua Emmanuel Humba kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF).

 

9 years ago

Mtanzania

Aveva ampa masharti mazito MO

DewjiNA MSHAMU NGOJWIKE

UONGOZI wa Simba upo tayari kumpa timu bilionea, Mohamed Dewji (MO), endapo wanachama watakubali kuuza hisa za klabu katika mkutano mkuu utakaofanyika Januari mwakani na kama atakubali kutoa thamani halisi ya klabu hiyo.

Hivi karibuni bilionea huyo alinukuliwa na vyombo vya habari akieleza nia yake ya kutaka kuimiliki klabu hiyo kwa kununua hisa za wanachama kwa asilimia 50 kwa kutoa ofa ya shilingi bilioni 20 za Kitanzania.

Akizungumza jijini jana, Rais wa Simba, Evans...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kiemba, Kisiga waitesa Simba

HATIMA ya wachezaji Amri Kiemba, Haruna Chanongo na Shaabani Kisiga wa Simba kujerea dimbani, bado haijulikani, kutokana na kikao baina yao na Rais wa klabu hiyo, Evance Aveva, kushindwa kuzaa...

 

10 years ago

GPL

Kiemba, Kisiga watimuliwa Simba SC

Mkongwe wa Simba Amri Kiemba. Na Mwandishi Wetu
UNAWEZA kusema kimenuka Simba baada ya uongozi wake kuamua kuwaondoa kambini wachezaji wake watatu wakiwemo wakongwe wawili.Shabani Kisiga na Amri Kiemba wameondolewa kambini Simba mjini Mbeya na kutakiwa kurejea jijini Dar es Salaam wakati timu ikifunga safari hadi Iringa ambako itaweka kambi. Mwingine ambaye ameondolewa kambini ni kinda Haruna Chanongo ambaye ataungana na akina...

 

10 years ago

GPL

Kisiga arudishwa Simba, afukuzwa mazoezini

Kiungo wa Simba, Shaban Kisiga. Said Ally na Ibrahim Mussa
UONGOZI wa Klabu ya Simba, umeamua kumrudisha kiungo wake, Shaban Kisiga katika kikosi cha timu hiyo baada ya kumsimamisha kwa muda, kisa kikiwa ni utovu wa nidhamu na kucheza chini ya kiwango katika michezo iliyopita ya ligi kuu. Kiungo huyo mkongwe ambaye alijiunga na Simba akitokea Mtibwa Sugar, alirejea katika kikosi cha timu hiyo jana (Jumanne) ambacho kilikuwa...

 

11 years ago

GPL

Kisiga alamba mwaka mmoja Simba

Straika wa zamani wa Simba, Shabani Kisiga. Na Ibrahim Mussa
IMEBAINIKA kuwa, Simba imempa mkataba wa mwaka mmoja straika wao wa zamani, Shabani Kisiga.
Chanzo kutoka ndani ya Simba kimeliambia Championi Jumatatu kuwa, mchezaji huyo kwa asilimia 99 tayari ameshasajiliwa na klabu hiyo lakini kinachosubiriwa sasa ni Kamati ya Usajili ya Simba kumalizana naye na hatimaye kutambulishwa. Tayari ameshaanza kujifua na timu hiyo...

 

11 years ago

GPL

Loga awarudisha Boban, Kisiga Simba

Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, Sweetbert Lukonge na Nassor Gallu
SIMBA ipo katika hatua za mwisho kuwasainisha mikataba mifupi viungo wakongwe nchini, Haruna Moshi ‘Boban’ na Shabani Kisiga ‘Maron’. Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, amesema anataka viungo wawili wazoefu na si wale ambao wanataka kujifunza.Loga, raia wa Croatia, amesisitiza anataka wachezaji wa kazi ambao watamsaidia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani