Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete ampa Humba majukumu mapya

Emmanuel Humba, Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF).RAIS Jakaya Kikwete amemteua Emmanuel Humba kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF).

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Phiri ampa Kisiga majukumu mazito Simba

Kocha Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri. Na Sweetbert Lukonge
KOCHA Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri, amempa majukumu mazito kiungo wake, Shabani Kisiga kwa kumtaka kuhakikisha anasimamia suala la nidhamu katika kikosi hicho. Simba ipo kisiwani Unguja ambapo imeweka kambi ya kujiandaa na msimu ujao wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuanza kutimua vumbi Septemba 20, mwaka huu na wao wataanzia Kaitaba dhidi ya Kagera Sugar....

 

9 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AMPA ZAWADI JENERALI SARAKIKYA

Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi zawadi ya gari Mkuu wa Majeshi wa kwanza Mzalendo Jenerali Mstaafu Mirisho Sarakikya wakatiu wa hafla ya kuwatunuku kamisheni maafisa wapya wa jeshi katicha chuo cha Momduli jana.Kushoto ni Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange.Jenerali Sarakikya amekabidhiwa zawadi hiyo kwa kutambua mchango wake mkubwa kwa kujenga misingi imara ya jeshi la Wananchi wa Tanzania lenye weledi na nidhamu ya hali ya juu(picha na Freddy Maro)

 

9 years ago

Bongo Movies

Wastara Ampa Ampa Kichapo Bondi

KAZI ipo! Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma anadaiwa kumpa kichapo kikali aliyekuwa mwandani wake, Bond Suleiman baada ya kupatwa na kile kinachosemwa kuwa ni kupandisha majini.

Kwa mujibu wa chanzo chetu, kupandisha majini hayo kulitokana na jinsi ambavyo mwanaume huyo amekuwa akimtendea mpenziwe huyo, ambaye inadaiwa katika kupandisha huko, alitoa maelekezo ya namna anavyotakiwa kufanya.

“Nakuambia ilikuwa varangati siku hiyo, Wastara alipandisha majini akiwa na Bond, walikuwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete alikabidhi Jeshi la Polisi magari mapya 399 kati ya 777 yaliyoagizwa

p2

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe Mathias Chikawe, IGP Ernest Mangu wakati akikagua sehemu ya magari mapya 399 kati ya 777 aliyokabidhi kwa jeshi la polisi leo Jumanne Oktoba 20, 2015 huko katika Chuo cha Polisi Kurasini Dar es salaam. (PICHA NA IKULU).

p3

p1

 

9 years ago

GPL

RAIS KIKWETE ALIKABIDHI JESHI LA POLISI MAGARI MAPYA 399 KATI YA 777 YALIYOAGIZWA‏

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe Mathias Chikawe, IGP Ernest Mangu wakati akikagua sehemu ya magari mapya 399 kati ya 777 aliyokabidhi kwa jeshi la polisi jana Jumanne Oktoba 21, 2015 huko katika Chuo cha Polisi Kurasini Dar es salaam. PICHA NA…

 

10 years ago

Michuzi

Tughe NHIF wamzawadia Humba mil.10

 Mkurugenzi Mtendaji mstaafu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Emmanuel Humba akisalimiana na wafanyakazi wa mfuko wakati wa hafla ya kumuaga ambapo Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya (Tughe) tawi la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), kimemkabidhi zawadi ya sh. milioni 10 aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa mfuko huo, Emmanuel Humba kutokana na kuthamini mchango wake kabla hajastaafu. Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya (Tughe) tawi la NHIF, Gabriel...

 

10 years ago

Daily News

Humba appointed WFC board chairman


Humba appointed WFC board chairman
Daily News
PRESIDENT Jakaya Kikwete has appointed Mr Emmanuel Humba as the new chairman of the Board of Trustees of the Workers Compensation Fund (WCF) effective from January 22, this year, for a three-year term. Spokesperson for Labour and Employment ...

 

10 years ago

Michuzi

NHIF shikamaneni kwenye kazi - Humba

WATUMISHI wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, (NHIF) wametakiwa kushikamana kwa pamoja na kufanya kazi bila kujali muda wa kazi ili kuhakikisha shirika hilo linabaki na heshima yake huku wanachama wakihudumiwa kwa heshima.
Rai hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Bw. Emanuel Humba katika hafla ya kuaagwa wastaafu wa Mfuko huo.
Bw. Humba ambaye naye alikuwa ni miongoni mwa waagwa, alisema kuwa mbinu kubwa ya kushinda katika utenda kazi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Elimu itolewe kwa wananchi ili kuzuia kasi ya maambukizi mapya ya VVU Wilayani Mafia — Mama Salma Kikwete

9151

Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete akizungumza na wafanyakazi wa hospitali ya Wilaya ya Mafia (hawapo pichani).

258

Baadhi ya wafanyakazi wa hospitali ya Wilaya ya Mafia wakifuatilia kwa makini hotuba iliyokuwa ikitolewa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (hayupo pichani).

Na Anna Nkinda – Maelezo, Mafia

Viongozi wa wilaya ya Mafia na wafanyakazi wa Idara ya afya wametakiwa kuhakikisha elimu ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) inatolewa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani