NHIF shikamaneni kwenye kazi - Humba
WATUMISHI wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, (NHIF) wametakiwa kushikamana kwa pamoja na kufanya kazi bila kujali muda wa kazi ili kuhakikisha shirika hilo linabaki na heshima yake huku wanachama wakihudumiwa kwa heshima.
Rai hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Bw. Emanuel Humba katika hafla ya kuaagwa wastaafu wa Mfuko huo.
Bw. Humba ambaye naye alikuwa ni miongoni mwa waagwa, alisema kuwa mbinu kubwa ya kushinda katika utenda kazi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qSgurokd8S8/VHtBC7dYauI/AAAAAAABOVk/uOmmnvr-Jl8/s72-c/0.jpg)
Tughe NHIF wamzawadia Humba mil.10
![](http://4.bp.blogspot.com/-qSgurokd8S8/VHtBC7dYauI/AAAAAAABOVk/uOmmnvr-Jl8/s1600/0.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TKuFewvRKvM/VHtAwuMqA3I/AAAAAAABOVY/am7Xlcq-2w0/s1600/1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Feb
Mkurugenzi mkuu mstaafu wa NHIF Bw. Emmanuel Humba aagwa rasmi
Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa NHIF Mzee Emannuel Humba akionyesha tuzo yake aliyopewa na mfuko huo kwa kutambua mchango wake akiwa mwanzilishi wa mfuko huo wakati wa hafla ya kuwaaga viongozi na wafanyakazi wastaafu iliyofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee mwishoni mwa wiki , Mzee Emannuel Humba aliwaasa wafanyakazi wa mfuko huo kushikamana na kufanya kazi kwa kujituma ili kuhakikisha mfuko huo unafikia malengo, Katika hafla hiyo Emanuel Humba pia...
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/237.jpg)
MKURUGENZI MKUU MSTAAFU WA NHIF BW. EMMANUEL HUMBA AAGWA RASMI
10 years ago
Michuzi16 Feb
HAFLA YA KUMUAGA MKURUGENZI MKUU MSTAAFU WA NHIF BW. EMMANUEL HUMBA YAFANA SANA JIJINI DAR
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/150.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-S6DLFIpt0QY/VWSIPTa991I/AAAAAAAHaBI/Wo1_NCrseow/s72-c/1.jpg)
WAZIRI WA KAZI NA AJIRA,GAUDENSIA KABAKA AZINDUA BARAZA LA WAFANYAKAZI LA NHIF ARUSHA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-S6DLFIpt0QY/VWSIPTa991I/AAAAAAAHaBI/Wo1_NCrseow/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Jg1It2GNhbo/VWSIPcnESJI/AAAAAAAHaBM/V0X2CnP-_b4/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-qRxrakgm6ZI/VWSIPX52GQI/AAAAAAAHaBQ/7yr6_VhKTHk/s640/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AeQWPo95YUg/VTfoaiXibHI/AAAAAAAHSn8/3LdB4GT_b6I/s72-c/unnamed%2B(62).jpg)
NHIF NA PSPF WATOA ELIMU KWENYE MKUTANO MKUU WA VIONGOZI WA CWT MKOA WA LINDI
![](http://2.bp.blogspot.com/-AeQWPo95YUg/VTfoaiXibHI/AAAAAAAHSn8/3LdB4GT_b6I/s1600/unnamed%2B(62).jpg)
9 years ago
MichuziNHIF YAFANYA ZIARA KWENYE VITUO VITATU VYA AFYA WILAYANI KISARAWE, PWANI
na kutoa msaada wa mashuka 100.
Akizungumza wakati za ziara hiyo, Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa Mfuko huo, Rehani Athuman, alisema kuwa wameamua kufanya ziara hiyo kujua ni namna gani wananchi wanapatiwa kuduma kutoka...
9 years ago
MichuziNHIF Mkoa wa Manyara watoa msaada wa mashuka 100 kwenye hospitali ya mji wa Babati (Mrara).
10 years ago
Habarileo13 Feb
Kikwete ampa Humba majukumu mapya
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Emmanuel Humba kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF).