Coutinho awapa majukumu mazito...
Kiungo mshambuliaji mpya wa Yanga, Mbrazili, Andrey Coutinho. Na Wilbert Molandi KIUNGO mshambuliaji mpya wa Yanga, Mbrazili, Andrey Coutinho, amewapa majukumu mazito mabeki wake, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ na Kelvin Yondani katika mechi zijazo za Ligi Kuu Bara. Mbrazili huyo alitua kuichezea timu hiyo msimu huu wa ligi kuu akitokea nyumbani kwao na ameshindwa kucheza mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa kutokana...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLPhiri ampa Kisiga majukumu mazito Simba
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Rais Magufuli awapa majukumu CAG, DPP
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
RAIS Dk. John Magufuli kwa nyakati tofauti jana, alikutana na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), Biswalo Mganga na kuwapa majukumu yatakayokwenda na kasi ya Hapa Kazi Tu.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana na Kaimu Mkurungenzi wa Mawasiliano Ikulu, Greson Msigwa, ilisema Rais Dk. Magufuli amemwagiza Profesa Assad kuona njia sahihi ambayo itasaidia kupunguza gharama za...
10 years ago
GPLCOUTINHO AWAPA RAHA YANGA, KOMBE LA MAPINDUZI
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Emerson apewa majukumu
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
Polisi yaingilia majukumu ya Lema
HATUA ya Jeshi la Polisi kuzuia mikutano ya wabunge wa upinzani majimboni kwao kwa kisingizio kwamba inagongana na ile ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imemwibua Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless...
9 years ago
BBCSwahili07 Jan
Eto’o avuliwa majukumu ya ukocha
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Pombe inavyodumaza majukumu ya wazazi Kasulu
NI ukweli usiopingika kuwa kuna wazazi wengi hasa katika maneo ya vijijini, wameshindwa kuwajibika ipasavyo katika malezi ya watoto wao kwa sababu ya kutumia muda mwingi katika ulevi. Kwa kawaida...
9 years ago
StarTV04 Dec
TANESCO kuvunjwa ili kupungua majukumu
Serikali inatarajia kulivunja Shirika la Umeme Tanzania TANESCO kwa lengo la kulipunguzia majukumu na kulibakizia kazi moja ya kusafirisha umeme ifikapo mwaka 2020 ili kuondoa kero ya umeme kwa wananchi kutokana na kile kinachodaiwa kuwa ni kuelemewa na majukumu.
Mpango huo ulitangazwa mwaka 2012 ukiwa ni moja ya mikakati muhimu ya kulikwamua shirika hilo na kuondoa kero ya umeme nchini.
Wakati wadau muhimu wa sekta ya nishati wakikutana Dar es Salaam kwa siku mbili kujadili namna ya...
10 years ago
Habarileo13 Feb
Kikwete ampa Humba majukumu mapya
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Emmanuel Humba kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF).