Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi yaingilia majukumu ya Lema

HATUA ya Jeshi la Polisi kuzuia mikutano ya wabunge wa upinzani majimboni kwao kwa kisingizio kwamba inagongana na ile ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imemwibua Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

LEMA AKAMATWA NA POLISI

Mbunge wa Arusha Mjini Chadema, Godbless Lema. Mbunge wa Arusha Mjini Chadema, Godbless Lema amekamatwa na Jeshi la Polisi jijini Arusha na kwa sasa anahojiwa na jeshi hilo!

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lema ashusha tuhuma polisi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimelilalamikia Jeshi la Polisi wilayani Arusha kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao kwa waledi hali inayosababisha wanachama wao kupigwa na kujeruhiwa na wafuasi wa Chama...

 

10 years ago

Mtanzania

Lema amshambulia Polisi Chagonja

Paul Chagonjapg6Na Maregesi Paul, Dodoma

MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema), jana alimshambulia kwa maneno makali Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi, Paul Chagonja, kuwa anaweza kuwa anashirikiana na majambazi wanaovamia vituo vya polisi na kupora silaha.

Lema alitoa maneno hayo makali ya kumshambulia Chagonja bungeni jana, wakati akichangia taarifa za Kamati za Bunge za Hesabu za Serikali Kuu (PAC) na Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC).
Akichangia hoja...

 

10 years ago

Habarileo

Polisi wakanusha kumuonea Lema

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Liberatus SabasKAMANDA wa Polisi mkoani Arusha, Liberatus Sabas, amesema kuwa tuhuma alizotoa Mbunge wa Arusha mjini, Godbless Lema si za kweli.

 

11 years ago

Habarileo

Mbunge Lema ajisalimisha Polisi

MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema amejisalimisha Polisi jijini hapa, ingawa amesema hawezi kuhojiwa kwa kuwa wakili wake hayupo. Lema alisema hayo leo jijini hapa wakati akitoka Kituo Kikuu cha Polisi .

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi yamsaka Lema kwa vurugu

>Jeshi la Polisi mkoani Arusha linamtafuta  Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema na watu wengine watatu ili kuhojiwa kuhusu malalamiko ya vurugu zilizotokea kwenye mikutano ya kampeni za uchaguzi wa kiti cha udiwani Kata ya Sombetini wiki iliyopita ambapo watu kadhaa walijeruhiwa.

 

5 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI MKOA WA ARUSHA LAMPA ONYO MBUNGE GODBLES LEMA.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Jonathan Shanna.
Na.Vero Ignatus ,Arusha
Jeshi la polisi mkoa wa Arusha limesema limepokea maelekezo ya mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo ya kuhakikisha wachochozi wote pamoja na wanaochafua taswira nzuri ya nchi ya Tanzania wanakamatwa
Akizungumza na vyombo vya habari Kamanda wa polisi mkoani hapa Jonathan Shanna amesema kuwa wamelipokea agizo hio na kulitekeleza kwa asilimia 100 na watawasaka popote walipo bila kujali nafasi zao walizonazo.
Alisema nimeona...

 

9 years ago

Mtanzania

Marekani yaingilia kati Zanzibar

maalim seif (3)*Ni baada ya matokeo kufutwa, wataka tamko liondolewe

*Makamishna wa ZEC wataka kuzichapa kavukavu

NA SARAH MOSSI, ZANZIBAR

SAA chache baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), kutangaza kufutwa kwa matokeo ya uchaguzi wa rais, wawakilishi na madiwani visiwani Zanzibar jana, Serikali ya Marekani imeingilia kati na kutaka tamko hilo liondolewe.

Serikali ya Marekani imesema imeshtushwa sana na tamko la Mwenyekiti wa ZEC, Jecha Salim Jecha, kufuta matokeo ya uchaguzi wa...

 

10 years ago

Mtanzania

UN yaingilia kati mauaji ya albino Tanzania

zeidGENEVA, USWISI
KAMISHNA wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa (UN), Zeid Ra’ad Al Hussein, ameitaka Serikali ya Tanzania kuchunguza na kuwashtaki watu waliohusika na uhalifu wa mauaji dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino).
Al Hussein amehoji vitendo hivyo kujitokeza wakati nchi ikiwa inaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu.
Tamko hilo alilitoa jana ambapo alilaani vikali mauaji ya mtoto albino Yohana Bahati mwenye umri wa mwaka mmoja.
“Nalaani vikali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani