Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pombe inavyodumaza majukumu ya wazazi Kasulu

NI ukweli usiopingika kuwa kuna wazazi wengi hasa katika maneo ya vijijini, wameshindwa kuwajibika ipasavyo katika malezi ya watoto wao kwa sababu ya kutumia muda mwingi katika ulevi. Kwa kawaida...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wazazi wawapa pombe watoto ili wapate usingizi

Inawezekana kuwa baadhi ya wazazi mkoani Iringa, wanamuunga mkono kwa vitendo mwanafalsafa na mwandishi maarufu wa Marekani, Benjamin Franklin, aliyewahi kusema: “Katika mvinyo kuna hekima, ndani ya bia mna uhuru na ndani ya maji kuna bakteria.”

 

10 years ago

Raia Mwema

11 years ago

TheCitizen

Kasulu MP in furious exchange over land

>A showdown ensued in Parliament yesterday between Kasulu Urban MP Moses Machali  (pictured) and deputy minister for Natural Resources and Tourism Mahmoud Mgimwa over a land dispute in Kasulu.

 

10 years ago

Mtanzania

Machali kutogombea ubunge Kasulu Mjini

OLYMPUS DIGITAL CAMERANa Mwandishi Wetu, Kigoma
MBUNGE wa Kasulu Mjini, Moses Machali (NCCR-Mageuzi), ametangaza rasmi kwamba hatagombea tena ubunge wa jimbo hilo wakati wa uchaguzi mkuu mwaka huu.
Amesema ingawa alikuwa na nia ya kuendelea kuongoza jimbo hilo, amelazimika kuacha kwa kuwa baadhi ya viongozi wa chama chake wilayani Kasulu wanachafua jina lake bila sababu.
Machali alitangaza msimamo huo juzi mjini Kasulu alipohutubia mkutano wa hadhara.
“Kuna baadhi ya viongozi wachache wenye mawazo ya kijinga...

 

11 years ago

GPL

MKUTANO WA DK SLAA WAVUNJIKA KASULU MJINI

Umati wa wananchi waliokusanyika kumsikiliza Dk. Slaa leo mjini Kasulu Uwanja wa Kiganamo kabla ya mkutano kuvunjika.…

 

10 years ago

Habarileo

Kasulu waagizwa kufika Dodoma kujieleza

KAMATI ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa imeeleza kuchukizwa na kitendo cha viongozi waandamizi wa halmashauri ya Kasulu kushindwa kuhudhuria kikao cha majumuisho cha kamati hiyo na badala yake kusafiri kwenda Dar es Salaam kwa shughuli nyingine.

 

11 years ago

Dewji Blog

Kinana akagua mradi wa maji Kasulu

kinana

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasabahi wananchi wa kijiji cha Nyumbigwa ambapo alikagua mradi wa maji.

Mbunge wa Viti Maalum Josephine Gezabuke akizungumza na wananchi  wakati waziara ya Katibu Mkuu Ndugu Abdulrahman Kinana kukagua mradi wa maji wa kijiji cha Nyumbigwa .

 Diwani wa Kata ya Nyumbigwa Benjamini Chalukula akiwa amebebwa juu na wananchi wa kata yake ikiwa ishara ya kuwatumikia vizuri wakati Katibu Mkuu wa CCM alipofanya ziara kwenye kata hiyo iliyopo wilaya...

 

5 years ago

Michuzi

Kiwanda cha Sukari kujengwa Kasulu-TIC


Na Ripota wetu, Kasulu.
Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu imetenga eneo la uwekezaji lenye ukubwa wa hekta 35,000 kwa ajili ya kilimo cha miwa na ujenzi wa kiwanda cha sukari.
Eneo hilo kwa sasa amepewa mwekezaji wa kampuni ya Kigoma Sugar Co. Ltd chini ya Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) ambacho kina mamlaka ya kusimamia Uwekezaji nchini.
Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Kanali Simon Anange (aliyevaa Fulana rangi ya damu ya Mzee)akifafanua jambo katika kikao cha pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani