Pombe inavyodumaza majukumu ya wazazi Kasulu
NI ukweli usiopingika kuwa kuna wazazi wengi hasa katika maneo ya vijijini, wameshindwa kuwajibika ipasavyo katika malezi ya watoto wao kwa sababu ya kutumia muda mwingi katika ulevi. Kwa kawaida...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 Feb
Wazazi wawapa pombe watoto ili wapate usingizi
10 years ago
Raia Mwema29 Jul
11 years ago
TheCitizen27 Jun
Kasulu MP in furious exchange over land
10 years ago
Mtanzania02 Mar
Machali kutogombea ubunge Kasulu Mjini
Na Mwandishi Wetu, Kigoma
MBUNGE wa Kasulu Mjini, Moses Machali (NCCR-Mageuzi), ametangaza rasmi kwamba hatagombea tena ubunge wa jimbo hilo wakati wa uchaguzi mkuu mwaka huu.
Amesema ingawa alikuwa na nia ya kuendelea kuongoza jimbo hilo, amelazimika kuacha kwa kuwa baadhi ya viongozi wa chama chake wilayani Kasulu wanachafua jina lake bila sababu.
Machali alitangaza msimamo huo juzi mjini Kasulu alipohutubia mkutano wa hadhara.
“Kuna baadhi ya viongozi wachache wenye mawazo ya kijinga...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jEeTvJLE1hglWqs9DxzBwo5jlkrqwQXpITOSLFGLXT6fV-hE2C8BfrytTdgNu2EXjZjkTFrvjB096bDw2rdBpIh*4nqa4hx4/nyomi.jpg?width=650)
MKUTANO WA DK SLAA WAVUNJIKA KASULU MJINI
10 years ago
Habarileo21 Jan
Kasulu waagizwa kufika Dodoma kujieleza
KAMATI ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa imeeleza kuchukizwa na kitendo cha viongozi waandamizi wa halmashauri ya Kasulu kushindwa kuhudhuria kikao cha majumuisho cha kamati hiyo na badala yake kusafiri kwenda Dar es Salaam kwa shughuli nyingine.
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
Kinana akagua mradi wa maji Kasulu
![kinana](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/kinana.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasabahi wananchi wa kijiji cha Nyumbigwa ambapo alikagua mradi wa maji.
![](http://3.bp.blogspot.com/-5312l44Nquc/U0UHSe8U5iI/AAAAAAAAM_4/8Jn7kjOucbM/s1600/4.jpg)
Mbunge wa Viti Maalum Josephine Gezabuke akizungumza na wananchi wakati waziara ya Katibu Mkuu Ndugu Abdulrahman Kinana kukagua mradi wa maji wa kijiji cha Nyumbigwa .
![](http://2.bp.blogspot.com/-dXcbMykoZn0/U0UHclvghFI/AAAAAAAANAA/1xWtX72hPiA/s1600/1.jpg)
Diwani wa Kata ya Nyumbigwa Benjamini Chalukula akiwa amebebwa juu na wananchi wa kata yake ikiwa ishara ya kuwatumikia vizuri wakati Katibu Mkuu wa CCM alipofanya ziara kwenye kata hiyo iliyopo wilaya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Tbakjlj1Clw/XpqBUBcgVcI/AAAAAAALnTI/rbRdOD1BrbA2nyiwCUy_ZY4ghZkvHtKigCLcBGAsYHQ/s72-c/New%2BPicture%2B%25284%2529.png)
Kiwanda cha Sukari kujengwa Kasulu-TIC
Na Ripota wetu, Kasulu.
Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu imetenga eneo la uwekezaji lenye ukubwa wa hekta 35,000 kwa ajili ya kilimo cha miwa na ujenzi wa kiwanda cha sukari.
Eneo hilo kwa sasa amepewa mwekezaji wa kampuni ya Kigoma Sugar Co. Ltd chini ya Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) ambacho kina mamlaka ya kusimamia Uwekezaji nchini.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Tbakjlj1Clw/XpqBUBcgVcI/AAAAAAALnTI/rbRdOD1BrbA2nyiwCUy_ZY4ghZkvHtKigCLcBGAsYHQ/s640/New%2BPicture%2B%25284%2529.png)
Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Kanali Simon Anange (aliyevaa Fulana rangi ya damu ya Mzee)akifafanua jambo katika kikao cha pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa...