Wazazi wawapa pombe watoto ili wapate usingizi
Inawezekana kuwa baadhi ya wazazi mkoani Iringa, wanamuunga mkono kwa vitendo mwanafalsafa na mwandishi maarufu wa Marekani, Benjamin Franklin, aliyewahi kusema: “Katika mvinyo kuna hekima, ndani ya bia mna uhuru na ndani ya maji kuna bakteria.â€
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog30 Nov
Wazazi wawapeleke watoto wao vyuo vya ufundi ili wajiajiri!!
![](http://2.bp.blogspot.com/-rDsut8U_jLA/VlrdlMB0XYI/AAAAAAAAKX4/pqw5bmIuzlY/s320/IMG_20151128_132253.jpg)
hapa nchini ili kuepukana na tatizo la ajira.Inadaiwa kuwa watu wanaojiajiri ni wengi wanao toka katika
vyuo vya ufundi kuliko wanano maliza vyuo vikuu kutokana na wanao toka vyuo
vikuu wanategenea kuajiliwa huku wa vyuo vya ufundi wakijikita...
9 years ago
StarTV24 Dec
Wazazi waaswa kutatua tofauti zao ili kupunguza ongezeko La Watoto Wa Mitaani
Wakati miji mingi nchini ikiendelea kusongwa na ongezeko la watoto wanaoishi katika mazingira magumu, wazazi wana wajibu wa kutatua tofauti zao ili kupunguza na hatimaye kuondoa tatizo la watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi.
Ugomvi unaosababishwa na ulevi baina ya wanandoa ni aina nyingine ya changamoto zizomfanya mtoto kukimbilia mjini na hivyo kuongeza mzigo kwa taasisi zinazojihusisha na malezi ya watoto.
Malezi ya mtoto yapo mikono mwa wazazi, lakini kwa suala la elimu,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OAaQdD4O9Lw/VQbz4lulu7I/AAAAAAAHKwk/z4Y8sZYnnZo/s72-c/IMG_2994.jpg)
Serikali yawataka Vijana kuzingatia vigezo ili wapate mkopo
![](http://2.bp.blogspot.com/-OAaQdD4O9Lw/VQbz4lulu7I/AAAAAAAHKwk/z4Y8sZYnnZo/s1600/IMG_2994.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dysdnKnvozw/VQbz4V3l7lI/AAAAAAAHKwg/ftSk4IESODU/s1600/IMG_3017.jpg)
9 years ago
Bongo515 Oct
Ma-producer wenzangu wafanye kazi kwa bidii ili wapate nafasi ya kuwania tuzo za kimataifa — Sheddy Clever
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Pombe inavyodumaza majukumu ya wazazi Kasulu
NI ukweli usiopingika kuwa kuna wazazi wengi hasa katika maneo ya vijijini, wameshindwa kuwajibika ipasavyo katika malezi ya watoto wao kwa sababu ya kutumia muda mwingi katika ulevi. Kwa kawaida...
11 years ago
Dewji Blog15 May
Wazazi wenye watoto ambao wanatatizo la Usonji watakiwa kuwapenda watoto hao
Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete.
Na Anna Nkinda – Maelezo
Wazazi wenye watoto ambao wanatatizo la usonji (Autism) nchini wametakiwa kuwapenda, kuwatunza na kuwapa mahitaji yao kama watoto wengine kwani ni makusudi na mapenzi ya Mwenyezi Mungu kuwapa watoto hao.
Mwito huo umetolewa leo na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete wakati akiongea na walimu, walezi na wazazi wa watoto hao katika Shule ya Msingi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CQg7YXs4p5M/XmakE3wgLYI/AAAAAAALiUU/364dhzDVSjwS8uiwC9NSK4W8pZ1oswRHwCLcBGAsYHQ/s72-c/8ea7cdd1-676b-47ad-acd1-521826eaa55f.jpg)
WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI
Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya
Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...
11 years ago
Habarileo02 Apr
Pombe haramu yaathiri watoto
BIASHARA ya pombe haramu inayodaiwa kufanyika majumbani, inadaiwa kuwa chanzo cha watoto kukosa malezi mazuri na kuchangia uovu. Hayo yamesemwa na Ofisa Mtendaji wa Serikali Kata ya Arusha Chini wilayani Moshi Vijijini Mkoa wa Kilimanjaro, Koelly Shayo.
10 years ago
Habarileo08 Oct
Utafiti: Unywaji pombe umeongeza watoto mitaani
POMBE imebainika kuleta athari nyingi za kijamii na kiuchumi miongoni mwake ikitajwa kuchangia ongezeko la watoto wanaoishi mitaani na ukatili wa kijinsia.