Wazazi wawapeleke watoto wao vyuo vya ufundi ili wajiajiri!!
Mkuu wa Chuo cha VETA Makete, Ramadhan Sebo akitoa nasaa kwa wanafunzi wanaoingia mtaani kujiajiri.
Watanzania wametakiwa kuwapelewa watoto wao katika vyuo mbalimbali vya ufundi stadi elimu inayo zalisha ajira nyingi kuliko vyuo vikuu
hapa nchini ili kuepukana na tatizo la ajira.Inadaiwa kuwa watu wanaojiajiri ni wengi wanao toka katika
vyuo vya ufundi kuliko wanano maliza vyuo vikuu kutokana na wanao toka vyuo
vikuu wanategenea kuajiliwa huku wa vyuo vya ufundi wakijikita...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
‘Wazazi pelekeni watoto vyuo vya ufundi’
WAZAZI na walezi wametakiwa kuwapeleka watoto wao waliohitimu kidato cha nne katika vyuo mbalimbali vikiwemo vya ufundi na utalii, ili kuwaongezea utaalamu zaidi. Kauli hiyo ilitolewa jana na Diwani wa...
5 years ago
BBCSwahili03 Mar
Virusi vya Corona: Wazazi wanapaswa kuwaambia ukweli watoto wao
11 years ago
Tanzania Daima13 Dec
Wilaya 43 kupatiwa vyuo vya ufundi
SERIKALI imepanga kujengwa vyuo vya ufundi stadi katika wilaya 43 zisizokuwa na vyuo hivyo. Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, alieleza hayo bungeni jana alipokuwa akijibu...
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
JKT ina vyuo sita vya ufundi
JESHI la Kujenga Taifa (JKT) lina vyuo sita vinavyoendesha mafunzo ya ufundi stadi. Taarifa hiyo ilitolewa bungeni jana na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Shamsi Vuai Nahodha,...
9 years ago
Habarileo01 Jan
Vyuo vyote vya ufundi nchini kuhakikiwa
KATIBU Mkuu wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE), Dk Prime Nkwela na watendaji wa baraza hilo, wamepewa siku 30 kukagua vyuo vyote nchini, kujiridhisha na usajili na utoaji wa elimu katika vyuo hivyo.
9 years ago
Habarileo06 Dec
Serikali yahimizwa vyuo vya ufundi stadi
SERIKALI imetakiwa kuwekeza kwenye elimu ya vyuo vya ufundi stadi kwa lengo la kuviboresha na kutoa wahitimu bora hasa vijana.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CQg7YXs4p5M/XmakE3wgLYI/AAAAAAALiUU/364dhzDVSjwS8uiwC9NSK4W8pZ1oswRHwCLcBGAsYHQ/s72-c/8ea7cdd1-676b-47ad-acd1-521826eaa55f.jpg)
WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI
Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya
Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...
9 years ago
Habarileo31 Aug
Lowassa kuongeza ajira kupitia JKT, vyuo vya ufundi
MGOMBEA Urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kupitia Chama Cha Demokrasia (CHADEMA) Edward Lowassa amesema kuwa endapo atafanikiwa kuwa Rais atahakikisha vituo vya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) vinakuwa vyuo vya ufundi Stadi.
10 years ago
Mwananchi26 May
Watoto 600 wapotezana na wazazi wao