Vyuo vyote vya ufundi nchini kuhakikiwa
KATIBU Mkuu wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE), Dk Prime Nkwela na watendaji wa baraza hilo, wamepewa siku 30 kukagua vyuo vyote nchini, kujiridhisha na usajili na utoaji wa elimu katika vyuo hivyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi01 Nov
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZFK4Y9mqOxk/XsY7L-6D5EI/AAAAAAALrEg/pz58F5sz7YwHx44hZ8U5XBr8TNMvRvpqwCLcBGAsYHQ/s72-c/5.jpg)
BREAKING: VYUO VYOTE NCHINI KUFUNGULIWA JUNI,1,2020, MAAMBUKIZI YAPUNGUA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZFK4Y9mqOxk/XsY7L-6D5EI/AAAAAAALrEg/pz58F5sz7YwHx44hZ8U5XBr8TNMvRvpqwCLcBGAsYHQ/s640/5.jpg)
Rais Magufuli ametoa maagizo hayo leo Ikulu - Chamwino jijini Dodoma alipokuwa anawaapisha Viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni, Rais Magufuli ameagiza Wizara ya Elimu na Fedha kuhakikisha Wanafunzi hao wa Vyuo...
11 years ago
Tanzania Daima13 Dec
Wilaya 43 kupatiwa vyuo vya ufundi
SERIKALI imepanga kujengwa vyuo vya ufundi stadi katika wilaya 43 zisizokuwa na vyuo hivyo. Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, alieleza hayo bungeni jana alipokuwa akijibu...
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
JKT ina vyuo sita vya ufundi
JESHI la Kujenga Taifa (JKT) lina vyuo sita vinavyoendesha mafunzo ya ufundi stadi. Taarifa hiyo ilitolewa bungeni jana na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Shamsi Vuai Nahodha,...
9 years ago
Habarileo06 Dec
Serikali yahimizwa vyuo vya ufundi stadi
SERIKALI imetakiwa kuwekeza kwenye elimu ya vyuo vya ufundi stadi kwa lengo la kuviboresha na kutoa wahitimu bora hasa vijana.
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
‘Wazazi pelekeni watoto vyuo vya ufundi’
WAZAZI na walezi wametakiwa kuwapeleka watoto wao waliohitimu kidato cha nne katika vyuo mbalimbali vikiwemo vya ufundi na utalii, ili kuwaongezea utaalamu zaidi. Kauli hiyo ilitolewa jana na Diwani wa...
9 years ago
Habarileo31 Aug
Lowassa kuongeza ajira kupitia JKT, vyuo vya ufundi
MGOMBEA Urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kupitia Chama Cha Demokrasia (CHADEMA) Edward Lowassa amesema kuwa endapo atafanikiwa kuwa Rais atahakikisha vituo vya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) vinakuwa vyuo vya ufundi Stadi.
9 years ago
Dewji Blog30 Nov
Wazazi wawapeleke watoto wao vyuo vya ufundi ili wajiajiri!!
![](http://2.bp.blogspot.com/-rDsut8U_jLA/VlrdlMB0XYI/AAAAAAAAKX4/pqw5bmIuzlY/s320/IMG_20151128_132253.jpg)
hapa nchini ili kuepukana na tatizo la ajira.Inadaiwa kuwa watu wanaojiajiri ni wengi wanao toka katika
vyuo vya ufundi kuliko wanano maliza vyuo vikuu kutokana na wanao toka vyuo
vikuu wanategenea kuajiliwa huku wa vyuo vya ufundi wakijikita...