Kasulu waagizwa kufika Dodoma kujieleza
KAMATI ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa imeeleza kuchukizwa na kitendo cha viongozi waandamizi wa halmashauri ya Kasulu kushindwa kuhudhuria kikao cha majumuisho cha kamati hiyo na badala yake kusafiri kwenda Dar es Salaam kwa shughuli nyingine.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 May
Bosi wa Uda kujieleza bungeni
10 years ago
BBCSwahili13 Apr
Wema:azomewa licha ya Kujieleza
9 years ago
Habarileo25 Dec
Niyonzima sasa kujieleza Yanga
KATIBU Mkuu wa Yanga Dk Jonas Tiboroha, amesema uongozi wa klabu hiyo umemtaka kiungo wake Mnyarwanda Haruna Niyonzima kujieleza kwa maandishi kwanini asichukuliwe hatua kwa utovu wa nidhamu alioonesha.
11 years ago
Habarileo25 May
Mawaziri kujieleza kwa Kikwete
IKIWA ni takribani mwaka mmoja sasa tangu Serikali ilipoamua kuanza kutekeleza Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), hatimaye mawaziri wanaotekeleza Mpango huo watawekwa `kikaangoni’ Julai mwaka huu.
10 years ago
Raia Mwema25 Jun
Watangaza nia na sanaa ya kujieleza ( 4)
JUMA la jana tuliangazia mambo muhimu ya kuzingatia unapokwenda kutoa hotuba.
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Zuma kujieleza kuhusu nyumba yake
11 years ago
BBCSwahili16 Jan
Vatican kujieleza kuhusu kashfa za ngono
10 years ago
BBCSwahili06 Jul
Tishio kwa uhuru wa kujieleza Misri
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Namna ya kujieleza bila kutumia maneno