Watangaza nia na sanaa ya kujieleza ( 4)
JUMA la jana tuliangazia mambo muhimu ya kuzingatia unapokwenda kutoa hotuba.
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwrk1JNwSq3lehIHb5fJXY5CSbi0I8BGNHuKg3BRnW-QzcLTj2IpV2PsVu1vbua4PxKIiGnqsbQvhUfc95oi2DTZ/PMPINDA.jpg?width=650)
WATANGAZA NIA YA URAIS WASICHAFUANE
10 years ago
Habarileo14 Jun
Watangaza nia waipunguzia kazi CCM
IDADI kubwa ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliojitokeza kuchukua fomu ya kuomba kuwania nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imetajwa kutoa ahueni kubwa kwa vikao vya uamuzi na hasa Kamati Kuu, katika kufanya mchujo wake.
10 years ago
Habarileo06 Jun
Watangaza nia CCM wanyimwa mdahalo
WAKATI Watanzania na hasa viongozi wa sekta binafsi, wakijiandaa kupima uwezo na uelewa wa watangaza nia wa CCM, katika masuala muhimu ya kiuchumi kwenye mdahalo ulioandaliwa kesho kutwa, chama hicho kimepiga marufuku watangaza nia hao kushiriki midahalo hiyo.
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Watangaza nia wachukua fomu za urais
MAKADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliotangaza nia ya kugombea urais, jana wameanza kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na chama chao mjini Dodoma.
Kila aliyechukua fomu alikutana na waandishi wa habari nje ya jengo la makao makuu ya CCM na kueleza nini ambacho atawafanyia Watanzania endapo akiteuliwa kupeperusha bendara ya chama chake.
PROFESA MWANDOSYA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu, Profesa Mark Mwandosya, alisema makundi yaliyoibuka ndani ya chama hicho yanaashiria baadhi...
10 years ago
Raia Tanzania06 Jul
Watangaza nia vijana wamgeuka Pinda
WATANGAZA nia vijana kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamemgeuka mtangaza nia mwenzao ambaye pia ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kwa kauli aliyowahi kuitoa bungeni mjini Dodma, maarufu kama ‘piga tu’, wakisema haifai na ni aibu kwa kiongozi.
Vijana hao kwa nyakati tofauti walitoa kauli hiyo jana mjini Dodoma katika ukumbi wa Chimwaga kwenye mdahalo ulioandaliwa na kipindi cha Mikikimikiki 2015 kinachorushwa na kituo cha Star TV.
Kauli hizo zilikuja baada ya mwanafunzi mmoja wa Chuo...
10 years ago
Raia Tanzania06 Jul
Mtazamo wa watangaza nia kwenye elimu
KWA muda wa miezi miwili Watanzania walishuhudia vituko vya watangaza nia ya urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuanzia kujinadi hata kupita mikoani kuomba wadhamini.
Yameelezwa mengi na kufafanuliwa kwa namna tofauti ili kuhakikisha Tanzania inaondokana na umasikini uliotopea, lakini lililojirudia ni suala la nafasi ya elimu katika kuipaisha nchi kiuchumi.
Hoja kubwa hapa ni namna ambavyo kila mtangaza nia amegusa elimu kwa namna yake, hasa ikizingatiwa elimu ndiyo...
10 years ago
Mwananchi01 Jun
UCHAGUZI MKUU: Membe: Wapimeni watangaza nia
10 years ago
Habarileo07 Jun
Midahalo ya watangaza nia CCM sasa ruksa
WATANZANIA sasa watapata fursa pana zaidi ya kufahamu kwa undani wanachama wa CCM waliotangaza nia ya kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama hicho, baada ya Katibu Mkuu wake, Abdulrahman Kinana, kuridhia midahalo kwa wanachama hao.
10 years ago
Mwananchi10 Jun
Maswali ‘yaliyowakimbiza’ watangaza nia ya urais yatajwa