Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UCHAGUZI MKUU: Membe: Wapimeni watangaza nia

>Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amewataka wananchi kuwapima wanaotangaza nia ya kugombea nafasi za urais kama wana maadili ya dhati katika kutokomeza rushwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

UKAWA WATANGAZA MAJIMBO WALIYOGAWANA KATIKA UCHAGUZI MKUU


 Kaimu Katibu Mkuu wa Chama cha NCCR-Mageuzi,  Nderakindo Kessy (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Makao Makuu ya chama hicho, Ilala Dar es Salaam jana, wakati akitangaza majimbo yaliyochini ya vyama vinavyounda Ukawa ambayo vyama hivyo vitasimamisha wagombea wao katika uchaguzi mkuu. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha NLD, Masudi Makunjunga. Kaimu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Shaweji Mketo (wa pili kulia), akizungumza katika mkutano huo na...

 

9 years ago

Dewji Blog

UKAWA watangaza majimbo waliyogawana katika Uchaguzi Mkuu

Kaimu Katibu Mkuu wa Chama cha NCCR-Mageuzi,  Nderakindo Kessy (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Makao Makuu ya chama hicho, Ilala Dar es Salaam jana, wakati akitangaza majimbo yaliyochini ya vyama vinavyounda Ukawa ambayo vyama hivyo vitasimamisha wagombea wao katika uchaguzi mkuu. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha NLD, Masudi Makunjunga.

Kaimu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Shaweji Mketo (wa pili kulia), akizungumza katika mkutano huo na...

 

9 years ago

GPL

UKAWA WATANGAZA MAJIMBO WALIYOGAWANA KATIKA UCHAGUZI MKUU‏

 Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika, akizungumza katika mkutano huo. Kaimu Katibu Mkuu wa Chama cha NCCR-Mageuzi,  Nderakindo Kessy (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Makao Makuu ya chama hicho, Ilala Dar es Salaam jana, wakati akitangaza majimbo yaliyochini ya vyama vinavyounda Ukawa ambayo vyama hivyo vitasimamisha wagombea wao katika uchaguzi mkuu....

 

10 years ago

Raia Mwema

Watangaza nia na sanaa ya kujieleza ( 4)

JUMA la jana tuliangazia mambo muhimu ya kuzingatia unapokwenda kutoa hotuba.

Maggid Mjengwa

 

10 years ago

GPL

WATANGAZA NIA YA URAIS WASICHAFUANE

Waziri Mkuu, Mizengo Kayanza Peter Pinda (Mbunge wa Katavi). Hakika Mungu ni mwema sana. Ametuwezesha leo kuwa na nguvu ya kutafakari hatima ya nchi yetu ambayo inaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 hapo Oktoba.Mwishoni mwa wiki iliyopita tulishuhudia makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakijitokeza kuwania urais kupitia chama hicho na tayari wameanza kuchuana kutangaza nia yao baada ya vikao vya Kamati Kuu Taifa (CC) na...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Watangaza nia vijana wamgeuka Pinda

WATANGAZA nia vijana kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamemgeuka mtangaza nia mwenzao ambaye pia ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kwa kauli aliyowahi kuitoa bungeni mjini Dodma, maarufu kama ‘piga tu’, wakisema haifai na ni aibu kwa kiongozi.

Vijana hao kwa nyakati tofauti walitoa kauli hiyo jana mjini Dodoma katika ukumbi wa Chimwaga kwenye mdahalo ulioandaliwa na kipindi cha Mikikimikiki 2015 kinachorushwa na kituo cha Star TV.

Kauli hizo zilikuja baada ya mwanafunzi mmoja wa Chuo...

 

10 years ago

Mtanzania

Watangaza nia wachukua fomu za urais

MAKADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliotangaza nia ya kugombea urais, jana wameanza kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na chama chao mjini Dodoma.
Kila aliyechukua fomu alikutana na waandishi wa habari nje ya jengo la makao makuu ya CCM na kueleza nini ambacho atawafanyia Watanzania endapo akiteuliwa kupeperusha bendara ya chama chake.

PROFESA MWANDOSYA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu, Profesa Mark Mwandosya, alisema makundi yaliyoibuka ndani ya chama hicho yanaashiria baadhi...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Mtazamo wa watangaza nia kwenye elimu

KWA muda wa miezi miwili Watanzania walishuhudia vituko vya watangaza nia ya urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuanzia kujinadi hata kupita mikoani kuomba wadhamini.

Yameelezwa mengi na kufafanuliwa kwa namna tofauti ili kuhakikisha Tanzania inaondokana na umasikini uliotopea, lakini lililojirudia ni suala la nafasi ya elimu katika kuipaisha nchi kiuchumi.

Hoja kubwa hapa ni namna ambavyo kila mtangaza nia amegusa elimu kwa namna yake, hasa ikizingatiwa elimu ndiyo...

 

10 years ago

Habarileo

Watangaza nia CCM wanyimwa mdahalo

Profesa Sospeter Muhongo.WAKATI Watanzania na hasa viongozi wa sekta binafsi, wakijiandaa kupima uwezo na uelewa wa watangaza nia wa CCM, katika masuala muhimu ya kiuchumi kwenye mdahalo ulioandaliwa kesho kutwa, chama hicho kimepiga marufuku watangaza nia hao kushiriki midahalo hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani