UCHAGUZI MKUU: Membe: Wapimeni watangaza nia
>Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amewataka wananchi kuwapima wanaotangaza nia ya kugombea nafasi za urais kama wana maadili ya dhati katika kutokomeza rushwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziUKAWA WATANGAZA MAJIMBO WALIYOGAWANA KATIKA UCHAGUZI MKUU
9 years ago
Dewji Blog19 Aug
UKAWA watangaza majimbo waliyogawana katika Uchaguzi Mkuu
Kaimu Katibu Mkuu wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Nderakindo Kessy (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Makao Makuu ya chama hicho, Ilala Dar es Salaam jana, wakati akitangaza majimbo yaliyochini ya vyama vinavyounda Ukawa ambayo vyama hivyo vitasimamisha wagombea wao katika uchaguzi mkuu. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha NLD, Masudi Makunjunga.
Kaimu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Shaweji Mketo (wa pili kulia), akizungumza katika mkutano huo na...
9 years ago
GPLUKAWA WATANGAZA MAJIMBO WALIYOGAWANA KATIKA UCHAGUZI MKUU
10 years ago
Raia Mwema25 Jun
Watangaza nia na sanaa ya kujieleza ( 4)
JUMA la jana tuliangazia mambo muhimu ya kuzingatia unapokwenda kutoa hotuba.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwrk1JNwSq3lehIHb5fJXY5CSbi0I8BGNHuKg3BRnW-QzcLTj2IpV2PsVu1vbua4PxKIiGnqsbQvhUfc95oi2DTZ/PMPINDA.jpg?width=650)
WATANGAZA NIA YA URAIS WASICHAFUANE
10 years ago
Raia Tanzania06 Jul
Watangaza nia vijana wamgeuka Pinda
WATANGAZA nia vijana kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamemgeuka mtangaza nia mwenzao ambaye pia ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kwa kauli aliyowahi kuitoa bungeni mjini Dodma, maarufu kama ‘piga tu’, wakisema haifai na ni aibu kwa kiongozi.
Vijana hao kwa nyakati tofauti walitoa kauli hiyo jana mjini Dodoma katika ukumbi wa Chimwaga kwenye mdahalo ulioandaliwa na kipindi cha Mikikimikiki 2015 kinachorushwa na kituo cha Star TV.
Kauli hizo zilikuja baada ya mwanafunzi mmoja wa Chuo...
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Watangaza nia wachukua fomu za urais
MAKADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliotangaza nia ya kugombea urais, jana wameanza kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na chama chao mjini Dodoma.
Kila aliyechukua fomu alikutana na waandishi wa habari nje ya jengo la makao makuu ya CCM na kueleza nini ambacho atawafanyia Watanzania endapo akiteuliwa kupeperusha bendara ya chama chake.
PROFESA MWANDOSYA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu, Profesa Mark Mwandosya, alisema makundi yaliyoibuka ndani ya chama hicho yanaashiria baadhi...
10 years ago
Raia Tanzania06 Jul
Mtazamo wa watangaza nia kwenye elimu
KWA muda wa miezi miwili Watanzania walishuhudia vituko vya watangaza nia ya urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuanzia kujinadi hata kupita mikoani kuomba wadhamini.
Yameelezwa mengi na kufafanuliwa kwa namna tofauti ili kuhakikisha Tanzania inaondokana na umasikini uliotopea, lakini lililojirudia ni suala la nafasi ya elimu katika kuipaisha nchi kiuchumi.
Hoja kubwa hapa ni namna ambavyo kila mtangaza nia amegusa elimu kwa namna yake, hasa ikizingatiwa elimu ndiyo...
10 years ago
Habarileo06 Jun
Watangaza nia CCM wanyimwa mdahalo
WAKATI Watanzania na hasa viongozi wa sekta binafsi, wakijiandaa kupima uwezo na uelewa wa watangaza nia wa CCM, katika masuala muhimu ya kiuchumi kwenye mdahalo ulioandaliwa kesho kutwa, chama hicho kimepiga marufuku watangaza nia hao kushiriki midahalo hiyo.