Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vatican kujieleza kuhusu kashfa za ngono

Maafisa wa kanisa katoliki, watahojiwa na maafisa wa Umoja wa Mataifa kuhusu dhuluma za kingono ambazo makasisi wa kanisa hilo waliwatendea maelfu ya watoto.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Zuma kujieleza kuhusu nyumba yake

Rais Jacob Zuma anatarajiwa kufika mbele ya kamati ya Bunge la A-Kusini kujieleza kuhusu kashfa ya kufuja pesa za umma zilizotumiwa kukarabati nyumba yake

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Unachopaswa kujua kuhusu ngono na virusi vya corona

Maswali yako yote yanajibiwa kuhusu ngono wakati huu wa mlipuko wa virusi vya corona.

 

11 years ago

GPL

SERIKALI IACHE BLAHBLAH KUHUSU MTANDAO WA NGONO, MADAWA YA KULEVYA CHINA

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe. WIKI iliyopita Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe alieleza bungeni kwamba serikali imeshafanikiwa kunasa mtandao wa watu wanaojihusisha na kusafirisha wasichana wa Kitanzania kwenda China kwa ajili ya kuwafanyisha biashara ya ngono. Taarifa hiyo, Chikawe aliitoa Ijumaa iliyopita wakati akihitimisha michango mbalimbali ya wabunge kuhusu bajeti ya wizara yake kwa...

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: ASKOFU GWAJIMA ATAKIWA KUHOJIWA NA JESHI LA POLISI KUHUSU TUHUMA ZA KASHFA NA MATUSI DHIDI YA KALDINARI PENGO

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamtaka Askofu JOSEPHAT GWAJIMA wa Kanisa la Ufufuo na Uzima afike haraka katika kituo cha Polisi cha Kati ofisi ya Mkuu wa Upelelezi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa mahojiano kuhusu tuhuma za kashfa na matusi.
"Tumepokea malalamiko ya kukashifiwa na kutukanwa hadharani Mwadhama Kaldinari Polycarp Pengo ambaye ni kiongozi wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania. Kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii kama vile WhatsApp na mingineyo kuna sauti...

 

11 years ago

Habarileo

Mawaziri kujieleza kwa Kikwete

IKIWA ni takribani mwaka mmoja sasa tangu Serikali ilipoamua kuanza kutekeleza Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), hatimaye mawaziri wanaotekeleza Mpango huo watawekwa `kikaangoni’ Julai mwaka huu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wema:azomewa licha ya Kujieleza

Muigizaji maarafu wa filamu nchini Tanzania,Wema Sepetu alizomewa kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram

 

10 years ago

Vijimambo

VATICAN YAMKATAA BALOZI, KUNANI?


Kiongozi wa kanisa katoliki duniani papa Francis
Mzozo wa kidiplomasia umezuka kati ya makao makuu ya papa mtakatifu ya the Vatican na Ufaransa kuhusiana na uteuzi wa balozi mpya wa Ufaransa, mjini Rome.Rais wa Ufaransa Francois Holland, amempendekeza muumini mmoja wa kanisa hilo ambaye ni mpenzi wa jinsia moja kuwa balozi wake mjini Vatican.Lakini utawala wa Vatican umesema uteuzi huo haukubaliki.Makao makuu ya papa mjini The Vatican hayajasema lolote kuhusiana na uteuzi huo ,lakini ni...

 

10 years ago

BBCSwahili

Vatican yamkataa balozi,kunani?

Mzozo wa kidiplomasia umezuka kati ya makao makuu ya papa mtakatifu ya the Vatican na Ufaransa kuhusiana na uteuzi wa balozi mpya

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani