Chadema yabaini mbinu chafu
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeibua tuhuma mpya dhidi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kikisema kimebaini shahada zaidi ya milioni mbili za kupigia kura zinazotarajiwa kuingizwa kinyemela katika Daftari la Wapiga Kura na kugawiwa kwa wana CCM ambao hawakujiandikisha.
Chama hicho kimedai kwamba, mbali na shahada hizo pia wakimbizi zaidi ya 70,000 mkoani Kigoma wameandikishwa katika daftari hilo kwa ajili ya kupiga kura.
Tuhuma hizo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 Apr
Sayansi yabaini: Siri ya utoaji wa hewa chafu mwilini
11 years ago
MichuziPOLISI KILIMANJARO YABAINI MBINU MPYA INAYOTUMIKA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA .
10 years ago
Mzalendo Zanzibar02 Oct
Kuna mbinu chafu za ccm hizi hapa .
Viongozi wa Chadema/UKAWA kuweni Makini sana na huu mfumo wa BVR bao la mkono liko njiani kufanikiwa. Mkipuuza mtalia kilio ambacho hatapatikana mtu wa kuwafuta machozi. Vitambulisho fake ni vingi sana na hakuna mashine ya kuvitambua […]
The post Kuna mbinu chafu za ccm hizi hapa . appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Tanzania Daima12 May
CHADEMA yabaini janja ya CCM
ZIARA ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani wa Geita, imeibua madudu ya kutisha yanayofanywa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), ikiwa ni pamoja na uandikishaji wa daftari la makazi...
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
CHADEMA yabaini njama Polisi, CCM
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimebaini hujuma zinazodaiwa kufanywa kwa ubia kati ya Jeshi la Polisi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutaka kuanzisha vurugu kwenye kampeni za uchaguzi mdogo...
10 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Oct
Chadema Wafichua Mbinu Zilizopangwa Kuvuruga Uchaguzi wa Jumapili hii
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Chadema, Reginald Munisi (kulia) akifafanua jambo. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Prof. Abdallah Safari Thursday, October 22, 2015 ZIKIWA zimebaki siku tatu kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 mwaka […]
The post Chadema Wafichua Mbinu Zilizopangwa Kuvuruga Uchaguzi wa Jumapili hii appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Tanzania Daima04 Dec
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Iraq yabaini wanajeshi hewa
10 years ago
StarTV07 Oct
Mamlaka ya PPRA yabaini ukiukwaji wa sheria
Mamlaka ya kudhibiti Manunuzi ya Umma (PPRA) imezifungia kampuni 7 pamoja na wakurugenzi wake kutoshiriki zabuni za umma kutokana na ukiukwaji wa sheria ya manunuzi.
Adhabu hiyo imekuja baada ya uchunguzi wa PPRA iliyobaini viashiria vya rushwa kwenye manunuzi ya umma kwa kampuni na taasisi mbalimbali za Serikali tatizo ambalo limedaiwa kuonekana kuwa sugu hali inayoathiri uchumi wa Taifa.
Mwenyekiti wa Bodi ya PPRA, Balozi Matern Lumbanga amesisitiza juu ya kufungiwa kwa kampuni SABA...