Tumeshitushwa na ajali hizi
WIKI hii zimetokea ajali kubwa mbili za barabarani ambazo zimepoteza zaidi ya watu 30 ndani ya saa 24. Ajali ya kwanza ilitokea juzi na kusababisha vifo vya wanawake 13 waliokuwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Sasa tuseme ajali za mabasi zimetosha ajali hizi basi
Kwa mara nyingine, nchi yetu imepata janga jingine kubwa baada ya ajali mbili kutokea katika mikoa ya Pwani na Kilimanjaro mwishoni mwa wiki iliyopita na kusababisha vifo kwa watu zaidi ya 30.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx8njFGrYcEiDEJa6wjktWKQe5t87r0WC5VgoNOQk*PPYGHjv9l5LDu5jGPVbADk89rZyBan6VZ83H8MdBXpsDGn/ajali.jpg)
AJALI HIZI ZINAEPUKIKA!
HABARI za leo wapendwa wasomaji. Ni matumaini yangu kuwa Mwenyezi Mungu ameendelea kuwa upande wetu kama ilivyo siku zote. Ni faraja sana kuona kila jambo zuri au baya, limetokea kutokana na karama yake. Raia wakishuhudia sehemu kubwa ya basi iliyotoka nje kutokana na ajali na kusababisha vifo. Ninapenda kwa mara nyingine, kuchukua fursa hii kuwashauri kuendelea kuamini katika Mungu, kwani kwake yeye, kila jambo linawezekana,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k6rJ37LjWP9h55Jf6n5s2fyzdm8E2RiYs1z8trQNppPoxsDgwlD5j54Oe18uUvGy33*IOvLUNg1rTdh8ex0kYYC/IMG_4004.jpg?width=650)
AJALI HIZI ZITAISHA LINI?
Gari aina ya Toyota Hilux limetumbukia kwenye mtaro uliopo Sinza-Makaburini jijini Dar es Salaam baada ya dereva aliyekuwa akiliendesha gari hiyo kushindwa kulimudu. Pichani wasamaria wema wakishirikiana kulinasua gari hilo. (PICHA : RICHARD BUKOS / GPL)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvs4yREP-H2Cz6jwNCc*dr*dlzsi3jS03D*s87nRAokhrGl2gptmlp7D-aB2S9BWQSeGg1gLIQ-ptrDP84Q9v3lT/IMG20150412WA0006.jpg?width=650)
AJALI HIZI, KUNA KITU
Ajali iliyohusisha basi la kampuni ya Nganga na Fuso yakiwaka moto. KWANZA kabisa tumshukuru Mungu kwa kutuweka hai, hakika yeye anastahili kuabudiwa kila siku.
Baada ya kusema hayo nianze kwa kuwataka wasomaji wangu kutafakari kwa kina hizi ajali za mabasi zinazotokea mara kwa mara katika barabara za nchi yetu. Kwa muda wa siku zisizozidi kumi na nane zimetokea ajali mbaya tatu za mabasi na kusababisha Watanzania wenzetu zaidi...
10 years ago
Mwananchi04 May
Mwenyezi Mungu utunusuru Watanzania na ajali hizi
> ‘Raha ya milele uwape ee bwana na mwanga wa milele uwaangazie marehemu wetu wote wapumzike kwa amani.’ Amina.
9 years ago
Mwananchi18 Oct
Tuepuke ajali hizi kipindi cha lala salama cha kampeni
Vyombo mbalimbali vya habari nchini jana vilisheheni habari ya vifo vya watu wanne akiwamo aliyekuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Ludewa mkoani Njombe, Deo Filikunjombe. Vifo hivyo vilitokana na ajali ya helikopta iliyoanguka kwenye mbuga ya Selous Alhamisi usiku, walipokuwa safarini wakitoka Dar es Salaam kwenda Ludewa.
10 years ago
Vijimambo20 Sep
HIZI NDIO SALAMU ZA MWIGULU KWA WOTE WALIOHUJUMU FEDHA HIZI ZA UMMA
![](https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/v/t1.0-9/1907844_296860830516152_1936768200218849652_n.jpg?oh=3a3c6ce546a7a1c5416e1f3681005be1&oe=54CEAEDE&__gda__=1422949262_1d62cb09b57fa35cca6b5f8edd31248b)
Agizo hilo lilitolewa na Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu Nchemba, akisema wakuu hao pamoja na waajiri wametumia mwanya wa...
9 years ago
MichuziAJALI NA VIFO VITOKANAVYO NA AJALI MKOA WA DAR ES SALAAM VYAPUNGUA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania