Waliokufa ajali ya moto Mbagala wafikia saba
IDADI ya watu waliokufa kwa ajali moto iliyotokea baada ya lori la mafuta kupinduka eneo la Mbagala Charambe jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki imeongezeka na kufikia saba huku...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Waliokufa moto Mbagala wafikia watano
WATU watano wamefariki dunia na wengine 16 kujeruhiwa kutokana na ajali ya moto iliyotokea Mbagala jijini Dar es Salaam juzi. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa Kanda Maalum Dar...
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Waliokufa mafuriko Kyela wafikia saba
10 years ago
Mwananchi13 Mar
Waliokufa ajali ya basi Mafinga sasa wafikia 50
10 years ago
CloudsFM11 Feb
Makamu wa rais, Dk. Bilal ahudhuria mazishi ya ndugu sita waliokufa kwa ajali ya moto Dar.
MAKAMU wa Rais, Dk. Gharib Bilal leo amewaongoza mamia ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam katika mazishi ya watu sita wa familia moja waliofariki dunia katika ajali ya moto iliyotokea wiki iliyopita huko Kipunguni jijini Dar es Salaam.
Mazishi hayo yamefanyika leo katika makaburi ya Airwing, Keko jijini Dar e s Salaam huku yakiuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo viongozi wa vyama na serikali, taasisi na makampuni binafsi.
Akizungumza kwa huzuni wakati akiwapa pole ndugu, majirani, marafiki...
9 years ago
Habarileo15 Oct
Waliokufa hijja Makka wafikia 22
IDADI ya mahujaji wa Tanzania waliopoteza maisha katika ajali iliyotokea Saudi Arabia imefikia 22.
10 years ago
Habarileo12 May
Waliokufa mafuriko ya Dar wafikia 12
MIILI zaidi ya watu waliokufa katika mafuriko ya mvua inayoendelea kunyesha Dar es Salaam, imeongezeka na kufikia 12 akiwemo mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Kigogo mwenye umri wa miaka 13.
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Waliokufa sasa wafikia tisa
10 years ago
Habarileo10 Mar
Waliokufa maafa ya mvua wafikia 47
IDADI ya watu waliofariki kutokana na mvua kubwa ya mawe, iliyopewa jina la tonado, sasa imefikia watu 47 baada ya majeruhi mwingine aliyekuwa amelazwa katika hospitali ya wilaya ya Kahama kufariki dunia juzi.
10 years ago
Mtanzania12 May
Waliokufa kwa mafuriko Dar wafikia 12
Asifiwe George na Mgeni Shabani (EWTC)Dar es Salaam
IDADI ya watu waliofariki dunia kutokana na athari za mvua na mafuriko Dar es Salaam imeongezeka kutoka wanane na kufikia 12.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, alisema jana kuwa kati ya watu hao mwanaume mmoja anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 35-38, mwili wake ulipoolewa baada ya kuzama kwenye tope katika mto Msimbazi, Magomeni.
Alisema mwili huo wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Taifa...