MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI APATA AJALI JIONI YA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-FousFGA9yZo/VZwjYZHbrCI/AAAAAAAATDw/3jCASEASpdw/s640/20150707111148.jpg)
Muonekano wa Chopa hiyo baada ya kuanguka juu ya mti jioni ya leo katika Kijiji cha Leguruki, Wilayani Meru Jijini Arusha. Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari. MBUNGE wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari amepata ajali na Chopa baada ya kuanguka juu ya mti jioni ya leo katika Kijiji cha Leguruki, Wilayani Meru Jijini Arusha. Hakuna aliepoteza maisha katika ajali hiyo, na Mbunge Nassari pamoja na Rubani...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rKPxTfGE80g/VZwWnsD1xAI/AAAAAAAHnmk/vxdVKeXuT4U/s72-c/20150707111148.jpg)
NEWS ALERT: MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI APATA AJALI YA CHOPA JIONI YA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-rKPxTfGE80g/VZwWnsD1xAI/AAAAAAAHnmk/vxdVKeXuT4U/s640/20150707111148.jpg)
Taarifa kamili itawajia baadae kidogo.
10 years ago
Dewji Blog17 Dec
Mbunge wa Arumeru Mashariki apandishwa kizimbani
Mbunge wa jimbo la Arumeru mashariki Joshua Nasari ,(CHADEMA).
Na Mahmoud Ahmad, Arusha
MBUNGE wa jimbo la Arumeru mashariki Joshua Nasari ,(CHADEMA)anatarajiwa kufikishwa mahakamani leo kutokana na kutumia silaha na kisha kumteka mtendaji wa kata ya Makiba, na kuchoma bendera za chama cha Mapinduzi katika maeneo mbalimbali wilayani Meru.
Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Arusha Liberatus Sabas, amesema tukio hilo limetokea Desemba 14 mwaka huu wakati mbunge huyo alipokuwa akifuatilia...
11 years ago
CloudsFM06 Jun
MBUNGE JOSHUA NASARI WA ARUMERU MASHARIKI KUFUNGA NDOA KESHO
MBUNGE wa Jimbo la Arumeru Mashariki ,Mh Joshua Nassari kesho anatarajia kufunga ndoa na Bi Anande Nko katika kanisa la Pentekoste, Kilinga lililoko wilaya ya Meru ambako Mh Nassari alianzia masuala ya Kiimani ikifuatiwa na Sherehe kubwa ya Harusi itakayo fanyika katika viwanja vya Usa-River Academy jirani na Hotel ya Ngurdoto.
Kwa Mujibu wa Mh Nassari ,sherehe hizo zitakazoanza majira ya saa saba mchana watu wote wamealikwa wakiwemo ndugu, marafiki, Jamaa na wananchi jimbo la Arumeru...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-dR0eox5NjjM/VZwVs9SxtrI/AAAAAAAAe88/lvyH7R9PPok/s72-c/nasari.jpg)
MBUNGE WA ARUMERU JOSHUA NASSARI NA AJALI YA HELKOPTA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dR0eox5NjjM/VZwVs9SxtrI/AAAAAAAAe88/lvyH7R9PPok/s640/nasari.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7jDi1s21z2g/VZwOO6Q4SjI/AAAAAAAAe8s/_ukTjSgGjeU/s640/nasari.jpg)
Aidha taarifa hizo zinaeleza kuwa Mbunge huyo kwa Tiketi ya Chadema, na rubani wake walitoka wakiwa wazima na wapo katika Hospitali ya Kanila la Kilutheri ya Selian ya jijini Arusha.
Father Kidevu Blog inatoa pole kwa Mbunge huyo na Wapigakura...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XIUdwCzAgqw/Vozjua4h1XI/AAAAAAAAP5I/_H8sNgZEpak/s72-c/E88A0424_1333.jpg)
MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI ATEMBELEA WAGONJWA WA HOSPITALI YA TENGERU NA KUWASIKILIZA KERO ZAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-XIUdwCzAgqw/Vozjua4h1XI/AAAAAAAAP5I/_H8sNgZEpak/s640/E88A0424_1333.jpg)
wanaouguzwa katika Hospitali ya Tengeru ,katika ziara yake alipofika
kusikiliza matatizo yanawakumba wagonjwa haswa wakina mama waliolazwa katika hospitali ya tengeru alipofanya ziara ya ghafla hospitalin
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cl8i48-pOsU/VozjvhfUhdI/AAAAAAAAP5Q/xhfiiYwI0S8/s640/E88A0425_1250.jpg)
wanaouguzwa katika Hospitali ya Tengeru ,katika ziara yake alipofika
kusikiliza matatizo yanawakumba wagonjwa haswa wakina mama waliolazwa katika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7LuTNVXBAINJvMa0f26Lyqsi3GVodq1SIDrR77d7Gzykzya88O4MXJ7u0WgMx9KPN*bL4VVmhPzwZTjcthCeSED*/IMG20140608WA0011_thumb2.jpg?width=650)
MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI MHE. JOSHUA NASSARI ASHIKILIWA NA POLISI KWA TUHUMA ZA UTEKAJI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-o3Ity6T79Aw/U8dNuPrCQII/AAAAAAAAGEo/R7s-6ahKLBo/s72-c/IMG-20140714-WA0022.jpg)
MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI ASHIRIKI MDAHALO WA VIONGOZI WADOGO BARANI AFRIKA NCHINI MAREKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-o3Ity6T79Aw/U8dNuPrCQII/AAAAAAAAGEo/R7s-6ahKLBo/s1600/IMG-20140714-WA0022.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2uMQx2l46YA/U8dWCmQ3vOI/AAAAAAAAGGY/k8yETdhw074/s1600/IMG-20140714-WA0019.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jppTP0pqCy4/U8dWL0qKy3I/AAAAAAAAGGg/3MTRvFb6nEs/s1600/IMG-20140714-WA0018.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qczRbbtLbS0/VJFatyIVm8I/AAAAAAAG3w8/9Wk2tcgyxKY/s72-c/images.jpg)
BREAKING NEWZZZ: MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI MHE. JOSHUA NASSARI ASHIKILIWA NA POLISI KWA TUHUMA ZA UTEKAJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-qczRbbtLbS0/VJFatyIVm8I/AAAAAAAG3w8/9Wk2tcgyxKY/s1600/images.jpg)
MBUNGE wa jimbo la Arumeru Mashariki mkoani Arusha Mhe. Joshua Nassari (pichani) anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kutuhumiwa na tukio la kumteka mtendaji wa kata ya makiba.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa polisi mkoa wa Arusha Lebaratus Sabas alisema kuwa Mhe Nassari huyu alikamatwa majira ya saa moja usiku December 16 katika eneo la Doli lililopo katika kijiji cha UsaRiver kwenye gari aina ya Land cruiser lenye namba za usajili T 753...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Tc0kjcbI048/VJGPLKC80oI/AAAAAAAG36g/rW2uJJ0N6gM/s72-c/images.jpg)
NEWS ALERT: MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI MHE JOSHUA NASSARI AACHIWA KWA DHAMANA NA MAHAKAMA YA MWANZO YA MAJI YA CHAI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Tc0kjcbI048/VJGPLKC80oI/AAAAAAAG36g/rW2uJJ0N6gM/s1600/images.jpg)