Ajali mbaya yaua 10 Mbeya
Askari wa usalama barabarani na raia wakiangalia gari aina ya Toyota Hiace iliyopata ajali eneo la Mbalizi mkoani Mbeya na kusababisha vifo vya watu 10 na wengine kujeruhiwa. Picha na Pendo Fundisha
Na Pendo Fundisha, Mbeya
WATU 10 wakiwemo watoto wadogo wawili, wamekufa papo hapo baada ya gari dogo la abiria aina ya Toyota Hiace kulivaa lori aina ya Fuso katika eneo la Mbalizi mkoani Mbeya.
Katika ajali hiyo iliyotokea jana saa 4 asubuhi, watu saba walijeruhiwa miongoni mwao wakiwa katika...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Ajali mbaya yaua watu 22 Rufiji
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
News Alert: Ajali mbaya ya basi, yaua abiria 12 na kujeruhi vibaya 18 Singida
Pichani ni muonekana upande wa dereva wa basi la Taqbiir lenye namba za usajili T230-BRJ.
Basi la Kampuni ya Taqbiir lililokuwa linatoka Dar es Salaam kwenda Katoro-Geita, lilipofika kijiji cha Kisonzo, tarafa ya Shelui wilaya ya Iramba mkoa wa Singida Desemba mosi mwaka huu, majira ya saa moja na nusu liligonga Tenka la Mafuta upande wa kulia wa dereva na kung’oa bati lote na kuua baadhi ya watu papo hapo na wengine walifia njiani wakipelekwa hospitali ya wilaya ya Iramba. (Picha zote na...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-RQI_zqxrGpM/VFzX_9fYqrI/AAAAAAAAxLU/hGQ_OUsnpfQ/s72-c/10734151_844921828862033_7645623793860367259_n.jpg)
AJALI MBAYA YATOKEA VWAWA MBOZI LEO MCHANA YAUA DEREVA WA NSSF NA MENEJA WAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-RQI_zqxrGpM/VFzX_9fYqrI/AAAAAAAAxLU/hGQ_OUsnpfQ/s640/10734151_844921828862033_7645623793860367259_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-p0L5ZuWKpmc/VFzcWhc0cdI/AAAAAAAAxLw/clknRnZnRxU/s640/Picture%2B010.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-msJ92l7OCtY/VFzYAbkVLnI/AAAAAAAAxLY/QIwKV3vtGYg/s640/10345822_844923002195249_7414716207742340801_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-T0ROCiOHwog/VFzX_y3l6qI/AAAAAAAAxLc/i7p1rec0_T8/s640/1555522_844922322195317_297298873858181563_n-1.jpg)
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Ajali yaua 10 Mbeya, wanane wajeruhiwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TQDVHBx0tuVB5N5PJCucd0cfnh7D7S9MgVcFTQNDKdxJDFueZd5EQPAiIUsIb56f92sZmm3XzRjZoo9jqQhAuNeL1S4qKEE1/IMG20140924WA0015.jpg)
AJALI YA NOAH YAUA WAWILI MBEYA
11 years ago
GPLAJALI YAUA WAWILI, YAJERUHI 23 MKOANI MBEYA
10 years ago
GPLAJALI YAUA 10 NA KUJERUHI 7 MBALIZI MKOANI MBEYA LEO
10 years ago
Mwananchi30 Sep
Ajali ya gari Mbeya yaua watu watano wa ukoo mmoja
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KOwdycLvXTsOGq2CWtfiOfMv2WsqgG*Vwx4eB6HbpmgwYjpVdJTzfxo7GfJgBTmoMVbT-fueL1DzJ0ClKVY-d1*wF6iiVNb/2.jpg)
AJALI YA BASI LA SUPER FEO YAUA 3, YAJERUHI 28 MKOANI MBEYA