Ajali yaua 10 Mbeya, wanane wajeruhiwa
>Vilio na simanzi vimetawala katika mji mdogo wa Mbalizi Wilaya ya Mbeya vijijini baada ya Watu 10 kufa papo hapo akiwamo mama na mtoto wake na wengine wanane kujeruhiwa baada ya Toyota Hiace waliyokuwa wakisafiria kugongana na lori katika eneo liloko karibu na kituo cha mafuta.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Sep
Ajali yaua watatu, 24 wajeruhiwa
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Ajali ya basi yaua wanne, wengine 40 wajeruhiwa
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-1Sj5bNT59QY/VHIYwELHUHI/AAAAAAAAxbo/bnnglHkF3Xk/s72-c/20141122_165254.jpg)
WATU ZAIDI YA 25 WAJERUHIWA VIBAYA KATIKA AJALI YA COSTA SENJELE MBEYA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-1Sj5bNT59QY/VHIYwELHUHI/AAAAAAAAxbo/bnnglHkF3Xk/s640/20141122_165254.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jKkkds1jA_U/VHIYwiWd5VI/AAAAAAAAxbs/CftCvq6ahPY/s640/20141122_165300.jpg)
Baadhi ya majeruhi wakitafuta mizigo yao mara baada ya kutoka ndani ya basi hilo
![](http://1.bp.blogspot.com/-_jbDc85nu2E/VHIYwDsflXI/AAAAAAAAxbk/BXHvjUWMYIs/s640/20141122_165321.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ccz89qkIlJg/VHIY1AdZ7aI/AAAAAAAAxcE/N9MuIFcTjlI/s640/20141122_165332.jpg)
Baadhi ya majeruhi wakitoka ndani ya basi hilo.Picha na Mbeya yetu
![](http://1.bp.blogspot.com/-wwqsYY7lXg4/VHIY0CeLF_I/AAAAAAAAxb8/bsULvDkK8aQ/s640/20141122_165513.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I-uM4qV5nEI/VHIY4_EAAgI/AAAAAAAAxcY/aPlSeSvtKrs/s640/20141122_165546.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mw6Y1CMV0r4/VHIY6P_xhdI/AAAAAAAAxck/oXvQuuyWmkM/s640/20141122_165610.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-H4ShreRDbK4/VHIY3hoi2aI/AAAAAAAAxcM/h8YAFtabeQ8/s640/20141122_165539.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yK_fM6K6QSE/VHIY-EBmO4I/AAAAAAAAxc0/HH_Ys7tfeLA/s640/20141122_165633.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bFQ59aJ5BWY/VHIY_p2XQ7I/AAAAAAAAxc8/pXPwwV9EkWA/s640/20141122_165729.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yMEgzzi3xKU/VHIY_zvnvJI/AAAAAAAAxdA/PaCYx-gDqCg/s640/20141122_165806.jpg)
Baadhi ya abilia wakitaka kumpiga Dereva wagari ya aina ya Suzuki kuwa yeye ndio alisababisha ajali hiyo kwa kuyumbayumba kwake barabarani
![](http://4.bp.blogspot.com/-jzlWGQxDbT0/VHIZAINumEI/AAAAAAAAxdE/lxIhlhVYIGo/s640/20141122_165755.jpg)
Moja ya wasamaria wema akiwazuia abiria wenye hasira kali kutaka kumpiga mzee huyo Mwenye Suzuki ambae alijulikana kwa jina moja tu mzee Mtawa
![](http://1.bp.blogspot.com/-Qfj9Esq_tRw/VHIZN5W2rNI/AAAAAAAAxd8/cZqJu25HMBI/s640/20141122_173032.jpg)
Mwandishi wa habari Kenneth Mwazembeakiwasili katika Hospitali ya...
10 years ago
Mtanzania30 Aug
Ajali mbaya yaua 10 Mbeya
![Askari wa usalama barabarani na raia wakiangalia gari aina ya Toyota Hiace iliyopata ajali eneo la Mbalizi mkoani Mbeya na kusababisha vifo vya watu 10 na wengine kujeruhiwa. Picha na Pendo Fundisha](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/ajali-mbeya.jpg)
Askari wa usalama barabarani na raia wakiangalia gari aina ya Toyota Hiace iliyopata ajali eneo la Mbalizi mkoani Mbeya na kusababisha vifo vya watu 10 na wengine kujeruhiwa. Picha na Pendo Fundisha
Na Pendo Fundisha, Mbeya
WATU 10 wakiwemo watoto wadogo wawili, wamekufa papo hapo baada ya gari dogo la abiria aina ya Toyota Hiace kulivaa lori aina ya Fuso katika eneo la Mbalizi mkoani Mbeya.
Katika ajali hiyo iliyotokea jana saa 4 asubuhi, watu saba walijeruhiwa miongoni mwao wakiwa katika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TQDVHBx0tuVB5N5PJCucd0cfnh7D7S9MgVcFTQNDKdxJDFueZd5EQPAiIUsIb56f92sZmm3XzRjZoo9jqQhAuNeL1S4qKEE1/IMG20140924WA0015.jpg)
AJALI YA NOAH YAUA WAWILI MBEYA
11 years ago
GPLAJALI YAUA WAWILI, YAJERUHI 23 MKOANI MBEYA
10 years ago
GPLAJALI YAUA 10 NA KUJERUHI 7 MBALIZI MKOANI MBEYA LEO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KOwdycLvXTsOGq2CWtfiOfMv2WsqgG*Vwx4eB6HbpmgwYjpVdJTzfxo7GfJgBTmoMVbT-fueL1DzJ0ClKVY-d1*wF6iiVNb/2.jpg)
AJALI YA BASI LA SUPER FEO YAUA 3, YAJERUHI 28 MKOANI MBEYA
10 years ago
Mwananchi30 Sep
Ajali ya gari Mbeya yaua watu watano wa ukoo mmoja