AJALI MBAYA YA NOAH MOROGORO
![](http://api.ning.com:80/files/J9FGucqSAtHnKSRlAq8VmFMMDfmkp3oazB9j7Rm3ZBPy7-BVIJff*Pn*LiT7GnU9GeUuExKjsdaeSlk9*HMvDGZUd9ol-Y2L/AJALIMORO6.jpg)
Hili ni gari la Noah lililopata ajali jana usiku wa saa 8 huko Morogoro Mtaa wa Mazimbu reli ya pili likiwa na vijana wanne ambapo mmoja wao kaaga dunia. Hii ni nguzo iliyogongwa na gari hilo mara baada ya kuhama njia.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OPUEFkeLFUM/UwnODUYUrgI/AAAAAAAFO_w/z1skdnl_4Hg/s72-c/unnamed+(12).jpg)
ajali mbaya eneo la Mikese, Morogoro, leo Asubuhi
![](http://4.bp.blogspot.com/-OPUEFkeLFUM/UwnODUYUrgI/AAAAAAAFO_w/z1skdnl_4Hg/s1600/unnamed+(12).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7ENufK_Znbc/UwnODm3WRsI/AAAAAAAFO_4/cQKAhtjRcWw/s1600/unnamed+(13).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YjmKlrMa2QI/UwnODnBCPzI/AAAAAAAFO_0/JJWrh-qZ394/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CVwC4cHKNO4/UwnOEBqTe1I/AAAAAAAFPAI/jIqRq_rRzPI/s1600/unnamed+(15).jpg)
11 years ago
Habarileo22 Jan
Marehemu ajali Noah wafikia 14
MTOTO wa miezi sita aliyejeruhiwa kwenye ajali ya gari dogo la abiria la Toyota Noah na lori la Scania mkoani hapa juzi, amefariki dunia na kufanya idadi ya waliokufa kufikia 14. Happiness Elisha alifariki dunia jana akiwa katika Hospitali ya St Gaspar, Itigi alikokuwa amelazwa kwa matibabu.
10 years ago
Vijimambo12 Dec
Ajali ya Noah iliyoua yazua kasheshe
Aidha, ajali hiyo ilizua mvutano mkubwa baada ya wahudumu na maofisa wa kituo cha afya kugoma kupokea majeruhi wakidai wapewe fedha kwanza.
Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Deus Nsimeki, alitaja gari hilo kuwa ni T .728 CLV na kuwa dereva wake, Kazumba Musa aliyekimbia baada ya ajali hiyo, anatafutwa.
Alisema...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TQDVHBx0tuVB5N5PJCucd0cfnh7D7S9MgVcFTQNDKdxJDFueZd5EQPAiIUsIb56f92sZmm3XzRjZoo9jqQhAuNeL1S4qKEE1/IMG20140924WA0015.jpg)
AJALI YA NOAH YAUA WAWILI MBEYA
9 years ago
Dewji Blog26 Sep
Ajali ya basi la City Boys yaua 3, Singida, mwingine agongwa na Noah
Kamanda wa polisI Mkoani Singida (ACP) Thobias Sedoyeka (pichani)akizungumza na waandishi wa habari juu ya kutokea kwa ajali ya basi la City Boys na kusababisha vifo vya watu watatu Wilayani Iramba na mwingine kugongwa na Noah Singida vijijini. (PICHA NA HILLARY SHOO).
Na Hillary Shoo, IRAMBA
WATU wanne wamefariki dunia Mkoani Singida baada ya kupata ajali ya kugongwa na basi la City Boys na mwingine Noah wakati wakivuka barabara eneo la Ulemo barabara kuu ya Singida- Nzega.
Kamanda wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LRabT8flycF2Hp6MCCWvTlYDOH3EdjaaljigDP6FEiayE5zidNOfHoXp8Q5X5O7fr0SDNQFnB6-qbsWfTjvR-uLcwIKMNXTU/IMG20141026WA0005.jpg)
AJALI MBAYA YA GARI ARUSHA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04aslISWLmN-XlCNjfduMKk8PSWh91yUiDG5p4YhucigtM54m4JRDHMh9yKHTq6L-TiXXKUj6h2IPJsmdLaPLeXmU/lungi.jpg?width=650)
LUNGI APATA AJALI MBAYA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Zf7js0lkpBorIhKqKTZEDcO-VOXuivNQyM5aYXrV66531UOA*II2z2Kyw8ICb0wj*p-9sW6044jHl*RnpSrs*gGYizrjjVnV/AIRBUS.jpg)
AJALI MBAYA YATOKEA GAIRO
10 years ago
Mtanzania30 Aug
Ajali mbaya yaua 10 Mbeya
![Askari wa usalama barabarani na raia wakiangalia gari aina ya Toyota Hiace iliyopata ajali eneo la Mbalizi mkoani Mbeya na kusababisha vifo vya watu 10 na wengine kujeruhiwa. Picha na Pendo Fundisha](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/ajali-mbeya.jpg)
Askari wa usalama barabarani na raia wakiangalia gari aina ya Toyota Hiace iliyopata ajali eneo la Mbalizi mkoani Mbeya na kusababisha vifo vya watu 10 na wengine kujeruhiwa. Picha na Pendo Fundisha
Na Pendo Fundisha, Mbeya
WATU 10 wakiwemo watoto wadogo wawili, wamekufa papo hapo baada ya gari dogo la abiria aina ya Toyota Hiace kulivaa lori aina ya Fuso katika eneo la Mbalizi mkoani Mbeya.
Katika ajali hiyo iliyotokea jana saa 4 asubuhi, watu saba walijeruhiwa miongoni mwao wakiwa katika...