ODAMA: NAANZAANZAJE KUMFICHA BWANA’NGU?
![](http://api.ning.com:80/files/1VJR9F-zilpv6*bhiNi3meEUZnrI7YlhgkLj7nSiZaH9iBTEAbysA-luYcRgfxu0nLt9i6ToUMOVQQKu**zmwBrJSHl6hh2g/odama.jpg)
Stori: Rhoda josiah Mwanadada anayeuza nyago kwenye filamu za Kibongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amekanusha tuhuma ya kumficha mwandani wake na kufunguka kuwa, marafiki na familia yake wanamjua hivyo haoni sababu ya kumfanya kila mtu amjue. Mwanadada anayeuza nyago kwenye filamu za Kibongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ Odama alikuwa akizungumzia madai ya kumficha mwanaume aliyezaa naye huku baadhi wakisema,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bAnmdOW7NainuVeiDCBH8jrVA64EyQ-Nf70ZIhavKYg6nUvik6fzjCUcqKB1CYf-egmIKCxOzxOOzHpCzcbf*ftKpu7iUmpy/p.txt.jpg?width=650)
ODAMA AZIDI KUMFICHA BABA WA MTOTO!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bf3qBTWMVA*kjR3rCT8Ofjy6LC8aBLDcEg1nJWu5tg2po5nysR3FKGDS03g6Y-TmlYBZWH-cOMR2-Dou9RJCmS3UT*MfZzS4/REHEMA.jpg?width=650)
LULU: OLE WAKE MTU AMFUATE BWANA’NGU
10 years ago
VijimamboMWENYEKITI WA TAWI LA CCM NY BWANA SELF AKIDA AENDA KUTOA POLE NYUMBANI KWA BWANA KIBODYA.
Nyumbani kwa Bwana Isaac Kibondya akiongea na watu walioenda kumpa pole nyumbani kwake baada ya kufiwa na mkwe wake, Kifo kimetokea huko Tanzania siku ya Tarehe July, 16. Marehemu ni mzazi wa Mke wa Bwana Kibodya na Kama inakumbukwa wote walikuwa Tanzania kumuona marehemu akiwa anaumwa mwezi uliopita.
Mwenyekiti wa tawi la CCM New York bwana Seif Akida pamoja na Ny Ebra wote kutoka New York wakiwa nyumbani kwa bwana Kibodya Vail, Springfield. MA kutoa pole.
10 years ago
Mwananchi24 Dec
Tibaijuka: Bwana alitoa, bwana ametwaa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vnQhPUwEod0iftv4YN*VLsSHIPvx5PwI6LRah7wKUwhopDQd61nYa4dZoRhQJpzX7VpEOrnveJzvRvlorKoYGQfr63Kf8UKi/222.jpg?width=650)
WEMA: MAMA’NGU AMEPOTEZA UWEZO WA KUONA KWA 75%!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzPfBre8N7ajnzhkLY9k6vghkYnBkuPejvKMybZGVj2acEImb9p8TTpvR9aNO*1IBeLWNpqEypcO4hf0sqQ2uhh9f4vf0Aja/e.jpg?width=650)
SNURA ADAIWA KUMFICHA MWANAYE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UJ8aoEZo49agDaElOtf2QQpueBVuEin**yzIuqF20TWmMmiB6bwzhuL6tuBLMUVAD9GqOTMhrO17eGEZLHGmLa4qIx4H4wE5/Aunt.gif?width=650)
AUNT EZEKIEL AELEZA SABABU YA KUMFICHA MWANAYE
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Mambo 10 ambayo mwanamke hapaswi kumficha daktari
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Mchungaji wa kanisa akamatwa kwa tuhuma ya kumficha ndani mtoto wake kwa miaka 12
Kijana mkazi wa kijiji cha Itaja tarafa ya Mgori wilayani Singida, Timotheo David (30), akiwa amelazwa wodi namba nne hospitali ya mkoa wa Singida baada ya kuletwa na jeshi la polisi siku mbili zilizopita. Inadaiwa kuwa Timotheo baada ya kuugua Malaria kali mwaka 2003 na kuchanganyikiwa akili, alifungiwa ndani chumbani toka wakati huo hadi juzi alipotolewa na polisi na kuletwa hospitalini. Kwa mujibu wa Kaimu Mganga mfawidhi hospitali ya mkoa, Dk.Napaiya Petro, Timotheo hana ugonjwa wo wote...