Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ISABELA & KABULA WANASWA WAKISHUTI WAKIWA BWIII!

Stori: Gladness Mallya
GAMBE! Wasanii wanaounda kundi la muziki la Scorpion Girls, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ na Isabela Mpanda hivi karibuni walinaswa wakiwa tilalila huku wakifanya kazi. Wasanii wanaounda kundi la muziki la Scorpion Girls, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’(katikati) na Isabela Mpanda(kulia) wakilishambulia jukwaa . Tukio hilo lilitokea wiki iliyopita maeneo ya Kawe jijini Dar es Salaam...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

JINI KABULA, ISABELA WAMALIZA BIFU

Stori: Gladness Mallya PEACE! Baada ya wasanii wawili waliokuwa wanaunda Kundi la Scorpion Girls, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’ na Isabela Mpanda kuwa kwenye bifu kwa miezi kadhaa, hatimaye wamepatana. Wasanii wawili waliokuwa wanaunda Kundi la Scorpion Girls, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’ na Isabela Mpanda wakiwa kwenye picha ya pamoja. chanzo makini ambacho ni rafiki wa karibu na wasanii hao kikizungumza...

 

10 years ago

Bongo Movies

Isabela: Mastaa wa Kike Bongo Wanaishi Kwa Kuuza Miili Yao, Jini Kabula na Davina nao waeleza!!

Akizungumza na GPL , msanii wa filamu na muziki Bongo, Isabela Mpanda ‘Bella’, alisema wasanii wengi wanaishi maisha ya thamani wakati kiuhalisia kazi yao haiwaingizii kipato kinachofanana na maisha ya thamani wanayoishi hivyo kuamua kujiuza.

“Filamu hazilipi, wengi tunajiuza. Bajeti yenyewe ya muvi ni ndogo, wasanii wengi wanataka kulipwa katika muvi moja, haiwezekani kumiliki vitu vya thamani ndiyo maana tunaamua kujiuza.
“Hakuna msanii anayeishi maisha ya kutegemea filamu, kwanza...

 

10 years ago

Bongo Movies

Sabby, Cyrill Wanaswa Wakiwa Kwenye Pozi Tata!

Mrembo na staa wa Bongo Movie, Sabrina Omary ‘Sabby’  na  muziki wa Bongo Fleva, Cyrill Kamikaze hivi karibuni walinaswa katika ufukwe wa Hoteli ya Golden Tulip, Masaki jijini Dar wakiwa kimahaba na hivyo kuzidisha tetesi kuwa wanatoka kimapenzi.

Chanzo chanzo makini cha GPL kilisema wawili hao walionekana hotelini hapo wakiwa eneo la kuogelea na walipomaliza walihamia katika viti ambako sasa walikumbatiana kimahaba kana kwamba hakuna mtu anayewaona.

Kwa nyakati tofauti walipoulizwa kuhusu...

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZA DIAMOND NA WAJE WAKISHUTI VIDEO YA COLLABO MJINI CAPE TOWN NCHINI AFRIKA KUSINI

Diamond Platnumz ameamua kusafiri hadi jijini Cape Town, Afrika Kusini kimya kimya kwenda kushoot video ya wimbo alioshirikishwa na msanii wa Nigeria, Waje.Diamond na Waje Video hiyo imefanyika kwenye fukwe za bahari ya Atlantic jijini Cape Town.Diamond alipost picha hii kwenye Instagram bila kusema chochote ni wapi alipoipigiaDiamond na Waje wakiwa locationPicha hii iliweka Instagram na Jesse Ebuka Okoli aliyeandika:On set yesterday with the ever amazing @officialwaje ft diamond #Coco baby...

 

11 years ago

GPL

ISABELA HAMNAZO

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan Mbovumbovu za staa! Miss Ruvuma 2006, Isabela Mpanda amedhihirisha jinsi alivyo hamnazo baada ya kuvua nguo hadharani na kuacha nyeti nje bila kujali watu waliokuwa wakimshangaa. Isabela Mpanda akimwaga radhi ukumbini. Tukio hilo la kushangaza lilitokea Alhamisi iliyopita kwenye Ukumbi wa Mawela uliopo Sinza, Dar ambako kulikuwa na kitchen party ya mwigizaji, Vanita Omary ambapo Isabela...

 

11 years ago

GPL

ISABELA, KALAMA WAMWAGANA

MWISHO umewadia! Ule uchumba wa muda mrefu wa wasanii wawili wa muziki wa kizazi kipya, Isabela Mpanda an Kalama Bakari ‘Luteni’ umevunjika kwa kinachoelezwa kuwa ni kukosekana kwa uaminifu baina yao. Wasanii wawili wa muziki wa kizazi kipya, Isabela Mpanda 'Bella' na Kalama Bakari ‘Luteni’ wakiwa katika picha ya pamoja ndani ya Global TV Online hivi karibuni  kabla ya kumwagana. Chanzo makini...

 

10 years ago

GPL

ISABELA, KARAMA WAMWAGANA

Na Gladness Mallya/Amani WALE wasanii waliodumu kwenye uhusiano wa kimapenzi muda mrefu, Isabela Mpanda na Luteni Karama hatimaye wamemwagana rasmi kutokana na kile kilichodaiwa ni kushindwana tabia. Isabela Mpanda akiwa na Luteni Karama. Akipiga stori na paparazi wetu, Isabela alisema ameamua kummwaga Karama kwa sababu ameshamfumania kwa njia ya meseji za wanawake zaidi ya mara tatu kwenye simu yake ya mkononi pia amegundua...

 

11 years ago

GPL

ISABELA AWAANGUKIA WATANZANIA

Stori: Gladness Mallya MSAMAHA!  Baada ya hivi karibuni kuvua nguo na kuonesha sehemu nyeti hadharani, msanii wa muziki na filamu Bongo, Isabela Mpanda ameibuka na kuwaomba radhi Watanzania kwa kitendo hicho kichafu alichokifanya. Msanii wa muziki na filamu Bongo, Isabela Mpanda. Akichonga na gazeti hili, Isabela alisema ameumia sana baada ya kuona picha akiwa ameacha sehemu zake nyeti nje hivyo anawaomba Watanzania...

 

11 years ago

GPL

ISABELA: KALAMA AMENITULIZA

Stori: Gladness Mallya
MSANII wa filamu na muziki Bongo, Isabela Mpanda amekiri kuwa mpenzi wake, Luteni Kalama ndiye aliyemtuliza  mapepe aliyokuwa nayo. Miss Ruvuma 2008, Isabella Mpanda ‘Bella’ na mchumba’ke ambaye ni memba wa Kundi la Gangwe Mob, Karama Bakari ‘Luteni Kalama’.
Akistorisha na safu… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani