Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ISABELA AWAANGUKIA WATANZANIA

Stori: Gladness Mallya MSAMAHA!  Baada ya hivi karibuni kuvua nguo na kuonesha sehemu nyeti hadharani, msanii wa muziki na filamu Bongo, Isabela Mpanda ameibuka na kuwaomba radhi Watanzania kwa kitendo hicho kichafu alichokifanya. Msanii wa muziki na filamu Bongo, Isabela Mpanda. Akichonga na gazeti hili, Isabela alisema ameumia sana baada ya kuona picha akiwa ameacha sehemu zake nyeti nje hivyo anawaomba Watanzania...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mwenyekiti CCM awaangukia wazee

MWENYEKITI wa Kijiji cha Mlamleni Wilaya ya Mkuranga mkoani  Pwani, Hamisi Linyimuka (CCM), amewaomba radhi wazee wa mtaa wa Videte kwa kosa la kumilikisha ardhi. Hatua hiyo ilikuja baada ya Mwenyekiti...

 

9 years ago

Mwananchi

Naibu Spika awaangukia wapinzani Uganda

Naibu Spika wa Uganda Jacob Oulanyah amelazimika kumwomba radhi mgombea urais wa Chama cha Umoja wa Mabadiliko ya Kidemokrasia na viongozi wengine wa upinzani kutokana na kuathiriwa na vurugu zilizojitokeza wiki iliyopita katika jimbo lake la Omoro.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Angellah Kairuki awaangukia watetezi wa haki za kisheria


NA MWANDISHI WETU
NAIBU Waziri wa Katiba na Sheria, Angellah Kairuki, amewaomba watetezi wa haki za kisheria, kuisaidia jamii ili kuondokana na changamoto ya kusuasua mahakamani kwa kesi za ukatili wa kjinsia, ardhi, ndoa na mirathi.
Amesema kitendo cha kusua sua kwa kesi hizo, kimekuwa kikimuumiza kichwa, hivyo wadau hao ni muhimu  ili kuwa na jamii salama.
Hayo aliyasema mjini Dar es Salaam, jana, wakati wa ziara yake ya siku tano ya kutembelea asasi zinazotoa misaada wa kisheria.
“Kutokana na...

 

11 years ago

GPL

ISABELA HAMNAZO

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan Mbovumbovu za staa! Miss Ruvuma 2006, Isabela Mpanda amedhihirisha jinsi alivyo hamnazo baada ya kuvua nguo hadharani na kuacha nyeti nje bila kujali watu waliokuwa wakimshangaa. Isabela Mpanda akimwaga radhi ukumbini. Tukio hilo la kushangaza lilitokea Alhamisi iliyopita kwenye Ukumbi wa Mawela uliopo Sinza, Dar ambako kulikuwa na kitchen party ya mwigizaji, Vanita Omary ambapo Isabela...

 

11 years ago

GPL

ISABELA: KALAMA AMENITULIZA

Stori: Gladness Mallya
MSANII wa filamu na muziki Bongo, Isabela Mpanda amekiri kuwa mpenzi wake, Luteni Kalama ndiye aliyemtuliza  mapepe aliyokuwa nayo. Miss Ruvuma 2008, Isabella Mpanda ‘Bella’ na mchumba’ke ambaye ni memba wa Kundi la Gangwe Mob, Karama Bakari ‘Luteni Kalama’.
Akistorisha na safu… ...

 

11 years ago

GPL

ISABELA, KALAMA WAMWAGANA

MWISHO umewadia! Ule uchumba wa muda mrefu wa wasanii wawili wa muziki wa kizazi kipya, Isabela Mpanda an Kalama Bakari ‘Luteni’ umevunjika kwa kinachoelezwa kuwa ni kukosekana kwa uaminifu baina yao. Wasanii wawili wa muziki wa kizazi kipya, Isabela Mpanda 'Bella' na Kalama Bakari ‘Luteni’ wakiwa katika picha ya pamoja ndani ya Global TV Online hivi karibuni  kabla ya kumwagana. Chanzo makini...

 

10 years ago

GPL

ISABELA, KARAMA WAMWAGANA

Na Gladness Mallya/Amani WALE wasanii waliodumu kwenye uhusiano wa kimapenzi muda mrefu, Isabela Mpanda na Luteni Karama hatimaye wamemwagana rasmi kutokana na kile kilichodaiwa ni kushindwana tabia. Isabela Mpanda akiwa na Luteni Karama. Akipiga stori na paparazi wetu, Isabela alisema ameamua kummwaga Karama kwa sababu ameshamfumania kwa njia ya meseji za wanawake zaidi ya mara tatu kwenye simu yake ya mkononi pia amegundua...

 

11 years ago

GPL

ISABELA ALA BETHIDEI KITANDANI

Stori: Gladness Mallya
MSANII wa Bongo Fleva, Isabela Mpanda ‘Bela’ alikula sherehe ya bethidei yake (Aprili 15, mwaka huu) akiwa kitandani baada yakuugua Ugonjwa wa Homa ya Matumbo (Typhoid). Msanii wa Bongo Fleva, Isabela Mpanda ‘Bela’akiwa katika matanuzi. Bela alisema kabla ya kuugua alipanga kufanya bonge la pati lakini bahati mbaya mambo yakaenda ndivyo sivyo. “Sina ujanja, acha nile...

 

10 years ago

GPL

NDOA YA ISABELA KARAMA YABUMA

Story:Mayasa Mariwata
MSANII wa muziki Bongo, Isabela Mpanda amesema kuwa anasikitika kuona mwaka umeisha mipango yake ya kufunga pingu za maisha na mwandani wake wa siku nyingi Luten Karama imegonga mwamba na kutamani kuolewa ndoa ya kimyakimya. Msnii wa muziki Bongo, Isabela Mpanda akiwa na mpenzi wake Luteni Kalama. Akizungumza kwa masikitiko mwanadada huyo aliyewahi kutwaa taji la Miss Ruvuma alisema, maisha ya uchumba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani