Angellah Kairuki awaangukia watetezi wa haki za kisheria
NA MWANDISHI WETU
NAIBU Waziri wa Katiba na Sheria, Angellah Kairuki, amewaomba watetezi wa haki za kisheria, kuisaidia jamii ili kuondokana na changamoto ya kusuasua mahakamani kwa kesi za ukatili wa kjinsia, ardhi, ndoa na mirathi.
Amesema kitendo cha kusua sua kwa kesi hizo, kimekuwa kikimuumiza kichwa, hivyo wadau hao ni muhimu ili kuwa na jamii salama.
Hayo aliyasema mjini Dar es Salaam, jana, wakati wa ziara yake ya siku tano ya kutembelea asasi zinazotoa misaada wa kisheria.
“Kutokana na...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog16 Apr
Angellah Kairuki asimikwa kuwa Kamanda wa UVCCM Same
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana (UVCCM, Ndg. Sixtus Mapunda akimkabidhiMhe. Angellah Kairuki (MB), Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, nyenzo za vitendea kazi za kimila wakati wakusimikwa kuwa Kamanda wa UVCCM wa Wilaya ya Same.
Katibu Mkuu wa Umojawa Vijana (UVCCM), Ndg. Sixtus Mapunda akimweleza majukumu ya Kamanda wa Vijana Mhe. Angellah Kairuki kabla ya kusimikwa kuwa Kamanda wa UV CCM wa Wilaya ya Same.
Mhe. Kairuki akila kiapo cha Kamanda Mpya wa UVCCM wa Wilaya ya Same wakati wa...
11 years ago
Habarileo17 Mar
Wataka Katiba iwe na haki za watetezi wa haki za binadamu
MTANDAO wa watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), wamewaomba Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, kuingiza katika rasimu ya Katiba mpya suala la ulinzi na haki za watetezi wa haki za binadamu, wakiwemo waandishi wa habari.
11 years ago
Michuzi07 Feb
Naibu Waziri wa Sheria na Katiba Angellah Kairuki Azindua Kampeni Care For Me!
![Naibu Waziri wa Sheria na Katiba, Bi. Angellah Kairuki akifungua kitambaa kuashiria uzinduzi rasmi wa kampeni za 'Care For Me!' katika Kijiji cha SOS kilichopo jijini Dar es Salaam leo. Kampeni hizo za kuhamasisha jamii na makundi mbalimbali kuchangia na kumjali mtoto aliye katika mazingira hatarishi na yatima zinalenga kuwasaidia watoto zaidi ya 12,000 hadi kufikia mwisho wa kampeni yaani mwaka 2016.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/02/IMG_5548.jpg)
![Naibu Waziri wa Sheria na Katiba, Bi. Angellah Kairuki akitia saini sehemu maalumu kutoa ujumbe wake mara baada ya kufanya uzinduzi rasmi wa kampeni za 'Care For Me!' katika Kijiji cha SOS kilichopo jijini Dar es Salaam. Pamoja na mambo mengine fedha zitakazopatikana katika kapeni hiyo zitahakikisha zinaongeza idadi ya vituo vya SOS kuwasaidia watoto yatima na waliopo katika mazingira hatarishi.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/02/IMG_5555.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uwKDBn54BLw/U8LIFraw7BI/AAAAAAAF13w/MDp1ULBYNkQ/s72-c/unnamed.jpg)
NAIBU WAZIRI ANGELLAH JASMINI KAIRUKI ZIARANI DAR ES SALAAM KUANZIA KESHO JULAI 14-18, 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-uwKDBn54BLw/U8LIFraw7BI/AAAAAAAF13w/MDp1ULBYNkQ/s1600/unnamed.jpg)
Pamoja na kujionea huduma hizi Mh. Naibu Waziri anatarajiwa kujionea ufanisi wa kazi zinazofanywa na...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hprbIEVr3Mk/Uu5kc8-xb-I/AAAAAAACZ9M/NVSTGAFjstY/s72-c/akizungumza.jpg)
VYAMA vya upinzani bado vina safari ndefu kufikia ukongwe na mafanikio ya Chama cha Mapunduzi nchini-Angellah Kairuki.
![](http://1.bp.blogspot.com/-hprbIEVr3Mk/Uu5kc8-xb-I/AAAAAAACZ9M/NVSTGAFjstY/s1600/akizungumza.jpg)
Alisifu kwamba hadi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GgLJCqSqMN0/VMX4mAyxlYI/AAAAAAAG_eg/7uiUCOCnfes/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
Mhe. Angellah Kairuki amkabidhi Ofisi Mhe. Ummy Mwalimu leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-GgLJCqSqMN0/VMX4mAyxlYI/AAAAAAAG_eg/7uiUCOCnfes/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kZ7n2uClPdU/VMX4ipfprfI/AAAAAAAG_eU/OwzeQWFZ4Aw/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-R5gaSmj7sqY/VMX4ijMRdEI/AAAAAAAG_eQ/jYQaoN8r51w/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FXkXptW89jJNs3aXz5L-x*E1qNVQgT0nIKpwLOaHSALO8hjOrqO1H2O7ePMiiUnNyM0JzUwz*Gz1fgEjRtYQ89FubhNrtvQ2/unnamed45.jpg?width=650)
MHE. ANGELLAH KAIRUKI AMKABIDHI OFISI MHE. UMMY MWALIMU
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
UB yawaasa watetezi haki za binadamu
CHUO Kikuu cha Bagamoyo (UB), kimewataka washiriki 10 wa mafunzo ya utetezi wa Haki za Binadamu na Utawala wa Sheria kutoka nchi za Afrika Mashariki ( EAC), kuhakikisha wanashiriki mafunzo...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10