Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ISABELA HAMNAZO

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan Mbovumbovu za staa! Miss Ruvuma 2006, Isabela Mpanda amedhihirisha jinsi alivyo hamnazo baada ya kuvua nguo hadharani na kuacha nyeti nje bila kujali watu waliokuwa wakimshangaa. Isabela Mpanda akimwaga radhi ukumbini. Tukio hilo la kushangaza lilitokea Alhamisi iliyopita kwenye Ukumbi wa Mawela uliopo Sinza, Dar ambako kulikuwa na kitchen party ya mwigizaji, Vanita Omary ambapo Isabela...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ISABELA: KALAMA AMENITULIZA

Stori: Gladness Mallya
MSANII wa filamu na muziki Bongo, Isabela Mpanda amekiri kuwa mpenzi wake, Luteni Kalama ndiye aliyemtuliza  mapepe aliyokuwa nayo. Miss Ruvuma 2008, Isabella Mpanda ‘Bella’ na mchumba’ke ambaye ni memba wa Kundi la Gangwe Mob, Karama Bakari ‘Luteni Kalama’.
Akistorisha na safu… ...

 

10 years ago

GPL

ISABELA, KARAMA WAMWAGANA

Na Gladness Mallya/Amani WALE wasanii waliodumu kwenye uhusiano wa kimapenzi muda mrefu, Isabela Mpanda na Luteni Karama hatimaye wamemwagana rasmi kutokana na kile kilichodaiwa ni kushindwana tabia. Isabela Mpanda akiwa na Luteni Karama. Akipiga stori na paparazi wetu, Isabela alisema ameamua kummwaga Karama kwa sababu ameshamfumania kwa njia ya meseji za wanawake zaidi ya mara tatu kwenye simu yake ya mkononi pia amegundua...

 

11 years ago

GPL

ISABELA, KALAMA WAMWAGANA

MWISHO umewadia! Ule uchumba wa muda mrefu wa wasanii wawili wa muziki wa kizazi kipya, Isabela Mpanda an Kalama Bakari ‘Luteni’ umevunjika kwa kinachoelezwa kuwa ni kukosekana kwa uaminifu baina yao. Wasanii wawili wa muziki wa kizazi kipya, Isabela Mpanda 'Bella' na Kalama Bakari ‘Luteni’ wakiwa katika picha ya pamoja ndani ya Global TV Online hivi karibuni  kabla ya kumwagana. Chanzo makini...

 

11 years ago

GPL

ISABELA AWAANGUKIA WATANZANIA

Stori: Gladness Mallya MSAMAHA!  Baada ya hivi karibuni kuvua nguo na kuonesha sehemu nyeti hadharani, msanii wa muziki na filamu Bongo, Isabela Mpanda ameibuka na kuwaomba radhi Watanzania kwa kitendo hicho kichafu alichokifanya. Msanii wa muziki na filamu Bongo, Isabela Mpanda. Akichonga na gazeti hili, Isabela alisema ameumia sana baada ya kuona picha akiwa ameacha sehemu zake nyeti nje hivyo anawaomba Watanzania...

 

10 years ago

GPL

ISABELA ACHEKELEA ADHABU YA SHILOLE

Mwandishi Wetu BAADA ya msanii na muigizaji Zuwena Mohamed ‘Shilole’ kufungiwa na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kwa kitendo chake cha kucheza nusu utupu jukwaani, msanii mwenzake Isabela Mpanda amechekelea adhabu hiyo na kusema liwe fundisho kwa wengine. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1SN6ujM

 

10 years ago

GPL

KARAMA: ISABELA NI MSALABA WANGU

Stori: Imelda Mtema
MKONGWE wa Bongo Fleva na mwanachama wa kundi la Gangwe Mob, Luteni Karama ambaye ni mchumba wa aliyekuwa Miss Ruvuma miaka ya nyuma, Isabela Mpanda, amekiri kuwa bibie huyo ni msalaba wake, hivyo hata amkosee kiasi gani, hatamuacha. Aliyekuwa Miss Ruvuma miaka ya nyuma, Isabela Mpanda akipozi. “Mimi nimeshakubali kuwa Bela ni msalaba wangu na ndiyo maana hata kama ananikosea vipi au mimi namkosea,...

 

10 years ago

GPL

MADAHA, ISABELA WAFANYA UFUSKA!

Stori: Imelda Mtema HAMNAZO? Mastaa wa Bongo Fleva, Isabela Mpanda ‘Bella’ na Baby Madaha  wamenaswa wakifanya vitendo vichafu maeneo ya Tabata jijini Dar baada ya kupiga masanga ya kutosha mwilini. Mastaa wa Bongo Fleva, Isabela Mpanda ‘Bella’ na Baby Madaha wakijiachia. Kwa mujibu wa chanzo, Baby na Bella walifika maeneo hayo juzikati wakiwa wazima kabisa lakini baada ya kufakamia pombe kwa kasi...

 

10 years ago

GPL

ISABELA AMVAA MAMA WEMA

Stori: Gladness Mallya
MSANII wa Filamu na Muziki Bongo, Isabela Mpanda amemvaa mama wa msanii mwenzake, Wema Sepetu, Miriam Sepetu na kumtaka aache kuingilia mapenzi ya mwanaye kwani mapenzi hayaingiliwi. Msanii wa Filamu na Muziki Bongo, Isabela Mpanda. Akistorisha na gazeti hili, Isabela alisema siku zote unaopenda ni moyo siyo mwili kwa hiyo mama Wema kama anataka mwanaye aachane kabisa na Diamond basi amtoe moyo...

 

10 years ago

GPL

NDOA YA ISABELA KARAMA YABUMA

Story:Mayasa Mariwata
MSANII wa muziki Bongo, Isabela Mpanda amesema kuwa anasikitika kuona mwaka umeisha mipango yake ya kufunga pingu za maisha na mwandani wake wa siku nyingi Luten Karama imegonga mwamba na kutamani kuolewa ndoa ya kimyakimya. Msnii wa muziki Bongo, Isabela Mpanda akiwa na mpenzi wake Luteni Kalama. Akizungumza kwa masikitiko mwanadada huyo aliyewahi kutwaa taji la Miss Ruvuma alisema, maisha ya uchumba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani