Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DJ Crème De La Crème wa Kenya ajitokeza na kuomba msamaha baada ya mkanda wake wa ngono kuvuja

creme (1)

Baada ya kukumbwa na skendo kubwa ya kusambaa mtandaoni kwa mkanda wa ngono, DJ Crème De La Crème wa Kenya amevunja ukimya na kujitokeza kuzungumzia swala hilo pamoja na kuomba msamaha.

creme (1)

DJ huyo maarufu na aliyekuwa akiheshimika, ametumia akaunti yake ya Instagram kuomba msamaha kwa kile kilichotokea.

Crème ambaye ni baba wa watoto wawili ameomba msamaha watu mbalimbali, ikiwemo familia yake, msichana aliyehusika naye kwenye mkanda huo aitwaye Halima, mashabiki wake pamoja na marafiki...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Mkanda wa ngono wa DJ anayeheshimika zaidi Kenya, Crème De La Crème wavuja mtandaoni,

resizeDJ Crème De La Crème, DJ anayeshimika zaidi nchini Kenya amekutana na skendo kubwa kuwahi kutokea kwenye maisha yake baada ya mkanda wa ngono akiwa na mwanamke mwingine zaidi ya mke wake kusambaa mtandaoni. Pamoja na kuwa DJ anayeheshimika, Creme amekuwa mfano bora wa jinsi anavyoishi na mke wake pamoja na familia na hivyo mkanda […]

 

9 years ago

Bongo5

AY awakumbuka Ngwair na Langa kwenye ‘Sijakusahau ya Crème De La Crème

12256721_1652128261718442_1361362012_n

Ambwene Yessayah aka AY hajawasahau Albert Mangwair na Langa Kileo.

12256721_1652128261718442_1361362012_n

Kupitia wimbo wa DJ wa Kenya, Crème De La Crème ‘Sijakusahau’ hitmaker huyo wa Zigo amewakumbuka rappers hao waliotangulia mbele ya haki.

“Naiona sura ya Ngwair na Langa (Tazama anga), Nakumbuka tuliyopanga lakini Mungu alipanga pia, tuliongazana wengine wakadisappear, daima uzuri umenitanda na moyoni nawalilia,” anarap AY.

Ngwair alifariki May 28, 2013 na Langa June 13, 2013.

Pia AY amewakumbuka wazazi wake kwenye wimbo...

 

11 years ago

Bongo5

Iggy Azalea amshtaki ex wake anayetaka kusambaza mkanda wao wa ngono

Iggy Azalea amemfungulia mashtaka mpenzi wake wa zamani anayedai kuwa anataka kusambaza mkanda wao wa ngono. Rapper huyo anadai kuwa ex wake alikopi data nyingi kutoka kwenye laptop yake bila ruhusa. Iggy amefungua mashtaka hayo dhidi ya Hefe Wine kwa kumtuhumu kudownload kila kitu kutoka kwenye komputa yake binafsi mwaka 2009 wakati wakiishi pamoja huko […]

 

11 years ago

Michuzi

MWALIMU AJITOKEZA KUOMBA UBUNGE KALENGA KUPITIA CHADEMA

Katibu  wa  Chadema  wilaya ya  Iringa  vijijini Felix Nyondo akipokea fomu  kutoka kwa Mwalimu Vitus Lawa (kulia) fomu za kuwania kinyang'anyiro cha kuwa mgombea wa chadema jimbo la Kalenga Baadhi ya wadau waliomsindikiza Mwalimu Vitus Lawa kurejesha fomu za kuchaguliwa kuwania ubunge wa jimbo la Kalenga katika ofisi za chama hicho zilizoko kata ya Gangilonga. Mwalimu Lawa  akizungumza na wafuasi  wake Mwalimu Vitus Lawa akizungumza na waandishi (hawapo pichani)baada ya...

 

9 years ago

Mtanzania

Kanye West azuia mkanda wa ngono sokoni

kanye-west-vmas1NEW YORK, MAREKANI

MSANII wa hip hop nchini Marekani,

NEW YORK, MAREKANI

MSANII wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, ametumia kiasi cha dola milioni 130, kwa ajili ya kuzuia mkanda wa ngono wenye picha zinazofanana na mke wake usiingie sokoni.

Mtandao wa US, umeripoti kwamba, msanii huyo aliamua kufanya hivyo kwa kuwa ndani ya filamu hiyo kuna mrembo anafanana na mke wake, Kim Kardashian.

Kutokana na hali hiyo, Kanye akaona bora atumie fedha hizo ili kuweza kuizuia filamu hiyo isitoke kwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ufalme wamtaka Museveni kuomba msamaha

Ufalme wa kijadi wa Tooro nchini Uganda, umemtaka Rais wa Uganda Yoweri Museveni kumuomba msamaha mfalme wao kwa kumuita mtoto.

 

5 years ago

CCM Blog

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI, HAMAD MASAUNI AJITOKEZA KUOMBA RIDHAA YA KUWANIA URAIS ZANZIBAR

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchiu Eng. Mhe. Hamad Masauni akiwa na mkoba ukiwa na Fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar baada ya kukabidhiwa na Katibu wa Idara ya Oganizesheni ya CCM Zanzibar Ndg Galos Nyimbo, Hafla hiyo imefanyika katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar.  Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akiongozana na  mkewe Thania Abdulla(kulia) wakati akiwasili Afisi Kuu ya Chama cha Mapinduzi(CCM),kuchukua fomu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani