MCHUNGAJI KENYA ALIYEFUNANIWA NA MKE WA MUUMINI WAKE ALIVYOOMBA MSAMAHA
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo504 Nov
DJ Crème De La Crème wa Kenya ajitokeza na kuomba msamaha baada ya mkanda wake wa ngono kuvuja
![creme (1)](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/creme-1-300x194.jpg)
Baada ya kukumbwa na skendo kubwa ya kusambaa mtandaoni kwa mkanda wa ngono, DJ Crème De La Crème wa Kenya amevunja ukimya na kujitokeza kuzungumzia swala hilo pamoja na kuomba msamaha.
DJ huyo maarufu na aliyekuwa akiheshimika, ametumia akaunti yake ya Instagram kuomba msamaha kwa kile kilichotokea.
Crème ambaye ni baba wa watoto wawili ameomba msamaha watu mbalimbali, ikiwemo familia yake, msichana aliyehusika naye kwenye mkanda huo aitwaye Halima, mashabiki wake pamoja na marafiki...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N3a4E7n0BncM2zmRmAWHOSKImLG1b8cf1*8zm2qeMtIvkDBvgD7A7q*mpS9no4n7ziOXq4QShKexne6XxV4BHGuEePu16MaB/m.jpg)
MUUMINI WA NABII MWINGIRA ADAIWA KUTELEKEZA MKE, KISA KAKATWA MGUU
10 years ago
Habarileo30 Oct
SMS ya nabii yavunja ndoa ya muumini wake
UJUMBE mfupi wa simu ya mkononi (SMS) wa kimapenzi ambao ulitumwa kutoka simu inayomilikiwa na kiongozi wa kanisa la Ngurumo ya Upako, Nabii Geor David Kasambala kwenda kwa mke wa muumini wa kanisa hilo umesababisha ndoa kuvunjika. Mwanamke aliyetumiwa SMS na nabii huyo ni Pamela Godfrey, mke wa Wilson Lota, wote waumini wa kanisa linaloongozwa na Nabii Geor David.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhhA6XZToLpkkR48mQhJRf7*i05N0tjIvPxIS21ijpLKsHvfQtk24*Ns9LjI-iF5ODDZZkwVSyRSoJ67ofAOWK0IgmLbATgP/Back.jpg?width=650)
MCHUNGAJI ADAIWA KUTELEKEZA MKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qhmaNpdkdBug4RQmdW2ChZ4CylzofQ2tZM1*C9L9KH97QGMvorMiS9Y16iWXmiM5brZ1Suj2Gpn66Ia30pbq7vNPM1CLGd4S/12.jpg?width=650)
MCHUNGAJI, MKE WA MWANAJESHI LAIVU!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HbsRLQ*GNXZ4aShKMnvkMWURBjPySOO313EFl48Y8eGbuHZnj9YSMH-5u5ZfgUYXPDPyQ5F5HYk4Rxk47faj3uCbzJn3Sgsu/BACKAMANI.jpg)
MADAI MAZITO: MCHUNGAJI ATOROSHA MKE WA MTU!
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Al Shabaab:Msamaha wa siku 10 Kenya
9 years ago
Mtanzania19 Aug
P. Diddy amuomba msamaha kocha wa mtoto wake
LOS ANGELES, Marekani
NYOTA wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Sean Combs ‘Puff Daddy’, amemuomba msamaha kocha wa mtoto wake baada ya kugombana naye miezi miwili iliyopita.
Diddy aligombana na Sal Alosi baada ya kocha huyo kupishana maneno na mtoto wake wakiwa mazoezini, ambapo Diddy alichukua uamuzi wa kumpiga na kifaa kizito kocha huyo lakini baada ya kuomba radhi akaapa kutokwenda tena mazoezini kumwangalia mwanawe.
“Nilipishana maneno na kocha wa mwanangu, lakini kila kitu kipo sawa...
5 years ago
MichuziWAZIRI MPANGO ATANGULIZA MSAMAHA WAKATI AKIMIMINIA SIFA RAIS DKT.JOHN MAGUFULI KWA UTENDAJI KAZI WAKE
Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk.Philip Mpango ameomba msamaha ili kutoa ushuhuda ushuhuda wake kuhusu Rais Dk.John Magufuli ambapo amesema Baba huyu(Dk.Magufuli) ni kiongozi mwenye maono na uwezo mkubwa.
Aidha, ana kipaji cha hali ya juu cha kufanya yasiyowezekana na ni kiongozi ambaye anafahamu vema kuwa ili nchi ifanikiwe kuleta mabadiliko chanya ni lazima kuvunja kabisa...