Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: TFF isimame kwenye misingi iliyojengwa

>Kocha mpya wa Taifa Stars, Martinus Ignatinus ‘Mart’ Nooij raia wa Uholanzi amesema kazi yake kubwa atakayoanza nayo ni kuhakikisha Stars inafuzu kushiriki fainali za Mataifa ya Afrika za 2015 pamoja mashindano ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

MAONI : TFF isiingize siasa za uchaguzi kwenye soka

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa litamualika Waziri wa Ujenzi, Dk John Pombe Magufuli kuwa mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa michuano ya Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki inayoanza mwishoni mwa wiki.

 

10 years ago

Mwananchi

Waandaaji warudi kwenye misingi, wajitathimi

Kufuatia kuandikwa rasmi kwa sera ya Taifa ya Utamaduni na iliyokuwa Wizara ya Elimu na Utamaduni chini ya Waziri Prosesa Juma Kapuya mnamo mwaka 1997, kumekuwa na ongezeko kubwa la wadau wa Sanaa na burudani wakitaka kujihusisha na matukio au shughuli mbalimbali katika sekta hii.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Mkutano mkuu TFF ujadili maendeleo

>Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) lilitangaza wiki hii kuwa litakuwa na mkutano mkuu wa mwaka Machi 14 na 15 mkoani Morogoro badala ya Singida kama ilivyokuwa imepangwa awali katika kuhakikisha kuwa vyombo muhimu vya uamuzi vinafanya mikutano yake nje ya Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Hili la Singano, Simba na TFF liwe fundisho

Mzozo wa kimkataba ambao umekuwa ukiendelea baina ya klabu ya Simba na mchezaji wake, Ramadhan Singano ‘Messi’ kwa upande mmoja na sasa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) unaweza kuelezwa kuwa tukio ambalo linabeba sura halisi ya uendeshaji wa soka katika nchi yetu.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: TFF iachane na Ligi Kuu, ijikite kuendeleza soka

>Hivi karibuni Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) lilitangaza orodha ya viwango vya ubora kwa nchi wanachama wake duniani inayoonyesha Tanzania imeshuka kwa nafasi mbili kutoka 105 iliyoshika mwezi uliopita hadi nafasi ya 107.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Panga pangua ya ratiba Ligi Kuu ni aibu kwa TFF

>Tangu Ligi Kuu ya Tanzania Bara ianze Septemba mwaka jana, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)  limekuwa likiipangua ratiba yake kwa sababu mbalimbali.

 

9 years ago

Michuzi

BENKI YA POSTA YABORESHA ZAIDIN HUDUMA ZAKE, MTEJA ATATOA MAONI BILA KUANDIKA KWENYE KARATASI, NI "KUBOVYA TU" KWENYE MASHINEAKATHE

 Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, Sabasaba Moshingi(wapili kulia), akihudumia wateja kwenye tawi la benki hiyo Kijitonyama jijini Dar es Salaam, leo Ijumaa Oktoba 16, 2015, kwenye kilele cha maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja ya benki hiyo. (Picha na K-VIS MEDIA/Khalfan Said)
NA K-VIS MEDIA
KATIKA kuhakikisha inatoa huduma bora kwa wateja wake hapa nchini, Benki ya Posta Tanzania, imeweka mashine maalum ambayo wateja wa benki hiyo wanaofika kupatiwa huduma watatoa...

 

10 years ago

Mwananchi

Maoni ya wasanii ni muhimu kwenye Katiba

Viongozi na wasanii kutoka baadhi ya vyama na mashirikisho ya sanaa nchini hivi karibuni walitembelea Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma kuwasilisha kilio chao cha kutaka wasanii kutambuliwa kama kundi kubwa maalumu pamoja na milikibunifu.

 

11 years ago

GPL

JINA LA OKWI LARUDISHWA KWENYE KAMATI YA TFF

Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limemlalamikia mwanafamilia wa soka mmoja kwa Kamati ya Maadili kutokana na udanganyifu alioufanya katika suala la usajili wa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi. Tayari TFF imepata ufafanuzi kutoka Fifa kwamba Okwi anaweza kuendelea kuichezea Yanga, lakini TFF imeibuka tena na kudai Sabri Mtulla alilidanganya shirikisho hilo kuhusu usajili wa Mganda huyo. Akizungumza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani