MAONI: TFF isimame kwenye misingi iliyojengwa
>Kocha mpya wa Taifa Stars, Martinus Ignatinus ‘Mart’ Nooij raia wa Uholanzi amesema kazi yake kubwa atakayoanza nayo ni kuhakikisha Stars inafuzu kushiriki fainali za Mataifa ya Afrika za 2015 pamoja mashindano ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Jul
MAONI : TFF isiingize siasa za uchaguzi kwenye soka
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa litamualika Waziri wa Ujenzi, Dk John Pombe Magufuli kuwa mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa michuano ya Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki inayoanza mwishoni mwa wiki.
10 years ago
Mwananchi17 Jan
Waandaaji warudi kwenye misingi, wajitathimi
Kufuatia kuandikwa rasmi kwa sera ya Taifa ya Utamaduni na iliyokuwa Wizara ya Elimu na Utamaduni chini ya Waziri Prosesa Juma Kapuya mnamo mwaka 1997, kumekuwa na ongezeko kubwa la wadau wa Sanaa na burudani wakitaka kujihusisha na matukio au shughuli mbalimbali katika sekta hii.
10 years ago
Mwananchi01 Mar
MAONI: Mkutano mkuu TFF ujadili maendeleo
>Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) lilitangaza wiki hii kuwa litakuwa na mkutano mkuu wa mwaka Machi 14 na 15 mkoani Morogoro badala ya Singida kama ilivyokuwa imepangwa awali katika kuhakikisha kuwa vyombo muhimu vya uamuzi vinafanya mikutano yake nje ya Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi15 Jun
MAONI : Hili la Singano, Simba na TFF liwe fundisho
Mzozo wa kimkataba ambao umekuwa ukiendelea baina ya klabu ya Simba na mchezaji wake, Ramadhan Singano ‘Messi’ kwa upande mmoja na sasa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) unaweza kuelezwa kuwa tukio ambalo linabeba sura halisi ya uendeshaji wa soka katika nchi yetu.
10 years ago
Mwananchi23 Feb
MAONI: TFF iachane na Ligi Kuu, ijikite kuendeleza soka
>Hivi karibuni Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) lilitangaza orodha ya viwango vya ubora kwa nchi wanachama wake duniani inayoonyesha Tanzania imeshuka kwa nafasi mbili kutoka 105 iliyoshika mwezi uliopita hadi nafasi ya 107.
10 years ago
Mwananchi16 Feb
MAONI: Panga pangua ya ratiba Ligi Kuu ni aibu kwa TFF
>Tangu Ligi Kuu ya Tanzania Bara ianze Septemba mwaka jana, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)Â limekuwa likiipangua ratiba yake kwa sababu mbalimbali.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pAIFreREagc/ViCw69T9MYI/AAAAAAAAbSI/8FfKVjr2Km4/s72-c/0023.jpg)
BENKI YA POSTA YABORESHA ZAIDIN HUDUMA ZAKE, MTEJA ATATOA MAONI BILA KUANDIKA KWENYE KARATASI, NI "KUBOVYA TU" KWENYE MASHINEAKATHE
![](http://2.bp.blogspot.com/-pAIFreREagc/ViCw69T9MYI/AAAAAAAAbSI/8FfKVjr2Km4/s640/0023.jpg)
NA K-VIS MEDIA
KATIKA kuhakikisha inatoa huduma bora kwa wateja wake hapa nchini, Benki ya Posta Tanzania, imeweka mashine maalum ambayo wateja wa benki hiyo wanaofika kupatiwa huduma watatoa...
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Maoni ya wasanii ni muhimu kwenye Katiba
Viongozi na wasanii kutoka baadhi ya vyama na mashirikisho ya sanaa nchini hivi karibuni walitembelea Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma kuwasilisha kilio chao cha kutaka wasanii kutambuliwa kama kundi kubwa maalumu pamoja na milikibunifu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb1hYWCko96M7moL8LXAvlpMZ9IfClzBLfTtGNogltLVBF4jPOScaOxySR2LS4EgsKwmyn9YGzVlrjZdx9LSIw2o/jina.gif?width=650)
JINA LA OKWI LARUDISHWA KWENYE KAMATI YA TFF
Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limemlalamikia mwanafamilia wa soka mmoja kwa Kamati ya Maadili kutokana na udanganyifu alioufanya katika suala la usajili wa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi. Tayari TFF imepata ufafanuzi kutoka Fifa kwamba Okwi anaweza kuendelea kuichezea Yanga, lakini TFF imeibuka tena na kudai Sabri Mtulla alilidanganya shirikisho hilo kuhusu usajili wa Mganda huyo. Akizungumza...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania