Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI : Hili la Singano, Simba na TFF liwe fundisho

Mzozo wa kimkataba ambao umekuwa ukiendelea baina ya klabu ya Simba na mchezaji wake, Ramadhan Singano ‘Messi’ kwa upande mmoja na sasa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) unaweza kuelezwa kuwa tukio ambalo linabeba sura halisi ya uendeshaji wa soka katika nchi yetu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MKATABA WA SIMBA NA SINGANO WAVUNJWA NA TFF

Mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi'. LEO sakata la kiungo mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi' lilikuwa linasikilizwa kwenye ofisi za TFF ambapo pandehizo  mbili zilikutana chini ya TFF. Baada ya kikao kirefu muafaka uliofikiwa chini ya TFF  kuvunjwa kwa mikataba yote miwili ambayo inatofautiana. Kikao kimeamua mkataba alionao Messi uvunjwe na mkataba walionao Simba uvunjwe waingie makubaliano...

 

10 years ago

Vijimambo

NDOA YA SIMBA NA SINGANO YAPALAGANYISHWA NA TFF

Ramadhani Singano 'Messi'.SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), leo limeamua kuwa, mchezaji Ramadhani Yahya Singano 'Messi' ni huru na sasa anaweza kujiunga na timu yoyote.Taarifa kutoka kwenye kikao cha Kamati ya Sheria Maadili na Hadhi za Wachezaji ya TFF kilichofanyika leo, imesema kwamba Simba SC walishindwa kutekeleza baadhi ya vipengele vya Mkataba, hivyo wanapoteza haki za kummiliki mchezaji huyo.
Chini ya Mwenyekiti wake, Richard Sinamtwa, Kamati hiyo imejiridhisha Messi hakuwahi kupewa...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Mkataba wa Simba, Singano tuambiwe ukweli

Tanzania, siku zote imekuwa ni nchi inayoendeshwa kwa kuzingatia kanuni, sheria na taratibu zinazosimamia sekta mbalimbali, ikiwamo michezo ambako kwa siku za karibuni imeshuhudia mabadiliko makubwa.

 

10 years ago

Vijimambo

NDOA YA SINGANO 'MESSI' WA SIMBA YA FUNYWA RASMI NA TFF.


Mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi'.
LEO sakata la kiungo mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi' lilikuwa linasikilizwa kwenye ofisi za TFF ambapo pandehizo mbili zilikutana chini ya TFF.Baada ya kikao kirefu muafaka uliofikiwa chini ya TFF kuvunjwa kwa mikataba yote miwili ambayo inatofautiana.
Kikao kimeamua mkataba alionao Messi uvunjwe na mkataba walionao Simba uvunjwe waingie makubaliano mapya.
Upande wa Singano haujakubaliana na maamuzi hayo kwa sababu unamtaka...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Cosafa imeipa fundisho Taifa Stars

>Matokeo mabaya ambayo timu yetu ya soka ya Taifa, Taifa Stars imeyapata kule Afrika Kusini ilikoshiriki mashindano ya Kombe la Cosafa  na kutolewa mapema kwa hakika yanasikitisha, pia yanaumiza.

 

10 years ago

Mwananchi

MKATABA:TFF yajikanyaga kesi ya Singano

Huku ikionekana dhahiri kuwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limemlazimisha mshambuliaji Ramadhani Singano ‘Messi’ kubaki Simba, mchezaji huyo alibubujikwa machozi hadharani huku akisema analiacha jambo hilo mbele ya Mungu.

 

10 years ago

GPL

Mkataba wa Simba, Singano

Kiungo wa Simba, Ramadhani Singano ‘Messi’. Na Mwandishi Wetu
SAKATA kubwa linaloutikisa mpira wa Tanzania sasa ni ule mkataba kati ya kiungo Ramadhani Singano ‘Messi’ na klabu yake ya Simba.Messi anasema mkataba wake unaisha 2015, lakini Simba inasisitiza mkataba wao na Messi unaisha mwaka 2016, jambo ambalo linazua tafrani kubwa. Championi Jumatatu lina kopi ya mikataba yote miwili, ule wa Simba...

 

10 years ago

BBCSwahili

Simba kujadili mkataba wa Singano

Uongozi wa klabu ya Simba umeagizwa kuanza mazungumzo mapya na mchezaji Ramadhani Singano baada ya mvutano wa mkataba wake.

 

10 years ago

Mwananchi

Mzozo Simba SC , Singano kuinufaisha Azam

Dar es Salaam. ‘Vita ya panzi furaha ya kunguru’, ndivyo unavyoweza kufananisha msemo huo na malumbano yanayoendelea baina ya Ramadhani Singano ‘Messi’ na klabu yake, Simba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani