MAONI: Cosafa imeipa fundisho Taifa Stars
>Matokeo mabaya ambayo timu yetu ya soka ya Taifa, Taifa Stars imeyapata kule Afrika Kusini ilikoshiriki mashindano ya Kombe la Cosafa na kutolewa mapema kwa hakika yanasikitisha, pia yanaumiza.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 May
MAONI: Kila la kheri Stars michuano ya Cosafa
>Leo, kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kinaingia kwenye Uwanja wa Olympia Park, Rustenburg Afrika Kusini kupambana na Swaziland katika mashindano ya kuwania ubingwa wa Kombe la Cosafa ambayo yalifunguliwa jana.
10 years ago
BBCSwahili11 May
Taifa stars yajifua kwa Cosafa
Taifa Stars inaingia kambini Jumatatu wiki hii kwa ajili ya kuanza mazoezi ya kujiandaa na michuano ya Cosafa.
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Taifa Stars kushiriki Cosafa Cup.
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imethibitisha kushiriki michuano ya kombe la COSAFA nchini Afrika Kusini.
10 years ago
BBCSwahili14 May
Taifa Stars yaanza kujifua kwa COSAFA
Taifa Stars inaendelea na mazoezi mepesi mjini Rustenburg, Afrika Kusini tayari kwa michuano ya Kombe la COSAFA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDBzkGYYWT8XVVp*r-VsZqIH4yA7hlFbeUoQ6XGyvJsactJE8GjiyuaxH1zP3GtgKUtvsTIaw8CevxYm7zjbIYo6/B15ERMN0768.jpg?width=600)
TAIFA STARS YAANZA VIBAYA COSAFA, YAFUNGWA NA SWAZILAND BAO 1-0
Beki wa timu ya taifa, Taifa Stars, Shomari Kapombe (kulia) akichuana na mchezaji wa Swaziland kwenye mchezo wao wa jana uliopigwa kwenye Uwanja wa Royal Bafokeng Sports Palace katika michuano ya Cosafa inayoendelea huko Afrika Kusini. Stars ilifungwa bao 1-0. Straika wa Stars, John Bocco akiruka hewani kuwania mpira na mchezaji wa Swaziland.… ...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xpUSHP4S-GI/VV28UFEJLuI/AAAAAAAHY0E/URrSeKzokCQ/s72-c/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
TAIFA STARS BADO NGOMA NGUMU COSAFA, YAPOTEZA MCHEZO WA PILI KWA KUPIGWA 2-0 NA MADAGASCER
![](http://2.bp.blogspot.com/-xpUSHP4S-GI/VV28UFEJLuI/AAAAAAAHY0E/URrSeKzokCQ/s640/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
Kwa Taifa Stars kupoteza mchezo huo, moja kwa moja inakua imeaga michuano katika hatua ya makundi, kutokana na kubakisha mchezo mmoja tu wa kukamilisha ratiba dhidi ya Lesotho utakaochezwa kesho ijumaa katika uwanja wa Moruleng.
![](http://2.bp.blogspot.com/-OVKnRIPQFuc/VV28UPVrDEI/AAAAAAAHY0A/J0-HiZ28Lgw/s640/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
10 years ago
Mwananchi15 Jun
MAONI : Hili la Singano, Simba na TFF liwe fundisho
Mzozo wa kimkataba ambao umekuwa ukiendelea baina ya klabu ya Simba na mchezaji wake, Ramadhan Singano ‘Messi’ kwa upande mmoja na sasa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) unaweza kuelezwa kuwa tukio ambalo linabeba sura halisi ya uendeshaji wa soka katika nchi yetu.
10 years ago
TheCitizen18 May
Stars kick off Cosafa Cup campaign
Johannesburg. Taifa Stars launch their 2015 Cosafa Cup campaign with a Group B match against Swaziland’s Sihlandu tonight at Royal Bafokeng Sports Palace in Phokeng, South Africa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania