VODACOM YAMWAGA VIFAA VYA TIMU 14 ZA LIGI KUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-nz-dnK-_PQg/VBBYiVySAMI/AAAAAAAGij4/8uLA2CwkA08/s72-c/001.KITS.jpg)
Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania Salum Mwalim,akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa kukabidhi vifaa kwa timu zinazoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom. kushoto ni Meneja biashara wa TFF Peter Simon na kulia ni Afisa mtendaji mkuu wa bodi ya ligi Silas Mwakibinga.Timu 14 zimekabidhiwa vifaa vyenye thamani ya zaidi ya Sh 430 Milioni.
Kutoka kushoto: Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania Salum Mwalim, Afisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya ligi Silas Mwakibinga,Mwakilishi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo510 Sep
Picha: Vodacom yamwaga vifaa vya timu 14 za ligi kuu
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SDhgST2Am3UbFSyLZRnM7XXHv77FXNocWQ0ODilJ2byFASyxuQv6exxRVuhBF44puNh*dScp7XHit*Zv7FX9g7z4Tmy3mvQN/001.SPORT.jpg?width=650)
VODACOM YAMWAGA VIFAA VYENYE THAMANI YA MIL 4.9 KWA TIMU ZA LIGI KUU (VPL) 2015/2016
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jcpp4iUb3j4/Vebvr68y32I/AAAAAAAH1zo/dp9BKC_V3kQ/s72-c/002.SPORT.jpg)
VODACOM YAMWAGA VIFAA VYENYE THAMANI YA MILION 4.9 KWA TIMU ZA LIGI KUU(VPL)2015/2016
![](http://1.bp.blogspot.com/-jcpp4iUb3j4/Vebvr68y32I/AAAAAAAH1zo/dp9BKC_V3kQ/s640/002.SPORT.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zb8JEEhIMvE/Vebvr4wAMJI/AAAAAAAH1zk/SLiDhZMXHXY/s640/003.SPORT-AFRICAN%2BSPORT%2BTANGA.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWwkcbiaf7n95HdChjZ5-u7aZbPiIhzWY5*6DUIN1Eg-l3rKHU6MWaqqXKJbDu26rOr9azJyiYP0jjCx80291GBu/001.KITS.jpg?width=650)
VODACOM YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 14 ZA LIGI KUU KWA AJILI YA MSIMU WA 2014/2015
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s72-c/001.Ferrao.jpg)
WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s640/001.Ferrao.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3rPnvKAR8Ko/VfJghZutsEI/AAAAAAAH39A/NbQnv8YM4SA/s640/002.Ferrao.jpg)
Ferrao. NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...
9 years ago
MichuziLAPF YAMWAGA VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU YA MANISPAA YA KINONDONI
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Vodacom yamwaga vifaa Ligi Kuu BaraÂ
WADHAMINI wa Ligi Kuu Tanzania bara, Kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania, jana iligawa vifaa kwa timu 14 zinazoshiriki ligi hiyo itakayoanza Septemba 20, vyoye vikiwa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JWVmD*3ooUcet2swCQ652IOo6PJoMbX0oApFA*1YeqwrNk-*52xZ9eG1VUr2liIUnA91fHUqsLlFhmsl0EP0tvuCTsZxFgKM/001.Ferrao.jpg?width=650)
VODACOM YAZITAKIA KILA LA HERI TIMU ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU TANZANIA BARA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_e33glR1qkU/XtAFqJB-vkI/AAAAAAALr7M/jxNWtiyJ3ZIHRf764uQYFDXpVYEKKU21wCLcBGAsYHQ/s72-c/0719c237-f224-4357-9f9a-6850a8fffc15.jpg)
TIMU ZA LIGI KUU ZACHUKUA TAHADHARI DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA
Na Zainab Nyamka-Michuzi TV
TIMU za Ligi Kuu tayari zimesharejea viwanjani kwa ajili ya mazoezi ya pamoja kujiandaa na Ligi Kuu inayotarajiwa kuendelea mapema mwezi Juni mwaka huu baada ya serikali kuruhusu michezo iendelee.
Hata hivyo timu hizo tayari zimechukua tahadhari zinazostahili kupambana na virusi vya Corona kwa kuwapima afya wachezaji wao sambamba na kufuata ushauri wa wataalamu wa afya.
Kwa upande wa Timu ya Polisi Tanzania, Ofisa Habari wao Frank Lukwaro amesema wamechukua...