Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais wa shirikisho la tennis Urusi apigwa faini kwa kuwaita Serena & Venus ‘The Williams brothers’

Rais wa shirikisho la mchezo wa tennis nchini Urusi, Shamil Tarpischev amepigwa faini ya $25,000 kwa kuwaita Serena na Venus Williams “the Williams brothers” kwenye mahojiano ya TV. Tarpischev pia alipigwa marufuku ya mwaka mzima kutojihusisha na ziara ya wanawake hao. Mkurugenzi Mkuu wa chama cha tennis cha wanawake, Stacy Allaster alisema maneno hayo yanadhalilisha […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ni French Open ya maumivu kwa Serena, Venus Williams

KIVUMBI cha michuano ya French Open, kimeendelea kutimka ambako kwa upande wa wanaume, Tomas Berdych jana alitinga hatua ya robo fainali. Tomas alitinga hatua hiyo kwa ushindi wa 6-4 6-4...

 

10 years ago

TheCitizen

CHAMPIONSHIP: Lawn tennis championships: From Billie Jean King to Serena Williams

>On a date like today - Sept. 20 - a female tennis ‘professional,’ Billie Jean King (BJK), ‘beat’ Bobby Riggs (1918-95) in ‘The Battle of the Sexes’ at the Houston Astrodome in Texas in 1973!

 

9 years ago

BBCSwahili

Serena Williams kupumzika kwa mwaka

Mcheza tenesi namba moja kwa ubora duniani kwa upande wa wanawake Serena Williams atapumzika kucheza mchezo huo kwa mwaka mmoja

 

9 years ago

BBCSwahili

Venus Williams amshinda Konta

Muingereza Johanna Konta amefungwa na nyota namba moja wa zamani wa mchezo wa tenesi Mmarekani Venus Williams

 

9 years ago

Bongo5

Serena Williams atangaza kupumzika kucheza tenesi kwa mwaka mzima

Mcheza tenesi namba moja kwa ubora duniani kwa upande wa wanawake, Serena Williams atapumzika kucheza mchezo huo kwa mwaka mzima kutoka na kuwa na majeraha. Mshindi huyo wa Grand Slam 21 alitolewa kwenye michuano ya wazi ya Wuhan ,Williams mwenye miaka 34 amesema” nimecheza nikiwa na maumivu kwa muda wa mwaka mzima,” Nyota huyo wa […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Serena na Venus kuchuana-Wimbledon.

Serena Williams na nduguye Venus wanatarajiwa kuvaana leo katika mchezo wa mzunguko wa nne wa mashindano ya Wimbledon.

 

9 years ago

TheCitizen

Serena to meet Venus at US Open

Serena, who holds all four major tennis titles, is trying to complete the first calendar Grand Slam since Steffi Graf in 1988

 

10 years ago

BBCSwahili

Apigwa faini kwa kumdhalilisha refa

Afisa asimesimamishwa kazi kwa mda wa miezi minne baada ya kumdhalilisha refa wa kike nchini Uingereza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani