Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchekeshaji Joan Rivers aaga dunia

Mchekeshaji maarufu nchini Marekani Joan Rivers amefariki dunia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KOMEDIANI JOAN RIVERS AFARIKI DUNIA

Marehemu Joan Rivers enzi za uhai wake. KOMEDIANI maarufu nchini Marekani, Joan Rivers amefariki dunia jana akiwa na miaka 81 baada ya kusumbuliwa na maradhi ya moyo. Binti wa marehemu Joan aitwaye Melissa Rivers. Joan amefariki akiwa katika Hospitali ya Manhattan nchini Marekani. Taarifa iliyotolewa na binti wa marehemu aitwaye Melissa Rivers ilisema mama yake alifariki dunia kwa amani akiwa amezungukwa na familia… ...

 

11 years ago

Dewji Blog

Joan Rivers, Comedy Pioneer and TV Host, Dies at 81

0123bd00-3468-11e4-a2aa-8300c6c2aa04_joan-rivers-obit

Joan Rivers — who made the world laugh for over 50 years with her jokes, put-downs and one-liners — has died in NYC … a week after her heart suddenly stopped beating during vocal cord surgery.

She was 81.

Joan’s daughter Melissa Rivers took her mom off life support so she could pass comfortably in a private room.

The death has been reported to the NYC Medical Examiner’s Office — and officials tell TMZ the office will open an investigation to determine cause of death.

Melissa just issued a...

 

10 years ago

Michuzi

news alert: Mchekeshaji wa Kenya Mzee Ojwanga afariki dunia


Mwigizaji wa filamu za vichekesho wa Kenya Benson Wanjau maarufu kama Mzee Ojwang (pichani) amefariki dunia Jumapili jioni katika hospitali ya Taifa ya  Kenyatta National alikokuwa amelazwa kwa matibabu. Taarifa kutoka NAirobi zinasema alikuwa anaumwa "Nimonia" (Pneumonia). Marehemu Mzee Ojwang alijipatia umaarufu mkubwa Afrika Mashariki kwa vituko vyake kwenye filamu za Vitimbi, Vioja Mahakami, Vituko na  Kinyonga. Alikuwa haonekani kwa muda mrefu kwenye televisheni za Kenya na mashabiki...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mke wa Rio Ferdinand aaga dunia

Mke wa aliyekuwa nahodha wa kikosi cha Manchester United pamoja na timu ya Uingereza Rio Ferdinand amefariki kutokana na saratani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanamuziki Percy Sledge aaga dunia

Mwanamuziki chapa 'Soul' aliyevuma kote duniani kutokana na utunzi wake ''When a Man Loves a Woman'',Percy Sledge ameaga dunia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Karegeya aaga dunia mjini Johannesburg

Polisi nchini Afrika Kusini wamesema aliyekuwa mkuu wa idara ya ujasusi wa Rwanda Patrick Karegeya, amepatikana ameaga dunia

 

10 years ago

BBCSwahili

Bingwa wa muziki wa Blues aaga dunia

B.B. King - ambaye anatambuliwa kuwa bingwa wa muziki aina ya Blues ulimwenguni amefariki akiwa na miaka 89.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mama Mpalestina aliyechomwa aaga dunia

Mama Mpalestina aliyechomwa moto na walowezi wa kiyahudi ameaga dunia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Askofu aliyekabiliwa na kesi aaga dunia

Aliyekuwa Askofu wa kanisa la Katoliki ambaye alitarajiwa kufikishwa mahakamani kwa madai ya dhuluma za ngono amefariki

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani