Lowassa: Sijakata tamaa
*Asema ameshindwa pambano si vita
*Ajipanga upya agoma kueleza mikakati yake
*Ukawa wataka ZEC imtangaze Maalim Seif Z’bar
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
WAZIRI mkuu wa zamani na aliyekuwa mgombea urais kupitia Chadema, Edward Lowassa, amesema ataendelea kupambana katika siasa na kwamba yawezekana ameshindwa katika pambano lakini si vita.
Lowassa aliyasema hayo jana katika mkutano na waandishi wa habari, baada ya kuulizwa nini hatima yake ya kisiasa baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e*Q7chwcF2YQMXKHNpj8hwcUAKCuk5xQdU46OnPxlDAPikI-aMsecORRLtA5nuLuK6yxCEl9mOi3Ya-ZnRe8yOzh6f88FCIy/ghj.jpg)
MANAIKI: SIJAKATA TAMAA KUMUOA WALPER
10 years ago
Bongo Movies24 Feb
Manaiki: Sijakata Tamaa Kumuoa Wolper
Mwigizaji wa filamu mwenye mikasa ya aina yake, Manaiki Sanga ‘The Don’ amesema kuwa hajakata tamaa kumuoa msanii mwenzake, Jacqueline Wolper na kwamba bado anaendelea kuwashawishi wazazi wake.
Akiongea na Gazeti la Uwazi, Manaiki aliweka wazi kuwa bado anawashawishi wazazi wake wakubaliane na uchaguzi wake kwakuwa ndiye mtu anayempenda.
“Ni upande mmoja tu wa ndugu zangu ambao wapo kijijini Mbeya na hawamfahamu Walper ila sijakata tamaa na naamini watanielewa tu kwa maaana ndoto yangu...
9 years ago
Bongo528 Sep
Inspekta Haroun: Muziki unahitaji mapambano, sijakata tamaa
10 years ago
Vijimambo12 Aug
Lowassa ni mbinafsi “Watanzania mnatakiwa kufahamu kuwa mnapokutana na Lowassa, Ninyi sio kitu bali kitu ni Lowassa,”
![](http://i1.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/polepole.jpg?resize=702%2C702)
HAMFREY POLEPOLE AMGALAGAZA VIBAYA MCHUNGAJI MSIGWA KWENYE MDAHARO
![](http://i2.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/Msigwa.jpg?resize=595%2C300)
11 years ago
Mwananchi14 Jul
Kocha akata tamaa Madola
10 years ago
Raia Mwema01 Jul
Wasanii wetu na tamaa ya ubunge
NILIWAHI kuandika makala nyingi kuhusu sanaa na wasanii wetu hapa nchini.
Egbert Mtui
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Je, unaweza kuishinda tabia ya tamaa?
9 years ago
Mtanzania29 Sep
Magufuli: Watanzania wamekata tamaa
*Asema haiwezekani wachache wale kuku kwa mrija
Na Bakari Kimwanga, Iringa
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema amejipanga kulipa deni kwa Watanzania kwa kuleta mabadiliko ya kweli.
Amesema pamoja na hali hiyo, anatambua namna wananchi walivyokata tamaa ikiwamo kushindwa kubadili maisha yao, kutokana na ubinafsi wa watu wachache ambao wameamua kujimilikisha rasilimali za nchi.
Dk. Magufuli, alitoa kauli hiyo kwa nyakati tofauti jana,...
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Bunge la Katiba linakatisha tamaa
TAKRIBANI wiki moja imepita tangu kuanza kwa vikao vya Bunge la Katiba mjini Dodoma, lakini hakuna kilichofanyika hadi sasa. Tangu Bunge hilo lilipoanza, tulianza kusikia mzozo wa posho, mara wabunge...