Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWIGULU NCHEMBA AWEKA MAMBO SAWA "HAKUNA MGOMBEA MWENYE UZOEFU" AGENDA NDIO MPANGO MZIMA


Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Sitta aweka mambo sawa

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amefafanua kuwa hatua ya kupokea makundi mbalimbali kwenye Bunge Maalumu la Katiba haina lengo la kuja na hoja mpya na kuziwasilisha bungeni.

 

11 years ago

Michuzi

MWIGULU NCHEMBA AMNADI MGOMBEA WA CCM JIMBO LA KALENGA,MKOANI IRINGA LEO

Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Bara Mwigulu Nchemaba akimnadi mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mdogo jimbo la Kalenga Gedfrey Mgimwa, katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CCM uliofanyika leo, kwenye Uwanja wa Chuo Cha Ifunda, Iringa Vijijini. (Picha na Bashir Nkoromo).

 

10 years ago

Michuzi

KUPIMA VVU NDIO MPANGO MZIMA-LINDA GOLI LAKO29th NOV, 2014 is the HIV Testing Day for Dar es Salaam


Amref Health Africa in partnership with Ministry of Health, TACAIDS,UNAIDS  in Tanzania and Salama Foundation will offer free HIV testing in multiple selected sites in Dar es salaam City on 29thNovember 2014. This is part of the national HIV Testing Campaign to mark the World AIDs Day in 2014.


In Tanzania, sixty-two percent (62) of women and 47 percent of men have ever been tested and received the results of their HIV test according to the THMIS 2011/12. The results lead to a gap of 53% for...

 

11 years ago

Michuzi

MWIGULU NCHEMBA ,MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KALENGA WASHIRIKI MAZISHI YA WANANCHI WATATU KIJIJI CHA KIDAMALI MKOANI IRINGA

Naibu Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Mwigulu Nchemba na akishiriki mazishi ya wananchi watatu waliofarika kwa ajali ya gari,mazishi hayo yamefanyika jioni ya leo katika kijiji cha Kidamali kata ya Nzihi mkoani humo.  Mgombea Ubunge jimbo la Kalenga,mkoani Iringa,Ndugu Godfrey Mgimwa akishiriki mazishi ya wananchi watatu waliofarika kwa ajali ya gari,mazishi hayo yamefanyika jioni ya leo katika kijiji cha Kidamali kata ya Nzihi mkoani humo. Baadhi ya Wananchi wa kijiji cha Kidamali wakishiriki...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC ELIBARIKI KINGU: Jogoo mmoja sawa na matibabu mwaka mzima

HAYATI Mwalimu Julius Nyerere alitangaza maadui watatu wa maendeleo kuwa ni umaskini, maradhi na ujinga. Kutokana na tangazo hilo kwa wakati huo, kila taasisi kwa nafasi yake ilibeba jukumu la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani