Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Sheria mpya ya vipimo iharakishwe’

Patricia Kimelemeta
MAMLAKA ya Wakala wa Vipimo (WMA)wameiomba serikali kuharakisha sheria ya vipimo itakayotoa adhabu kali kwa wafanyabiashara watakaobainika wanatumia vipimo batili kuwadhulumu wananchi.
Kauli hiyo imetolewa siku chache baada ya maofisa wa WMA kufanya ukaguzi wa kushtukiza katika baadhi ya vituo vya mafuta na kubaini idadi kubwa ya vituo hivyo vinaharibu pampu za mafuta na kuwadhulumu wananchi ili kupata faida kubwa.
Katika ukaguzi huo, Mkoa wa Vipimo wa Kinondoni ulibaini...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Waomba Katiba mpya iharakishwe kugawiwa

Mwananchi akisoma katibaSERIKALI imeombwa kuharakisha utekelezaji wa ahadi yake ya kusambaza nakala za Katiba Inayopendekezwa ili kuwezesha wananchi kuisoma kikamilifu na hatimaye waweze kufanya uamuzi sahihi wakati wa zoezi la upigaji wa kura ya maoni linalotarajia kufanyika Aprili 30, mwaka huu.

 

5 years ago

Michuzi

WAKALA WA VIPIMO TUPO SEHEMU ZOTE, KUHAKIKISHA VIPIMO VINATUMIKA KWA USAHIHI-STELLA

 Na Bakari Madjeshi, Michuzi TVKATIKA kuadhimisha Siku ya Vipimo Duniani, Mkurugenzi wa Wakala wa Vipimo nchini (WMA), Stella Kahwa amesema kuwa Wakala huo upo sehemu zote hapa nchini kuhakikisha Vipimo katika Malighafi na bidhaa mbalimbali vinatumika na kuzingatiwa kwa usahihi.
Stella ameyasema hayo leo, May 20, 2020 jijini Dar es Salaam katika Maadhimisho hayo yenye Kaulimbiu ya Vipimo katika Biashara ya Kimataifa. “Tanzania ni nchi ambayo inafanya Biashara kubwa nchi mbalimbali, vipimo...

 

11 years ago

Habarileo

Wakala wa Vipimo watahadharisha vipimo bandia

WAKALA wa Vipimo Tanzania (WMA) umewataka watumiaji wa vipimo batili kuacha kutumia vipimo hivyo kwani vinadimimiza uchumi wa Watanzania na taifa.

 

10 years ago

Habarileo

Sheria mpya Takukuru yasubiri Katiba mpya

 George MkuchikaUAMUZI wa kutunga sheria kwa ajili ya kuimarisha Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru) kwa ajili ya kuipa meno, unasubiri katiba mpya.

 

9 years ago

Habarileo

Shein ataka Zanzibar iharakishwe kuwa jiji

RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, amesema hatua mbalimbali zinazochukuliwa na serikali kuimarisha huduma katika Manispaa ya Mji wa Zanzibar iwe ni changamoto kwa mamlaka zinazoshughulikia Serikali za Mitaa kuuandaa mji huo kuwa jiji kama majiji mengine duniani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sheria mpya ya ujasusi Marekani ;Senet

Bunge la senet la Marekani litapisha mswada kudhibiti mbinu za ujasusi za CIA.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Walimu walalamikia sheria mpya ya mafao

CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam, kimelalamikia sheria mpya ya mafao ya wastaafu kuwa ni ya kinyonyaji, haistahili kuanza kutumika bila kufanyiwa marekebisho kwa kushirikiana...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ushoga:Tetesi za sheria mpya Uganda

Suala la wapenzi wa jinsia moja na sheria nchini Uganda baado linazua mijadala nchini Uganda kukiwa na tetesi kuwa sheria kali zaidi inaundwa

 

9 years ago

Michuzi

SHERIA MPYA YA MTANDAO MWISHO CHUMBE..?

Logo ya Zanzibar Diaspora Association (ZADIA)Na Mwandishi wetu swahilivilla Blog

Wanadiaspora wameelezea wasiwasi wao kuwa sheria mpya ya Makosa Ya Mtandao iliyoanza kufanya kazi tarehe mosi mwezi huu nchini Tanzania, huenda ikaishia kisiwa cha Chumbe kilichopo katikati ya Dar es salaam na Zanzibar,  imefahamika.

Hayo yamekuja kwenye kongamano maalum lililoandaliwa na Jumuiya Ya Wazanzibari Waishio nchini Marekani (ZADIA) kujadili Sheria Mpya ya Makosa Ya Mtandao na Athari zake Kisiasa.

Wageni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani