Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sheria mpya ya ujasusi Marekani ;Senet

Bunge la senet la Marekani litapisha mswada kudhibiti mbinu za ujasusi za CIA.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Shirika la Ujasusi Marekani lakosolewa

Ripoti ya Seneti, Marekani imekosoa vikali zinazotumiwa na CIA ,kuwahoji washukiwa wa uhalifu, kwamba ni za kikatili na zisizofaa.

 

10 years ago

Vijimambo

Maelezo ya Mwanasheria wa Uhamiaji kuhusu sheria mpya za uhamiaji nchini Marekani

Mwanasheria wa uhamiaji Fatmata Barrie akizungumza na wanaDMV kwenye mkesha wa mwaka mpyaKatika mkesha wa mwaka mpya (2014-2015), Jumuiya ya waTanzania waishio Washington DC, Maryland na Virginia , kulikuwa na matukio mbalimbali.
Moja wapo lilikuwa ni maelezo ya mwanasheria wa uhamiaji Fatmata Barrie kuhusu maamuzi mapya ya serikali ya Marekani kwenye sheria za uhamiaji.
Karibu umsikilize

 

10 years ago

Habarileo

Sheria mpya Takukuru yasubiri Katiba mpya

 George MkuchikaUAMUZI wa kutunga sheria kwa ajili ya kuimarisha Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru) kwa ajili ya kuipa meno, unasubiri katiba mpya.

 

10 years ago

BBCSwahili

China yapuuza dai la ujasusi wa kiuchumi

Uchina imeelezea kusikitishwa na mashtaka dhidi ya raia wake sita na serikali ya Marekani kwa madai ya ujasusi wa kiuchumi

 

5 years ago

Ykileo

SHUTMA ZA UJASUSI MTANDANO DHIDI YA UCHINA



KWA UFUPI: Australia, Marekani na Uingereza zimeitupia lawana nchi ya Uchina kuhusika na ujasusi mtandao katika mataifa yao na mataifa Rafiki – Shutma ambazo zime eleza uchina kuhusika na wizi wa taarifa za siri za kibiashara za serikali na makampuni ya Teknologia.

---------------------------

Niliwahi kueleza mara kadhaa mwelekeo mpya na hatari wa Uhalifu mtandao ambapo nilitahadharisha kuhusiana na vita mtandao (Cyber Warfare) pamoja na Ujasusi Mtandao (Cyber Espionage) ambavyo kwa sasa...

 

11 years ago

Habarileo

Mawakili kusomea sheria za gesi, mafuta Marekani

CHAMA cha Wanasheria Tanganyika (TLS) wakishirikiana na The Colom Foundation INC na Nashera Hotel wanakusudia kuwapeleka mawakili 20 wa Tanzania katika Chuo Kikuu cha Mississippi nchini Marekani kujifunza zaidi juu ya elimu ya nadharia na vitendo katika sheria, hususan ya gesi na mafuta.

 

11 years ago

Bongo5

Picha/Audio: Utengenezaji wa video mpya ‘Mr. Oreo’ ya Iyanya, Marekani na sikiliza wimbo wake mpya ‘Story story’

Iyanya ni msanii wa Nigeria ambaye mwaka huu ameshirikishwa na star wa Bongo, Diamond Platnumz katika wimbo uitwao ‘Bum Bum’ ambao video yake imetoka hivi karibuni. Nyota huyo aka Mr. Kukere ambaye mwaka jana pia alikuja Tanzania na kutumbuiza katika tamasha la Fiesta Dar es salaam, ameachia single mpya iitwayo ‘Story story’ Feat. Oritsefemi. Hivi […]

 

10 years ago

Ykileo

MCAFEE YASEMA VITA NA UJASUSI MTANDAO UTAONGEZEKA ZAIDI MWAKA 2015

Kumekua na wimbi kubwa la uhalifu mtandao unaofanywa na mhalifu kwa lengo la kujipatia fedha, taarifa na mambo mengine katika maeneo mbali mbali duniani. Katika mfululizo wa vipindi mbali mbali vinavyo weza kusikika "HAPA" nimeweza kueleza hali halisi huku kesho ya uhalifu mtandao kama ilivyo tabiriwa kupata kuangaziwa macho kwa karibu.


Kwa sasa kumeendelea kukua kwa uhalifu unao ihusisha nchi moja dhidi ya nyingine au kampuni moja dhidi ya nyingine yenye malengo ya kupata taarifa za ndani na...

 

11 years ago

GPL

MARK CHILDRESS BALOZI MPYA WA MAREKANI NCHINI TANZANIA, ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI‏

Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzania Mhe. Mark Childress akikaribishwa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani na Afisa Ubalozi Suleiman Saleh siku ya Alhamisi April 24, 2014 alipotembelea Ubalozi huo na kujitambulisha kwa Mhe. Balozi Liberata Mulamula (hayupo pichani) Balozi Liberata Mulamula akimtambulisha Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzania Mhe. Mark Childress kwa Maafisa na wafanyakazi wa Ubalozi… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani