Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHUTMA ZA UJASUSI MTANDANO DHIDI YA UCHINA



KWA UFUPI: Australia, Marekani na Uingereza zimeitupia lawana nchi ya Uchina kuhusika na ujasusi mtandao katika mataifa yao na mataifa Rafiki – Shutma ambazo zime eleza uchina kuhusika na wizi wa taarifa za siri za kibiashara za serikali na makampuni ya Teknologia.

---------------------------

Niliwahi kueleza mara kadhaa mwelekeo mpya na hatari wa Uhalifu mtandao ambapo nilitahadharisha kuhusiana na vita mtandao (Cyber Warfare) pamoja na Ujasusi Mtandao (Cyber Espionage) ambavyo kwa sasa...





Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Mtandano wa Facebook wapambana na Mabadiliko ya tabianchi Duniani

DSC_4532

Mwandishi wa habari kutoka, Kigali nchini Rwanda, Michel Nkurunziza ambaye yupo katika mkutano mkuu wa 21 wa Dunia wa Mabadiliko ya tabianchi (COP 21) unaenddelea katika jiji la Paris, Ufaransa akiwa katika banda maalum la mtandao wa facebook mapema leo Desemba 11.2015. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[Paris] Mtandao wa kijamii wa Facebook wenye wanachama hai “Active” zaidi ya Bilioni 1.55 Duniani kote, umejitolea kupambana na Mabadiliko ya tabianchi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Shirika la Ujasusi Marekani lakosolewa

Ripoti ya Seneti, Marekani imekosoa vikali zinazotumiwa na CIA ,kuwahoji washukiwa wa uhalifu, kwamba ni za kikatili na zisizofaa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sheria mpya ya ujasusi Marekani ;Senet

Bunge la senet la Marekani litapisha mswada kudhibiti mbinu za ujasusi za CIA.

 

10 years ago

BBCSwahili

China yapuuza dai la ujasusi wa kiuchumi

Uchina imeelezea kusikitishwa na mashtaka dhidi ya raia wake sita na serikali ya Marekani kwa madai ya ujasusi wa kiuchumi

 

10 years ago

Ykileo

MCAFEE YASEMA VITA NA UJASUSI MTANDAO UTAONGEZEKA ZAIDI MWAKA 2015

Kumekua na wimbi kubwa la uhalifu mtandao unaofanywa na mhalifu kwa lengo la kujipatia fedha, taarifa na mambo mengine katika maeneo mbali mbali duniani. Katika mfululizo wa vipindi mbali mbali vinavyo weza kusikika "HAPA" nimeweza kueleza hali halisi huku kesho ya uhalifu mtandao kama ilivyo tabiriwa kupata kuangaziwa macho kwa karibu.


Kwa sasa kumeendelea kukua kwa uhalifu unao ihusisha nchi moja dhidi ya nyingine au kampuni moja dhidi ya nyingine yenye malengo ya kupata taarifa za ndani na...

 

10 years ago

Mwananchi

Vita dhidi ya ebola ni mapambano dhidi ya adui asiyeonekana

Tangu kuzuka kwa ugonjwa wa ebola nchini Guinea mwezi Machi mwaka huu, watu 2,500 wamefariki dunia kutokana na virusi vyake, zaidi ya nusu ni raia wa Liberia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia 77 wa Uchina washtakiwa Kenya

Polisi nchini Kenya wamewafikisha mahakamani raia 77 wa Uchina kwa kushukiwa kushiriki udukuzi wa mawasiliano na ulanguzi wafedha.

 

11 years ago

BBCSwahili

Biashara ya Taiwan na Uchina yapingwa

Makumi ya maelfu ya raia wa Taiwan wamefanya maandamano katika mji mkuu wa Taipei ili kupinga makubaliano ya kibiashara na Uchina.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchina kumaliza ufukara 2020

Shirika la habari la taifa la Uchina, linasema kuwa viongozi wanamaliza mkutano wa siku mbili kuhusu namna ya kuondosha umaskini, ifikiapo mwaka wa 2020.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani