Uchina kumaliza ufukara 2020
Shirika la habari la taifa la Uchina, linasema kuwa viongozi wanamaliza mkutano wa siku mbili kuhusu namna ya kuondosha umaskini, ifikiapo mwaka wa 2020.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*9fn6zx1i0IrWx9dx0Ek3n6JFThbovGqp34pEVev*w7A7YYf6zN1C-f*g2UXholQkPWV-fcrl-EnwjFLXFwhmcOI43onGvsL/SEMINATANDALE.jpg?width=650)
KUTOKA UFUKARA MPAKA UBILIONEA
BAADA ya kukulia katika maisha ya kimasikini kwa kipindi kirefu, Mwalimu Bora wa Ujasiriamali nchini Tanzania, Eric James Shigongo anatarajia kuanza semina ya ujasiriamali iitwayo KUTOKA UFUKARA MPAKA UBILIONEA, itakayofanyika Tandale jijini Dar es Salaam. Eric James Shigongo. Lengo kubwa la kufanya semina hiyo ni kumkomboa kijana masikini aishiye Tandale ahame kwenda sehemu ya watu wanajiona kuwa matajiri, Masaki au Oysterbay...
10 years ago
BBCSwahili24 Oct
Maziwa yawatoa ufukara wafugaji Senegal
Ufugaji wa ngombe wa maziwa nchini Senegal umechangia ustawi wa maisha ya raiya wengi wa mashambani.
9 years ago
BBCSwahili26 Dec
Mwanahabari wa Ufaransa ‘afukuzwa’ Uchina
Mwanahabari anayetoka Ufaransa amezuiwa kuendelea kufanya kazi nchini Uchina wiki chache baada yake kuandika makala akikosoa sera za taifa hilo.
9 years ago
BBCSwahili31 Dec
Uchina kuunda manowari ya pili
Uchina imesema inaunda manowari ya pili yenye uwezo wa kubeba ndege, ikitumia teknolojia kutoka nchini humo.
9 years ago
BBCSwahili27 Aug
Mwanaharakati afikisha mahakamani Uchina
Kiongozi wa maandamano ya mwaka jana ya kuunga mkono demokrasia nchini Hong Kong ameshtakiwa kwa makosa ya kukusanyika kiharamu.
11 years ago
BBCSwahili18 May
Raia wa Uchina wajeruhiwa Vietnam
Shirika rasmi la habari nchini Uchina Xhinua limesema kuwa serikali imewaondoa zaidi ya raia wake 3000 nchini Vietnam.
11 years ago
BBCSwahili22 May
Shambulio la sokoni Uchina lawaua 31
Watu ambao hawajafahamika wameshambulia soko kalika mji wa Urumqi na kuwauwa watu 31 kwa mujibu wa vyomba vya habari vya Uchina
11 years ago
BBCSwahili27 May
Uchina na Vietnam wazozania nini?
Vietnam wasema meli ya Uchina imelizamisha maksudi boti la wavuvi wa Vietnam katika eneo tata kusini mwa bahari ya China.
9 years ago
BBCSwahili27 Aug
Maafisa wa Ruihai wakamatwa Uchina
Wamiliki na wakurugenzi wa kampuni ya Ruihai nchini Uchina wakamatwa na polisi kuhusiana na milipuko Tianjin
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania