Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUTOKA UFUKARA MPAKA UBILIONEA

BAADA ya kukulia katika maisha ya kimasikini kwa kipindi kirefu, Mwalimu Bora wa Ujasiriamali nchini Tanzania, Eric James Shigongo anatarajia kuanza semina ya ujasiriamali iitwayo KUTOKA UFUKARA MPAKA UBILIONEA, itakayofanyika Tandale jijini Dar es Salaam. Eric James Shigongo. Lengo kubwa la kufanya semina hiyo ni kumkomboa kijana masikini aishiye Tandale ahame kwenda sehemu ya watu wanajiona kuwa matajiri, Masaki au Oysterbay...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Kutoka maisha ya mtaani mpaka ubunifu wa bidhaa za pembe za ng'ombe

Kijana aliyekulia mitaani anavyotengeneza sahani, vijiko ,vikombe na aina mbalimbali za mapambo vipuli na bidhaa nyingine.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchina kumaliza ufukara 2020

Shirika la habari la taifa la Uchina, linasema kuwa viongozi wanamaliza mkutano wa siku mbili kuhusu namna ya kuondosha umaskini, ifikiapo mwaka wa 2020.

 

11 years ago

Dewji Blog

Safari ya Kinana kutoka Nyamisati mpaka Mafia kwa boti ya kizamani

16

Ilikiwa ni safari ngumu lakini yenye mafunzo mengi nikiwa nimepanda kwenye boti ya Doria wakati wa msafara wa Katibu mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na msafara wake tukitokea Nyamisati kuelekea Mafia ambapo katibu Mkuu huyo yupo katika ziara ya kikazi ya mikoa ya Pwani, Tanga na Iringa akikagua miradi ya mendeleo inayotekelezwa na serikali kupitia ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza wananchi kushiriki katika shughuli za maendeleo, Nilipangiwa kupanda boti hii ya mwendo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Maziwa yawatoa ufukara wafugaji Senegal

Ufugaji wa ngombe wa maziwa nchini Senegal umechangia ustawi wa maisha ya raiya wengi wa mashambani.

 

11 years ago

GPL

SAFARI YA KINANA KUTOKA NYAMISATI MPAKA MAFIA KWA BOTI YA KIZAMANI‏

Ilikiwa ni safari ngumu lakini yenye mafunzo mengi nikiwa nimepanda kwenye boti ya Doria wakati wa msafara wa Katibu mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na msafara wake tukitokea Nyamisati kuelekea Mafia ambapo katibu Mkuu huyo yupo katika ziara ya kikazi ya mikoa ya Pwani, Tanga na Iringa akikagua miradi ya mendeleo inayotekelezwa na serikali kupitia ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza wananchi kushiriki katika...

 

5 years ago

BBCSwahili

Lazarus Chakwera: Kutoka kuongoza makanisa ya Walokole mpaka kushinda Urais wa Malawi

Chakwera anakuwa kiongozi wa kwanza wa upinzania Afrika kushinda uchaguzi baada ya kupinga matokeo ya awali ya uchaguzi mahakamani.

 

10 years ago

Michuzi

SAFARI YA KUJITAMBULISHA YA MGOMBEA URAIS WA CCM DKT MAGUFULI KUTOKA CHATO MPAKA DODOMA


 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Rajab Luhwavi akimkaribisha  Mgombea Urais wa chama cha Mapinduzi CCM Dk.John Pombe Magufuli  awasalimie wananchi,awashukuru na kujitambulisha kwa wananchi hao waliokuwa wamekusanyika kwa wingi nje ya ofisi za CCM Manyoni mkoa wa Singida.  Mgombea Urais wa chama cha Mapinduzi CCM Dk.John Pombe Magufuli  akiwasalimia wananchi waliokuwa wamekusanyika kwa wingi nje ya ofisi za CCM Manyoni mkoa wa Singida.   Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe...

 

10 years ago

Vijimambo

SAFARI YA KUJIMBULISHA YA MGOMBEA URAIS WA CCM DKT MAGUFULI KUTOKA CHATO MPAKA DODOMA

 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Rajab Luhwavi akimkaribisha  Mgombea Urais wa chama cha Mapinduzi CCM Dk.John Pombe Magufuli  awasalimie wananchi,awashukuru na kujitambulisha kwa wananchi hao waliokuwa wamekusanyika kwa wingi nje ya ofisi za CCM Manyoni mkoa wa Singida.  Mgombea Urais wa chama cha Mapinduzi CCM Dk.John Pombe Magufuli  akiwasalimia wananchi waliokuwa wamekusanyika kwa wingi nje ya ofisi za CCM Manyoni mkoa wa Singida.   Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani