Mwanahabari wa Ufaransa ‘afukuzwa’ Uchina
Mwanahabari anayetoka Ufaransa amezuiwa kuendelea kufanya kazi nchini Uchina wiki chache baada yake kuandika makala akikosoa sera za taifa hilo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Mchezaji aliyemtongoza mwanahabari aadhibiwa
Nahodha wa zamani wa timu ya kriketi ya West Indies, Chris Gayle amepigwa faini baada yake kumtongoza mwanahabari wakati wa mahojiano ya moja kwa moja.
11 years ago
BBCSwahili17 Jun
Misri kumuachilia mwanahabari wa Al Jazeera
Kiongozi wa mashtaka ya umma wa Misri ameamuru kuachiliwa kwa mwanahabari wa Al-jazeera Abdullah Elshamy kwa misingi ya kiafya.
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Mwanahabari aporwa mbele ya kamera
Mwanahabari maarufu wa runinga kutoka Afrika Kusini ameibiwa hadharani alipokuwa akijiandaa kwenda hewani mbele ya kamera.
11 years ago
BBCSwahili14 May
ICC:Mwanahabari wa Kenya kukamatwa
Mahakama nchini Kenya imetoa kibali cha kukamatwa kwa mwandishi wa habari Walter Barasa anayetuhumiwa kwa kuwahonga mashahidi wa ICC katika kesi inayomkabili naibu Rais William Ruto.
11 years ago
BBCSwahili14 May
Mwanahabari mfaransa auawa CAR
Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limelaani mauaji ya mwanahabari raia wa Ufaransa katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati.
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Wakili anayemtetea mwanahabari avamiwa
WAKILI, Karoli Mluge, anayemtetea mwandishi wa habari, Edith Majura, katika kesi ya kudai makazi yake kwa wasimamizi wa mirathi ya baba mzazi wa watoto wake wawili, marehemu Samweli Komba, amevamiwa...
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Mauzo ya hisa yayumba Uchina
Mauzo ya hisa katika soko la Hong kong nchini Uchina yametatizika baada ya taarifa ya kutoweka kwa mmiliki wa kampuni kubwa ya uwekezaji
11 years ago
BBCSwahili30 Mar
Biashara ya Taiwan na Uchina yapingwa
Makumi ya maelfu ya raia wa Taiwan wamefanya maandamano katika mji mkuu wa Taipei ili kupinga makubaliano ya kibiashara na Uchina.
11 years ago
BBCSwahili18 May
Raia wa Uchina wajeruhiwa Vietnam
Shirika rasmi la habari nchini Uchina Xhinua limesema kuwa serikali imewaondoa zaidi ya raia wake 3000 nchini Vietnam.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania