Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanahabari wa Ufaransa ‘afukuzwa’ Uchina

Mwanahabari anayetoka Ufaransa amezuiwa kuendelea kufanya kazi nchini Uchina wiki chache baada yake kuandika makala akikosoa sera za taifa hilo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mchezaji aliyemtongoza mwanahabari aadhibiwa

Nahodha wa zamani wa timu ya kriketi ya West Indies, Chris Gayle amepigwa faini baada yake kumtongoza mwanahabari wakati wa mahojiano ya moja kwa moja.

 

11 years ago

BBCSwahili

Misri kumuachilia mwanahabari wa Al Jazeera

Kiongozi wa mashtaka ya umma wa Misri ameamuru kuachiliwa kwa mwanahabari wa Al-jazeera Abdullah Elshamy kwa misingi ya kiafya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanahabari aporwa mbele ya kamera

Mwanahabari maarufu wa runinga kutoka Afrika Kusini ameibiwa hadharani alipokuwa akijiandaa kwenda hewani mbele ya kamera.

 

11 years ago

BBCSwahili

ICC:Mwanahabari wa Kenya kukamatwa

Mahakama nchini Kenya imetoa kibali cha kukamatwa kwa mwandishi wa habari Walter Barasa anayetuhumiwa kwa kuwahonga mashahidi wa ICC katika kesi inayomkabili naibu Rais William Ruto.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanahabari mfaransa auawa CAR

Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limelaani mauaji ya mwanahabari raia wa Ufaransa katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakili anayemtetea mwanahabari avamiwa

WAKILI, Karoli Mluge, anayemtetea mwandishi wa habari, Edith Majura, katika kesi ya kudai makazi yake kwa wasimamizi wa mirathi ya baba mzazi wa watoto wake wawili, marehemu Samweli Komba, amevamiwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mauzo ya hisa yayumba Uchina

Mauzo ya hisa katika soko la Hong kong nchini Uchina yametatizika baada ya taarifa ya kutoweka kwa mmiliki wa kampuni kubwa ya uwekezaji

 

11 years ago

BBCSwahili

Biashara ya Taiwan na Uchina yapingwa

Makumi ya maelfu ya raia wa Taiwan wamefanya maandamano katika mji mkuu wa Taipei ili kupinga makubaliano ya kibiashara na Uchina.

 

11 years ago

BBCSwahili

Raia wa Uchina wajeruhiwa Vietnam

Shirika rasmi la habari nchini Uchina Xhinua limesema kuwa serikali imewaondoa zaidi ya raia wake 3000 nchini Vietnam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani